Kama ni hivyo basi anafanana na Bwana huyu. Kwahiyo hata Bwana huyu inawezekana hii siyo nchi yake ya asili.Siyo Mzalendo yule. Ni mnafiki kama Zitto. Ana hasira na visasi sababu nchi yake ya asili karibu raia wake wote ni watu wa visasi vya kudumu tena wengine wanarithishwa.
Kwa facts zako hizi ambazo naweza kupata proof, ndo maana nimekuwa nikigomba na wana JF ambao kila wakati ni kumeza tu wanachosikia au kuambiwa. Hawana muda wa kujiuliza na wakati mwingine unaweza kutukana kwamba hawawazi. Ulipomtaja Shemejiye, nimelitafuta jina hilo na kukuta tanzia iliyoandikwa na yeye Ulimwengu akimtaja ni shemejiye ndani ya Rai 2012.Nadhani sasa unaleta Siasa bila sababu. Twaha Khalifani alizaliwa Rwanda na alikuja Tanganyika kama migrant akiwa na baba yake wakati huo akiwa na umri wa miaka 5. Tusipende kupotosha, Serikali ya Mkapa ilim-pin down kwa kuwa kisheria Twaha Khalifani ni munyarwanda, ila ku-quaify uraia wa Tanzania alitakiwa kuwa amekana uraia wa Rwanda, jambo ambalo hadi 2001 wakati wa kunyang'anywa uraia hakuwa ametimiza takwa hilo la kisheria. Stories nyingine ni blah blah tu. Baba yake Twaha alizikwa Kamachumu. Dadake pekee wa Twaha anayeitwa Zainabu ni mjane wa Peter Claver Bakilana (1939-2012) [rip] aliyewahi kuwa CEO wa THA (sasa TPA), TRC (sasa TRL) na NTC. Twaha huwa haendi kwao kamachumu kwa sababu shamba la babake aliliuza.
Tunaomba mfano mmoja wa mtu aliemlipizia KisasiSiyo Mzalendo yule. Ni mnafiki kama Zitto. Ana hasira na visasi sababu nchi yake ya asili karibu raia wake wote ni watu wa visasi vya kudumu tena wengine wanarithishwa.
Hata Nyerere alienda piaMkuu acha kutoa mapovu. Mimi sijasema kuhusu ushiriki wake ama mabaya yake ila nasema kwa kinywa kipana kwamba si Mtanzania. Naweza kuwa nina reservations lakini sijasema. Kitu ninachoweza kusema ni kwamba wakati wa mauaji ya 1994 kule Rwanda, Wanyarwanda wengi waliokuwa Tanzania walishiriki kwa njia moja ama nyingine.
Ila nafahamu kwamba Kabila aliponyakua madaraka kule Zaïre akishirikiana ana akina Bizima Karaha (Banyamulenge), Generali na Prof. Wamba dia Wamba walikuwa watu wa kwanza kwanza kufika kule.
Hapo kuna kauli yako moja ina maana kubwa sana.Kuna kipindi nilisikia huyu jamaa ni mrundi ila bado sina uhakika maana ccm nawajua kwa fix
Msitumie kichaka hiki cha kufichwa na jamiiforums na kutoa maneno ya kashfa kwa wengine mkjiua hamtawajibika kwa sababu mmefichwa na jamiiforums.Ulimwengu ni boya. Hana kitu. Roho mbaya kama Kagame. Huyu alishiriki mauaji ya Rwanda 1994. Kwakuwa yupo upande wa kagame ndiyo maana hawezi kamatwa.
Ni mhangazaKuna kipindi nilisikia huyu jamaa ni mrundi ila bado sina uhakika maana ccm nawajua kwa fix
Kwa sentence 1 tu: Jenerali hawazi kwa kutumia tumbo!Acha roho mbaya. Jenerali Ulimwengu ni Mtanzania. Hajawahi shiriki udharimu unaotaka kutuaminisha hapa. Unamsingizia mabaya kwa sababu ya misimamo yake ya kutopindisha lugha, akisimama kutoa hoja wenye akili huwa tunatulia kupata madini ghafi. Ana fikra huru, haishi kwenye kibuyu, haelekezwi cha kuandika. Ni msomi mwenye mawazo huru sio mtumwa wa mtu
Ni mtanzania. Watu wa mipakani huwa wana ndugu nchi jirani, ni kawaida.Walijipenyeza humu wengi tu. Balozi Timothy Bandora naye alijipenyeza hadi akawa balaozi wetu nchi kadhaa kumbe hakuwa raia. Wakamshitukia wakampokonya uraia. Nadhani yupo Rwanda
Kabisa....Kama sizonje
Hahah aisee kweli naamini kumbe mambo mengi humu wengi huwa wanaropoka ropoka tuSiyo Mzalendo yule. Ni mnafiki kama Zitto. Ana hasira na visasi sababu nchi yake ya asili karibu raia wake wote ni watu wa visasi vya kudumu tena wengine wanarithishwa.
Mkuu wasamehe.Povu mnatoa nyie wenye roho mbaya, mmekalia kuwavua uraia Watz wenzenu. Tena bila haya, miongoni waliomuunga mkono Kabila ni Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere, mbona yeye hujamtaja. Moja ya tatizo letu kubwa, tukitofautiana na mwenzetu kimawazo, na hasa ukikuzidi uwezo wa kiakili. Badala ya kujifunza kutoka kwake, unavua uraia. Dunia ilitusuta kwa kumvua uraia Jenerali Ulimwengu na kumfanya stateless, wakaona aibu wakamrejeshea uraia wake. Leo nawe unakuja na ujinga ule ule wa kumvua uraia. Kazaliwa Tanzania, kakulia Tanzania, kazeekea Tanzania. Acheni roho mbaya
Msijitoe ufahamu, yote ilikuwa siasa. Na wengi mnafahamu hilo.Mkuu hapo sasa unaposema aliomba na kupewa ndipo nawe unachanganya mambo. Uraia wa kuzaliwa ni haki yako na wala huuombi. Kama aliomba basi uraia wa kuzaliwa unakuwa umefutwa.
Nimesema alinyang'anywa uraia na sina kumbukumbu kama aliomba na kupewa ila kuna wakati alikuwa akifanya kazi kwa vibali.
Wengi hawana maisha nje ya vyama vya siasa. Inabidi waelewe kwamba kuna wakati it's about the country sio vyama, kwa sababu Leo utakuwa huku na kesho kule. Lazima katiba itulinde wote Kama watanzaniaHahah aisee kweli naamini kumbe mambo mengi humu wengi huwa wanaropoka ropoka tu
wewe una roho nzuri kama mama huruma.Ulimwengu ni boya. Hana kitu. Roho mbaya kama Kagame. Huyu alishiriki mauaji ya Rwanda 1994. Kwakuwa yupo upande wa kagame ndiyo maana hawezi kamatwa.
Unasahihisha "typo errors" badala ya mahudhui, hakika hiyo ni dalili tosha ya madhara ya utumiaji unga au viroba. Jisalimishe mapema upate tiba na kwa vile vita imekolea!Anapodharirishwa=Anapodhalilishwa
Stahili=Stahiki
Kuchikua=Kuchukua
Mods naomba tuepuke mada/hoja za kuzalilisha watu. Michango ya hayo niliowanukuu kwenye mada kuu haina faida yoyote katika kuelimishana zaidi ya kuwachafua watu, wengine wakiwa kioo katika jamii.
JF isiwe kijiwe cha udaku na majungu.