Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,505
- Thread starter
- #21
N i mnafiki kama minafiki mingine ya CCM,inayodhani chama chao kitatawala milele!!
Na sasa anajifanya kufurukuta baada ya kuona nguvu ya CDM hashuki!
Kumbuka kauli yake ya mwisho kabisa akichangia jana bungeni kasema hiv "Tatizo la CCM ni kukoseana kujiona kama ina haki ya kutawala milele". kwa kauli hii inaonyesha dhahiri huyu ni mtu wa namna gani na anakitazamaje chama chake, hana unafiki hata chembe huyu Deo, Think twice Mzizi wa Mbuyu!