irumba1
JF-Expert Member
- May 10, 2013
- 882
- 321
Njija umofangana?Habarike mnyanpaa.
Njija umofangana?Habarike mnyanpaa.
Hii ndio CV (curriculum vitae) ya kamanda Tundu Lissu
Full Name: Tundu Antiphas Mughwai Lissu
Member Type: Elected Member
Constituent: Singida Mashariki
Political Party: Chama cha Demokrasia na Maendeleo
Office Location: Box 21746, Dar Es Salaam
Office Phone: +255 22 2780859/+255 754 447323/+255 786 572 571
Office E-mail: tlissu@parliament.go.tz
Date of Birth: 20 January 1968
EDUCATION
Mahambe Primary School:
CPEE (1976 - 1982) - Primary School
Galanos Secondary School:
ACSEE (1987 - 1989) - Secondary School
Ilboru Secondary School:
CSEE (1983 - 1986) - Secondary School.
University of Dar Es Salaam:
LLB (1991 - 1994) Bachelor's Degree
University of Warwick, UK:
LLM (1995 - 1996) - Masters Degree
EMPLOYMENT HISTORY
Member of The Parliament of Tanzania:Singida West Constituency (2010 - 2015)
Lawyers' Environmental Action Team (LEAT)😀irector of Researcher (2003 - 2008)
The World Resources Institute (WRI), USA:Researcher (1999 - 2002)
Lawyers' Environmental Action Team (LEAT) Researcher (1998 - 1999)
D'Souza Chambers:Advocate (1994 - 1997)
Bondeni Secondary School:Teacher (1990 - 1991)
POLITICAL EXPERIENCE
CHADEMA😀irector of Law (2004 - To Date)
NCCR-Mageuzi:Member of Parliament Candidate (1995)
Somo gani?Acha ujinga wewe. Inaonekana uliishia darasa LA pili. Tundu Lissu kafundishwa na Dr Mwakyembe period!
ww na cv yako ngumu hata JF hafahamikiMbona CV nyepesi sana hii. Labda kwa wewe usiyepata Shahada ya Uzamili!
Lumumba hawataki kuiona wala kuisikia CV hii ya Nguli wa sheria hapa Tanzania na ukanda wa A. Mashariki na kati kwa ujumla. Huyu ndiye aliyewafanya vijana hao wa Lumumba walale na viatu jana tarehe 5 Julai 2016 pale alipowadhalilisha kwa kuwafunza sheria mawakili wa serikali kwenye mahakama ya Kisutu. Wamwache Tundu amzodoe mkuu wa kaya kwa raha zake.
Hakuna shera anayoitumia zaidi ya ubabe kama ubabe ndio vifungu vya sheria sawaMbona ameshindwa kutumia vifungu Vya SHERIA kumbana naibu Spika? Ambaye anatumia vifungu Vya SHERIA kuongoza bunge Na UKAWA walipoona Dr.Tulia anawabana Kwa Vifungu waka muuliza Nguli wao wa SHERIA watumie kifungu gani kumbana naibu Spika akawaambia Wafunge Vitambaa midomoni.Pale amekutana Na Dr washeria arudi shuleni.Spika Makinda alikuwa ni muhasibu by professioner ndio maana alikuwa anamtumia.BT now Tundulisu inabidi akasome Shelia Kwa DR TULIA .NIMAWAZO YANGU TU MSITOE POVU
Tundu lissu ni kiboko yaoTundu Lissu ni kiboko ya Mafisi wote wa CCM!
Nakumbuka kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2010 wakti JK akiwa kwenye kampeni kwenye jimbo la Tundu Lisu aliwaambia wana CCM wenzake,nanukuu"Msije mkakosea kumchagua Tundu Lissu maana huyu mtu ni hatari,ni afadhali kuwa na kina Dr.Slaa 10 kuliko kuwa na Tundu Lisu 1 Bungeni!" mwisho wa kunukuu!
You are really misinformed and fed with propagandas. Naibu Spika ni mkanyaga kanuni kama alivyo mkanyaga katiba. Kama anaombwa muongozo kupitia kanuni anaukataa, ni kifungu kipi cha kanuni za bunge kinachomuhalalishia kukataa muongozo uliopo kwa mujibu wa kanuni? Huyo anayekataa masuala mazito km Lugumi na Wanafunzi UDOM kuzungumzea ila anakubali muongozo wa mtu kuvuliwa kibaraghashia, huyo zimo kichwani kweli? Au kisa anao askari anaowaambia wawatoe wapinzani nje ndo kutumia kanuni? Kanuni za bunge hazina double standards, ila NS ana double standards, hiyo ndo kusimamia sheria? Kuwa ccm ni zaidi ya kuwa jehanamu, akili zenu huwa mnazizika sijui wapi!Mbona ameshindwa kutumia vifungu Vya SHERIA kumbana naibu Spika? Ambaye anatumia vifungu Vya SHERIA kuongoza bunge Na UKAWA walipoona Dr.Tulia anawabana Kwa Vifungu waka muuliza Nguli wao wa SHERIA watumie kifungu gani kumbana naibu Spika akawaambia Wafunge Vitambaa midomoni.Pale amekutana Na Dr washeria arudi shuleni.Spika Makinda alikuwa ni muhasibu by professioner ndio maana alikuwa anamtumia.BT now Tundulisu inabidi akasome Shelia Kwa DR TULIA .NIMAWAZO YANGU TU MSITOE POVU
Waulize Dr Mwakyembe, Dr Asha Rose Migiro, Chenge kuhusu uwezo wa Tundu Lissu kwenye taaluma ya sheria watakupa majibu ya kujitosheleza kabisaMbona ameshindwa kutumia vifungu Vya SHERIA kumbana naibu Spika? Ambaye anatumia vifungu Vya SHERIA kuongoza bunge Na UKAWA walipoona Dr.Tulia anawabana Kwa Vifungu waka muuliza Nguli wao wa SHERIA watumie kifungu gani kumbana naibu Spika akawaambia Wafunge Vitambaa midomoni.Pale amekutana Na Dr washeria arudi shuleni.Spika Makinda alikuwa ni muhasibu by professioner ndio maana alikuwa anamtumia.BT now Tundulisu inabidi akasome Shelia Kwa DR TULIA .NIMAWAZO YANGU TU MSITOE POVU
Muulize mwenyekiti wako mstaafu wa ccm JM KikweteChama cha ****** mnamuona yy ndio msomi sana
Ebu weka yako hapa tuioneMbona cv nyeupe kabisa hiyo,kashinda kesi ngapi so far?
Kuna sehemu nimesema Lisu ni Dr? Hivi huu utoto mnaleta huku badala ya kupeleka Facebook? Namamisha mwalimu anakufundisha na unakuwa na uelewa na perfomance kubwa kuliko mwalimu wako! Mwalimu kakufundisha Olevel alikuwa ana division three wewe unapata div one, lecturer anakufundisha yeye ana upper second wewe unapata first! Hivi hujamzidi? Sasa cha ajabu nini? Mwakyembe kumfundisha Lissu haimanishi kwamba kwenye sheria ni mzuri kuliko Lissu na hili hata bungeni kina makinda na mwanasheria mkuu wa serekali wote wanajua mbona makinda alikuwa hamconsult mwakyembe pindi vifungu vilipokuwa vinaleta utata? Au Hakuwa bungeni? Wewe ni ki... N... E... M... B.. eUnataks kusema Lissu ana PhD kama Mwakyembe? Mavi yakoooo!
Waulize Dr Mwakyembe, Dr Asha Rose Migiro, Chenge kuhusu uwezo wa Tundu Lissu kwenye taaluma ya sheria watakupa majibu ya kujitosheleza kabisa
Kua na staha unapokumbana na hoja tofauti na yako,kwa upeo wako unaamini walimu wote wanawazidi wanachuo au wanafunzi wao wote katika umahiri wa field walizowahi au wanazowafundisha,usiwe mtu mwenye narrow mind na unatakiwa umfuatilie Dr. Mwakyembe pamoja na Lissu katika field ya sheria.Vilevile unatakiwa ujue IQ zinatofautiana kati ya mtu na mtu sio kila mwalimu anamzidi mwanafunzi wake kile anachomguide akifahamu.Acha ujinga wewe. Inaonekana uliishia darasa LA pili. Tundu Lissu kafundishwa na Dr Mwakyembe period!