Hakushika wadhifa,Lowasa alishika wadhfa gani CHADEMA kabla ya kugombea Uraisi?
Alibatizwa na kufutiwa dhambi zake zote.
Na hivi sasa ndo kiongozi mkuu wa chadema anayeongoza graduation yake kutoka kikundi cha wanaharakati na kuwa chama cha siasa (kama ilivyo ccm).