Wasifu (CV) ya Dr. John Pombe Magufuli

Wasifu (CV) ya Dr. John Pombe Magufuli

Ila watu wana wivu sana.......sisi watu wa pwani tunaita Hassad, ona hizo commet hapo juu

Mkuu hili ndilo tatizo kubwa kwa sisi Watanzania tulio wengi, tume kubuhu katika nyanja za kuponda ponda watu wenye uwezo mkubwa badala ya kuwatia moyo, wivu tu kila kona. Hivi mtu mwenye macho na akili timamu anaweza kuhoji uwezo wa Mh.Magufuli??
 
Mkuu hili ndilo tatizo kubwa kwa sisi Watanzania tulio wengi, tume kubuhu katika nyanja za kuponda ponda watu wenye uwezo mkubwa badala ya kuwatia moyo, wivu tu kila kona. Hivi mtu mwenye macho na akili timamu anaweza kuhoji uwezo wa Mh.Magufuli??

mkuu ebu nitoe tongotongo kuhusu uwezo wa huyu mtu am very seriouz
 
Huyu amekataliwa kule anakotoka ( Chato ) na kakataliwa na mke wake pia. Sasa tunatakiwa kujiuliza. Ni lipi litamfanya achaguliwe kuwa rais, Maana taaluma kasha ichakachua na huko hafai.

wewe ndo mke wake nn, mbona unadetails zake??
 
"Ameandika vitabu na majarida mbalimbali. Ameoa na ana watoto kadhaa."

Yaani ana watoto wengi kiasi cha kutoweza kuhesabika? Yesu na Mariaaa!!
 
he is typically a teacher. Bt he is doing good, he shows patriotic bt as teachers are, he ended up impregnating a geology student udsm.

Ulitaka hiyo mimba apewe mama yako? Au alikuwa anasomea upadri pale UDSM? Andika vitu vyenye impact kwenye jamii huyo mwanafunzi mpaka akafika chuo kikuu maana yake ni mtu mzima sasa tatizo lako nini?
 
Just curious kwa nininalitoka Katoke Seminary fomu two na kuhamia sekondari binafsi ya Lake? Enzi sekondari binafsi haxikuwa na heshim kama siku hizi.
 
[h=2]Hakika kweli Magufuli ni mzalendo wa hali ya juu, hajasomea njee ya nchi.
Hii inaleta faraja iwapo atapewa ridhaa ya kuwa Rais, atafanya kazi zizalendo sana.


Member of Parliament CV[/h]
SalutationHon.
First Name: Dr. John
Middle Name: Pombe Joseph
Last Name:Magufuli
Constituent: Chato
Political Party: Chama Cha Mapinduzi
Office Location: P.O. Box 9144, Dar es Salaam
Office Phone: +255 713 322 272/+255 754 292 580Office Fax: + 255 22 2124505
Office E-mail: jmagufuli@parliament.go.tz
Member Status: Active
Date of Birth 29 October 1959

[TH="colspan: 3, align: left"] GENERAL [/TH]

[TD="width: 42%, align: center"] Member picture
1014.jpg
[/TD]

[TD="width: 20%"] Member Type: [/TD]
[TD="width: 38%"]Elected Member[/TD]
Chato Primary School
Katoke Seminary Biharamulo, Kagera
Mkwawa High School
Lake Secondary School Mwanza
Mkwawa College of Education
University of Dar es Salaam
Universities of Dar es Salaam, TZ &Salford -U.K.
University of Dar es Salaam.

[TH="colspan: 5, align: left"] EDUCATION [/TH]

[TH="width: 35%"] School Name/Location [/TH]
[TH="width: 27%"] Course/Degree/Award [/TH]
[TH="width: 15%, align: center"] Start Date [/TH]
[TH="width: 13%, align: center"] End Date [/TH]
[TH="width: 10%, align: center"] Level [/TH]

[TD="align: center"]CPEE[/TD]
[TD="align: center"]1967[/TD]
[TD="align: center"]1974
[/TD]
[TD="align: center"]Primary School[/TD]

[TD="align: center"]CSEE[/TD]
[TD="align: center"]1975[/TD]
[TD="align: center"]1977[/TD]
[TD="align: center"]Secondary School[/TD]

[TD="align: center"]ACSEE[/TD]
[TD="align: center"]1979[/TD]
[TD="align: center"]1981[/TD]
[TD="align: center"]Secondary School[/TD]

[TD="align: center"]CSEE[/TD]
[TD="align: center"]1977[/TD]
[TD="align: center"]1978[/TD]
[TD="align: center"]Secondary School[/TD]

[TD="align: center"]Diploma in Education (Sc.) Chem., Maths&Edu.[/TD]
[TD="align: center"]1981[/TD]
[TD="align: center"]1982[/TD]
[TD="align: center"]Diploma[/TD]

[TD="align: center"]B.Sc Ed. (Hons) Chem.&Maths[/TD]
[TD="align: center"]1985[/TD]
[TD="align: center"]1988[/TD]
[TD="align: center"]Bachelor[/TD]

[TD="align: center"]MSc. (Chem)[/TD]
[TD="align: center"]1991[/TD]
[TD="align: center"]1994[/TD]
[TD="align: center"]Masters Degree[/TD]

[TD="align: center"]PhD (Chem)[/TD]
[TD="align: center"]2006[/TD]
[TD="align: center"]2009[/TD]
[TD="align: center"]PhD[/TD]
Company Name
Ministry of WorksMinister
Ministry of Livestock and Fisheries DevelopmentMinister
UN-HABITATCo-chair World Urban Forum (III)
Ministry of Lands and Human SettlementsMinister
World Road Congress (PIARC)1st Delegate
Mtwara Development CorridorMember
Ministry of WorksMinister
Ministry of WorksDeputy Minister
Tanzania Chemical SocietyMember
Nyanza Co-operative Union(NCU) Ltd.- Mwanza.Industrial Chemist
Sengerema Secondary SchoolTeacher(Chemistry and Mathematics)

[TH="colspan: 4, align: left"] EMPLOYMENT HISTORY [/TH]

[TH="align: center"] Position [/TH]
[TH="align: center"] From [/TH]
[TH="align: center"] To [/TH]

[TD="align: center"]2011[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]

[TD="align: center"]2008[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]

[TD="align: center"]2006[/TD]
[TD="align: center"]To Date[/TD]

[TD="align: center"]2005[/TD]
[TD="align: center"]2/8/2008[/TD]

[TD="align: center"]2000[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]

[TD="align: center"]2000[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]

[TD="align: center"]2000[/TD]
[TD="align: center"]2005[/TD]

[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"]2000[/TD]

[TD="align: center"]1993[/TD]
[TD="align: center"]Todate[/TD]

[TD="align: center"]1989[/TD]
[TD="align: center"]1995[/TD]

[TD="align: center"]1982[/TD]
[TD="align: center"]1983[/TD]
Chama Cha Mapinduzi - CCM( Biharamulo East)Member of Parliament of Tanzania
Chama Cha Mapinduzi - CCMMember

[TH="colspan: 4, align: left"] POLITICAL EXPERIENCE [/TH]

[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location [/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%, align: center"]Position [/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]

[TD="align: center"]1995[/TD]
[TD="align: center"]Todate[/TD]

[TD="align: center"]1977[/TD]
[TD="align: center"]Todate[/TD]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom