Wasifu (CV) ya Dr. John Pombe Magufuli

Wasifu (CV) ya Dr. John Pombe Magufuli

Lazima nimpe kura yangu ya ndiyo nguli na msomi aliyebobea Dr Magufuli. Haijawahi tokea afrika mashariki kuwa na rais msomi mwenye Doctor of Philosophy (Ph.D). Kwa msiojua maana yake ulizeni.

Mbona anaemaliza muda wake ni Profesa? Au unataka kutuambia dr. ni zaidi ya profesa?
 
walioenda shule hawawezi kuongea utumbo kama huu. Kwa taarifa yako, degree ya kufanyia kazi ni ya kwanza (Bachelor) au hata ya pili (Masters) lakini PhD ni kuwa academician/researcher ndio wenye PhD weeeengi hususan huku Afrika wanachemka kwenye nyadhfa kubwa za kisiasa
 
Msomi asiyejua mbele ya hadhara na tv kuwa Gadafi alikuwa raisi wa nchi gani?! Raisi ambae hajui hata Gadafi alikuwa raisi wa nchi ya Africa na kuishia kutaja Kuwait na Qatar?! Msomi huyu anawafaa Msoga na WAMA tu,no wonder anapiga push up tu kanma kuli!!
 
Msomi asiyejua mbele ya hadhara na tv kuwa Gadafi alikuwa raisi wa nchi gani?! Raisi ambae hajui hata Gadafi alikuwa raisi wa nchi ya Africa na kuishia kutaja Kuwait na Qatar?! Msomi huyu anawafaa Msoga na WAMA tu,no wonder anapiga push up tu kanma kuli!!
Wewe ni mfa maji haachi kutapatapa. Ndiyo maana tunasema mnaomshabikia fisadi lowasa uwezo wenu wa kiakili ni mdogo, yaani mnaakili kama mavi ya lowasa aliyojinyea kule chato kwa kumuogopa magufuli. Yaani mnajua kabisa Dr wa ukweli Magufuli hakuwa na kundi na wala hakuwahi kuandaliwa na jk eti leo unalopoka bila aibu eti rais wa msonga, yaani wewe ni "$!?/-)"'*%#¥!_**+* sana. Tumia akili ebo!
 
Lazima nimpe kura yangu ya ndiyo nguli na msomi aliyebobea Dr Magufuli. Haijawahi tokea afrika mashariki kuwa na rais msomi mwenye Doctor of Philosophy (Ph.D). Kwa msiojua maana yake ulizeni.

Hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Pole
 
hahahaha,
 

Attachments

  • IMG-20151005-WA0015.jpg
    IMG-20151005-WA0015.jpg
    40.9 KB · Views: 99
walioenda shule hawawezi kuongea utumbo kama huu. Kwa taarifa yako, degree ya kufanyia kazi ni ya kwanza (Bachelor) au hata ya pili (Masters) lakini PhD ni kuwa academician/researcher ndio wenye PhD weeeengi hususan huku Afrika wanachemka kwenye nyadhfa kubwa za kisiasa

Sasa usomi wake na siasa vitaingiliana wapi? Hawa wasomi unaowazungumzia hawajasoma hata siasa yenyewe. Aliyesoma chemistry hata hiyo bachelor uliyosema itamsaidia nini kwenye siasa? Ningependekeza wasomi wafanye mambo wanayoyajua, yenye tija. tatizo wasomi wa nchi hii wanakimbilia kwenye siasa kwa kuwa wanaona huko ndiko kwenye fedha za bure, ndiyo maana profesa wa mifupa MOI anakwenda kugombea ubunge! Shame!
 
Wewe ni mfa maji haachi kutapatapa. Ndiyo maana tunasema mnaomshabikia fisadi lowasa uwezo wenu wa kiakili ni mdogo, yaani mnaakili kama mavi ya lowasa aliyojinyea kule chato kwa kumuogopa magufuli. Yaani mnajua kabisa Dr wa ukweli Magufuli hakuwa na kundi na wala hakuwahi kuandaliwa na jk eti leo unalopoka bila aibu eti rais wa msonga, yaani wewe ni mseengee na bweege sana. Tumia akili ebo!
kama mods anatenda haki utapata ban ila kama siyo basi tena.
 
Wewe ni mfa maji haachi kutapatapa. Ndiyo maana tunasema mnaomshabikia fisadi lowasa uwezo wenu wa kiakili ni mdogo, yaani mnaakili kama mavi ya lowasa aliyojinyea kule chato kwa kumuogopa magufuli. Yaani mnajua kabisa Dr wa ukweli Magufuli hakuwa na kundi na wala hakuwahi kuandaliwa na jk eti leo unalopoka bila aibu eti rais wa msonga, yaani wewe ni mseengee na bweege sana. Tumia akili ebo!

Unaweza kuongea hoja yako Bila Matusi
 
... hiyo PhD inamsaidia kweli? asingefanywa ka katuni kupigishwa push up na ma opportunists (Bulembo & Co.) kwenye majukwaa
 
Wewe ni mfa maji haachi kutapatapa. Ndiyo maana tunasema mnaomshabikia fisadi lowasa uwezo wenu wa kiakili ni mdogo, yaani mnaakili kama mavi ya lowasa aliyojinyea kule chato kwa kumuogopa magufuli. Yaani mnajua kabisa Dr wa ukweli Magufuli hakuwa na kundi na wala hakuwahi kuandaliwa na jk eti leo unalopoka bila aibu eti rais wa msonga, yaani wewe ni mseengee na bweege sana. Tumia akili ebo!

Hizi DIV 5 zina madhara yake. Mbona anaeondoka ni Le Professor au Unamaanisha nini hapo. Mbona unapanic au ndo hivyo UMESHAVURUGWA nini?? Mwaka huu hatuangalii kama wewe ni mtoto wa Masaaki kula kulala kisa baba/mama wako FISIEM na vielimu vyenu hivyo vya kuungaunga na super glue CHANGE WE NEED itawahusu jiandaeni kisaikolojia. LOWASSA atawanyima sana usingizi. Zidumu kauli za Mbowe.
 
Wewe ni mfa maji haachi kutapatapa. Ndiyo maana tunasema mnaomshabikia fisadi lowasa uwezo wenu wa kiakili ni mdogo, yaani mnaakili kama mavi ya lowasa aliyojinyea kule chato kwa kumuogopa magufuli. Yaani mnajua kabisa Dr wa ukweli Magufuli hakuwa na kundi na wala hakuwahi kuandaliwa na jk eti leo unalopoka bila aibu eti rais wa msonga, yaani wewe ni mseengee na bweege sana. Tumia akili ebo!

Hizi DIV 5 zina madhara yake. Mbona anaeondoka ni Le Professor au Unamaanisha nini hapo. Mbona unapanic au ndo hivyo UMESHAVURUGWA nini?? Mwaka huu hatuangalii kama wewe ni mtoto wa Masaaki kula kulala kisa baba/mama wako FISIEM na vielimu vyenu hivyo vya kuungaunga na super glue CHANGE WE NEED itawahusu jiandaeni kisaikolojia. LOWASSA atawanyima sana usingizi. Zidumu kauli za Mbowe.
 
... hiyo PhD inamsaidia kweli? asingefanywa ka katuni kupigishwa push up na ma opportunists (Bulembo & Co.) kwenye majukwaa

Na PhD yake anapigishwa push up na darasa la saba Bulembo hahaha hahaha... No wonder hata kiengereza ni chenga tupu
 
Mtoa mada mbona kapanic Mbona JK ni Professor au? DIV 5 zina madhara yake.
 

Attachments

  • katuni+itv+31+and+1feb+2011.jpg
    katuni+itv+31+and+1feb+2011.jpg
    41.2 KB · Views: 323
Lazima nimpe kura yangu ya ndiyo nguli na msomi aliyebobea Dr Magufuli. Haijawahi tokea afrika mashariki kuwa na rais msomi mwenye Doctor of Philosophy (Ph.D). Kwa msiojua maana yake ulizeni.
PHD yake aliipatia klabuni?? Mbona hata kizungu ajui?? Akha Mimi simpi kura yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom