Wasifu (CV) ya Dr. John Pombe Magufuli

Wasifu (CV) ya Dr. John Pombe Magufuli

It masaki imekata mapema mno. Kwa hiyo nyerere hakua msomi eehee?!
 
Ulijuaje au kwa7bu ni Kama alivyotoa kinyoso bab* ako ndo mana unakumbukumbu hadi leo????
 
Kumbe Magufuli KUWA RAIS WA KWANZA MSOMI, Yakheee una uhakika gani na hili? Sema huenda akawa mmojawapo wa marais wasomi East Africa ikiwa atashinda uchaguzi (Mmmh pagumu hapa).

Pia kumbuka Uganda ishakuwa rais Professor kwa siku 68!!!

Prof. Yusuf Kironde Lule is the president who served Uganda for the shortest term – just 68 days

Born in Kampala, Lule was educated at King's College Budo (1929-34), Makerere University College, Kampala (1934-36), and Fort Hare University at Alice, South Africa (1936-39).[SUP][1][/SUP] He was a great sportsman in the 1930s, mainly in athletics (880-yard dash) where he was national champion.
He was principal of Makerere University College from 1964 to 1970, and was assistant secretary-general of the Association of African Universities, in Accra, Ghana, between 1973 and 1978.[SUP][1][/SUP] Lule served as a minister in the pre-independence British colonial government and later as an assistant secretary-general of theCommonwealth Secretariat. He went into exile after Idi Amin came to power
 
Mh....msomi gani asijua Kiingereza bali wala Rais wa Kuwait.
 
Lazima nimpe kura yangu ya ndiyo nguli na msomi aliyebobea Dr Magufuli. Haijawahi tokea afrika mashariki kuwa na rais msomi mwenye Doctor of Philosophy (Ph.D). Kwa msiojua maana yake ulizeni.

What a damn thinker are you?Unamfahamu Prof.Yusuph Kironde Lule wa Uganda au ndo hivyo kujua rais wa Libya Gaddaf.
 
Kupata phd karatasi zake aliandika kwa lugha gani,kwani hajui kiswahili wala kiingereza
Ametoka shamba lakini ushamba haujamtoka
 
Lazima nimpe kura yangu ya ndiyo nguli na msomi aliyebobea Dr Magufuli. Haijawahi tokea afrika mashariki kuwa na rais msomi mwenye Doctor of Philosophy (Ph.D). Kwa msiojua maana yake ulizeni.

Ni Magufuli kwa Maendeleo ya Jamii.
 
Sura ya urais hana, lugha ya siasa hana, akiri ya siasa hana, hajui kufuata sheria Bali ukariri SHERIA nimpe kura kwa lipi hasa
 
Aongee kiingereza kizuri kwani yeye Muingereza? Kwani sisi ni Waingereza?
 
Lazima nimpe kura yangu ya ndiyo nguli na msomi aliyebobea Dr Magufuli. Haijawahi tokea afrika mashariki kuwa na rais msomi mwenye Doctor of Philosophy (Ph.D). Kwa msiojua maana yake ulizeni.
Kama mlitaka Rais msomi si mngemchukua Prof. Mwandosya? Maana yule anafahamika kuwa ni kichwa. Na hata mngemtosa, bado kuna Prof. Muhongo.
 
Lazima nimpe kura yangu ya ndiyo nguli na msomi aliyebobea Dr Magufuli. Haijawahi tokea afrika mashariki kuwa na rais msomi mwenye Doctor of Philosophy (Ph.D). Kwa msiojua maana yake ulizeni.

alisoma kwa lugha gani??
 
Lazima nimpe kura yangu ya ndiyo nguli na msomi aliyebobea Dr Magufuli. Haijawahi tokea afrika mashariki kuwa na rais msomi mwenye Doctor of Philosophy (Ph.D). Kwa msiojua maana yake ulizeni.

Kisomo sio phd ww,shule gani uliyoenda ikakufunza hivyo?rupo mkuu wa.kaya naye ni dr,phd sio kipimo cha usomi unaweza kuwa na degree tu ila weny masters na phd wakakaa,funguka
 
Lazima nimpe kura yangu ya ndiyo nguli na msomi aliyebobea Dr Magufuli. Haijawahi tokea afrika mashariki kuwa na rais msomi mwenye Doctor of Philosophy (Ph.D). Kwa msiojua maana yake ulizeni.
profesa kikwete
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom