Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,410
Na hao ndio waliokuwa wanampikia majungu. Walianza wakati wa uteuzi kuwa JPM hafai. Sasa hao hao wamegeukia kwenye chama. Washindwe na walegeemaadu wakubwa wa jpm wako ccm
Na hao ndio waliokuwa wanampikia majungu. Walianza wakati wa uteuzi kuwa JPM hafai. Sasa hao hao wamegeukia kwenye chama. Washindwe na walegeemaadu wakubwa wa jpm wako ccm
Waulize chadema wenyeweNikuulize swali jingine. Mlipomteua Lowasa kuwa Mgombea Urais kwa CHADEMA na UKAWA, alikuwa na uzoefu gani chamani?
Jambo la kufurahisha ni JPM hajawahi kushika nyadhifa yoyote ndani ya ccm na hivyo itakuwa rahisi sana kwake kukisafisha na kukipa mwonekano mpya pasipo kumwogopa yeyote.Kumbe hakuwahi kuwa mwenyekiti hata wa shina zaidi ya ujumbe. ...ngoma inogile ccm bye bye. ... utingo kapewa semi trailer apeleke mzigo wa mafuta kongo
Ngoja JPM awasafishe wezi wa Chama cha mapinduziJambo la kufurahisha ni JPM hajawahi kushika nyadhifa yoyote ndani ya ccm na hivyo itakuwa rahisi sana kwake kukisafisha na kukipa mwonekano mpya pasipo kumwogopa yeyote.
Ukiaminiwa na watanzania chama ni nani hata washindwe kukuaminiKumbe hakuwahi kuwa mwenyekiti hata wa shina zaidi ya ujumbe. ...ngoma inogile ccm bye bye. ... utingo kapewa semi trailer apeleke mzigo wa mafuta kongo
watashindwaje wakati ndio wenye chama chao,yeyey anaonekana mamluki na anataka kuleta utamaduni mpya ndani ya chama matokeo yake kutakuwa na ccm academia na ccm orijiniNa hao ndio waliokuwa wanampikia majungu. Walianza wakati wa uteuzi kuwa JPM hafai. Sasa hao hao wamegeukia kwenye chama. Washindwe na walegee
Naam. Naamini kuwa ataanza na Luhwavi
Kwa hiyo lowassa ni mwenyekiti wa chadema sio.....hivi watu wa ccm kichwani kuna ubongo au majivu ..?
Hv chama na kuongoza nchi kipi kikubwa?Its all about experience muache bangi tumieni akili mlizopewa na Mungu. Inakuaje mnamwamini mtu kupeperusha bendera ya chama ambaye hana experience hata ya siku mbili katika chama
Naona ndani ya chama anao uzoefu wa ujumbe tu. Hivi hakuwahi kuwa hata mwenyekiti, makamu mwenyekiti, katibu, katibu msaidizi au mhazini wa ngazi yoyote ile ya chama?FRIDAY, JULY 22, 2016
4.0. UZOEFU WA UONGOZI NDANI YA CHAMA
Rais Dkt. Magufuli alijiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) mwaka 1977. Amekuwa Mwanachama mwaminifu na ameshika nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya Chama. Nafasi alizowahi kushika ni pamoja na kuwa Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Wilaya, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya, Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Wilaya, Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Mkoa, Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Mkoa na Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa.
Hapa wangenyoosha vizuri na kwa uwazi! Waseme hiyo form 5 na 6 alisoma masomo gani matatu?. Asiwe na wasiwasi.....stashahada ya miaka mitatu kwa form 4 leavers ilikuwa inakubalika tu! Wenyewe walikuwa wakiita "half combi". Conceptually, inataka kufanana na hiyo "Special Diploma" ya UDOM!Kuanzia mwaka 1979 hadi 1981 alifanya masomo ya kidato cha Tano na Sita katika shule ya Sekondari ya Mkwawa Mkoa wa Iringa .
Mwaka 1981 hadi 1982 alisoma Chuo cha Ualimu Mkwawa na kuhitimu Stashahada ya Ualimu ya Masomo ya Kemia na Hisabati.
...😀😀😀😀😀....huuu utani wa jadiKwa hiyo lowassa ni mwenyekiti wa chadema sio.....hivi watu wa ccm kichwani kuna ubongo au majivu ..?


hii ndio bongo banaUkishajua kuendesha baiskeli hujifunzi Mara mbili,vijana wa ufipa mananga sana,aweze kuongoza nchi, ashindwe uenyekiti wa chama?
Wamekifikisha hapo kilipofika, kuongoza nchi tangu 77 mpaka leo si mchezo,Wale waliokuwa na uzoefu walikifisha chama wapi?
Na kuzalisha mafisadi kila kona,muacheni JPM anyooshe mamboWamekifikisha hapo kilipofika, kuongoza nchi tangu 77 mpaka leo si mchezo,
Hapa wangenyoosha vizuri na kwa uwazi! Waseme hiyo form 5 na 6 alisoma masomo gani matatu?. Asiwe na wasiwasi.....stashahada ya miaka mitatu kwa form 4 leavers ilikuwa inakubalika tu! Wenyewe walikuwa wakiita "half combi". Conceptually, inataka kufanana na hiyo "Special Diploma" ya UDOM!
Yalaaaa!😀😀😀
Tofautisha kuongoza na kutawala