Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

Baavichaa wapo wapi waje waiweke CV yake humu maana wao wapo bize kudai CV za akina mwigulu,makonda,JPM,Ndarichako et.ell

Vijizi vya pale Lumumber mnashindwa vipi kuleta CV ya Mbowe ?
 
Elimu yako nawe itakuwa na mashaka.. Nalichomaanisha hapo ni Mtei hausiki na uajiri wa Mbowe BOT maana Mbowe akiwa mfanyakazi hapo Mtei alishaondokaga miaka mingi
Mtei alikuwa waziri wa fedha...kumbuka Makani kaowa dadake Mtei...kuna ushemeje hapo.
 
Kupatwa kwa elimu ya Mbowe . Na watetezi wanatoka mapovu balaa duh!

Mleta thread - mtafute executive assistant wa Mbowe naamini atakuwa na majibu sahihi. Yumo humu JF na ni verified user. Jina lake ni Ben Saanane. Fanya hivyo halafu utuletee mrejesho.
 
Vipi ya yule msemaji wa chama Ole Sendeka historian ya Shule nasikia MKUU alipata division 1
 
Sifa za kugombea urais tz uwe na elimu ya chuo kikuu mbowe alishagombea kama sijakosea tunahojije tena elimu yake
 
Majibu ya hii thread ni rahisi sana.

(1) Primary Mbowe alisoma _________

(2) O'level Mbowe alisoma ___________

(3) High Level Mbowe alisoma _______

(4) Chuo Mbowe alisoma ____________

Mjadala huu ungekuwa umekwisha muda mrefu sana.
 
Elimu yako nawe itakuwa na mashaka.. Nalichomaanisha hapo ni Mtei hausiki na uajiri wa Mbowe BOT maana Mbowe akiwa mfanyakazi hapo Mtei alishaondokaga miaka mingi
Hapa swali ni elimu ya Mbowe mkuu acha kuzunguuka kutafuta vitu tofauti na hoja ya msingi.Unalo jibu litoe,huna subiri wenye nalo,Anzia elimu ya msingi mpaka mwisho huko kwenye ajira tutaleta uzi humu,mleta mada alimaanisha huyu mbow alipataje kazi BOT wakati hata elimu yake haijulikani,nina mashaka na elimu yako kama Mbowe.
 
[QUOTEkusoma name kuandikam, post: 18705821, member: 206115"]hivi ubunge unahitaji elimu ya darasa la ngapi...kama ni darasa la saba basi katibu wa bunge awajibishwe kwa kushindwa kumfukuza bungeni mbunge ambaye hajawahi kusoma popote....nb pia shame on wabunge wasomi kama tundu na wengine kukubali kuongozwa ndani ya chama na bungeni na mtu ambaye elimu yake ina mashaka....[/QUOTE]
 
Majibu ya hii thread ni rahisi sana.

(1) Primary Mbowe alisoma ____Nkwannara/Nkwasira,Nkwamwasi primary school_____

(2) O'level Mbowe alisoma _______Ashira Secondary____

(3) High Level Mbowe alisoma ______Weruweru girls_

(4) Chuo Mbowe alisoma _________UDSM___

Mjadala huu ungekuwa umekwisha muda mrefu sana.
Mkuu samahani nimewapa mfano wa kujaza hayo maswali,mwenye jibu afute ajaze hivyo vipengele hapo juu huo hapo ni mfano,mkimaliza mjaze na vya Lema kwa mtiririko huo afu mmalizie na Tundu Lissu star wenu!
 
Anaandika Magoiga SN kutoka Mwanza

Hata Kama Elimu Yake Haina Umuhimu Lakini Historia ya Elimu Yake ni Muhimu Kwa Vizazi Vijavyo
Magoiga SN-Mwanza

Kama kuna kitu ambacho hakuna mtanzania anayekifahamu bayana ni elimu ya Freeman. Hakuna mtu yeyote ajuaye Freeman alisoma wapi elimu ya msingi, elimu ya sekondari wala chuo. Hakuna mtu hata mmoja ndani ya chama chake anayeweza kusema bayana kuwa anaifahamu historia ya kielimu ya kiongozi wao.

Mwaka 2015 Mtatiro alijaribu sana kufuatilia elimu ya Freeman ili aweze kuandika makala yake iliyochapishwa ktk gazeti la Mwananchi bila mafanikio. Hakuna taasisi yeyote nchini inayoweza kudhibitisha kuwa Freeman aliwahi kusoma ktk shule yao.

Hii ni hoja ambayo hakuna anayeweza kuijibu wala kupinga kwa hoja, sana sana wakijaribu kuijibu wataanza matusi, na kusema kuwa elimu ya Freeman haina umuhimu wowote ule kuifahamu. Kwanini wanatumia nguvu kubwa ya kurasa 100 kusema na kuelezea jinai ambavyo elimu ya Freeman haina umuhimu huku wanaweza kutumia ukurasa mmoja tu KUIJIBU HIYO HOJA NA KUWAFUNGA MDOMO WANAOHOJI??

Hapo ndipo ujue kuna shida mahala.
Lakini wanasahau kwamba, hata historia ya marehemu huwa kuna kipengele kinachoelezea historia fupi ya safari ya kielimu ya marehemu hata kama aliishia darasa la nne.

Katika moja ya Makala nzito kuwahi kuandikwa na Mtatiro anasema "wasomaji wataniqia radhi maana taarifa za kielimu za mtu huyu haziko wazi, hata tovuti ya bunge haina taatufa zake. Nimejaribu kuwasiliana na ofisi yake na watu wake wa karibu ndani chama chake, ambao wengine ni marafiki zangu, waliniahidi kunisaidia kuupata wasifu huo wa kielimu lakoni baadae wakakataa kuwa hawawezi kuutoa.. ", mwisho wa kunukuu

Maelezo Zaidi BONYEZA Hapo Chini Kusoma Alivyoandika Mtatiro Kuhusu Historia ya Elimu ya Freeman http://www.mwananchi.co.tz/…/1625946-2738300-1dq…/index.html

JE KWANINI HISTORIA YA ELIMU YA FREEMAN NI SIRI??
Katika moja ya sababu zinazoweza kusababisha elimu ya mtu kuwa siri kubwa ni ENDAPO ELIMU HIYO ilikuwa na matatizo makubwa au mtu huyo hakuwahi kusoma kabisa.

Ukitaka kutafuta historia ya kielimu ya Freeman hutaweza kuipata, na hakuna anayejua lolote, ndiyo maana wengi wanajaribu kuhoji huenda Jina Freeman hakuwahi kulitumia katika masuala ya Elimu hata siku moja (Hayo ni baadhi ya majibu dhania unayoweza kuyawaza)

Au kama aliwahi kulitumia, kuna mahala atakuwa alibadili jina na kutumia jina la mtu mwingine nk??
Freeman alisoma wapi shule ya msingi?? Hilo linajibika
Je Freeman alisoma wapi elimu ya sekondari (o level)?? Na alikuwa akitumia jina gani sekondari??

Na ni kwanini hakuna mtu yeyote anayejitokeza kusema kuwa alisoma na Freeman ?? Utawasikia watu wakisema walisoma na Nyerere, Mwinyi nk lakini hakuna anayesema. Alisoma na Freeman. Why?? Kama wapo bado binafsi sijawaaikia huenda baada ya makala hii nitawasikia waliosoma na Freeman ili niwaulize maswali

Ndugu yangu mmoja amenitaarifu kuwa Freeman alisoma elimu ya kidato cha sita (Form Six) pale IHUNGO sekondari Bukoba, lakini INASEMEKANA HAKUWA AKITUMIA JINA LA Freeman. Why?? IKIWA ni kweli, Ilikuwa vipi aende kidato cha tano na sita kwa jina tofauti na jina analotumia sasa?? Je alibadili jina au ALIIBA JINA LA MWANAFUNZI ambaye alikosa uwezo wa kifedha wa kuendelea na masomo??

Kuna habari inayosema kuwa Freeman alipata Ziro 'Form Six' Pia kuna habari zinazosema kuwa Mwaka 2007/2008 Freeman alijiunga Chuo kimoja huko Uingereza ambapo alikuwa akisoma masomo ya ngazi ya Diploma, lakini Marehemu Wangwe alipoanza harakati za kutaka kugombea Uenyekiti wa Chama, Freeman alilazimika kukatisha masomo na kurejea nchini ili Kulinda Kiti chake kilichokuwa hatarini kunyakuliwa kidemokrasia. Hapo ndipo Wangwe alipovuliwa nafasi zake zote ndani ya chama na kuambiwa kuwa ni msaliti.

Freeman aliwahi kufanya kazi Benki Kuu katika kitengo muhimu kwa muda mrefu. Bado haijulikani aliweza vipi kupata kazi benki kuu ilihali kidato cha nne hakuwa amefaulu, na kidato cha sita inadaiwa kuwa alipata Ziro?? Lakini baadaye jibu likapatokana kuwa Aliyekuwa Gavana wa Benki kuu wakati huo alikuwa Baba Mkwe Wake Mzee Mtei, Mwasisi wa CDM ambaye baadae Kibwetere alimuoa binti yake, na Freeman akapewa uenyekiti wa chama.

Kitu pekee ambacho kinajulikana kuhusu elimu ya Mbowe ni kuwa ANAWEZA KUSOMA NA KUONGEA KIINGEREZA KWA WASTANI. Ingekuwa kiingereza ndiyo kipimo cha usomu Freeman angekuwa amefaulu vyema
Je umeelewa nini mpaka sasa kwa ufupi??
Je Freeman alifeli 'form four'?

Je ni kweli kuwa alijiunga' Form Six' kwa kutumia jina la mwanafunzi mwingine aliyefaulu ila hakuwa na fedha. Zamani ulikuwa ukinunua jina la mwenye akili asiye na pesa
Je ni kweli kuwa 'Form Six' alipata Ziro, ila huwezi kupata jina la Freeman maana hakuwa anatumia jina lake wakati huo. Kumbuka alikuwa anatumia jina la mwanafunzi mwingine.

Alifanya Kazi benki kuu kwa kupewa na Baba Mkwe wake wa Sasa, hakuwa na vigezo vya kitaaluma kufanya kazi aliyokuwa akiifanya Benki Kuu. Maana baba mkwe wa sasa ndiye aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu. Huyo huyo ndiye akiyemkabidhi chama baada ya kumuoa binti yake.

[HASHTAG]#Note[/HASHTAG]: Baada ya andiko hili, watu watajitokeza ili kuelezea jinsi wanavyoifahamu historia ya kielimu ya Freeman, tutaweza kulinganisha habari zao na hizi zilizoandikwa hapa mpaka tutakapoupata ukweli. Historia ni muhimu sana, vizazi vijavyo vitashindwa kuandika vitabu kuelezea Shujaa wao Freeman kwa kukosa taarifa muhimu sana kumhusu

[HASHTAG]#FreemanAmesomaWapiFormFour[/HASHTAG]??
[HASHTAG]#FreemanAmesomaWapiFormSix[/HASHTAG]??
[HASHTAG]#FreemanAmesomaWapiFormChuo[/HASHTAG]??
[HASHTAG]#NaniAliwahiKusomaNaFreeman[/HASHTAG]??
[HASHTAG]#FreemanAlifauluVipi[/HASHTAG]??

Tutakuwa tukipokea majibu na kulinganisha na uhalisia, mpaka pale hoja nzima itakapopata majibu. Usishangae kuona wafuasi wengi wakijaribu kukwepa hoja kwa kuleta matusi, mzaha na dhihaka. Wengine watasema weka wewe CV yako kwanza nk wavumilie maana huo ndiyo uwezo wao

INAENDELEA.....................
Magoiga SN-Mwanza
Mwenyekiti wa Muda-CCM Tawi la Mitandaoni
Napenda kujuzwa na wataalamu wa masuala ya sheria ukiwemo wewe Samwel N Magoiga; my school mate(Mkwawa High School): Mbowe aligombea urais 2005 kwa tiketi ya CHADEMA na sheria ya uchaguzi inamtaka mgombea wa kiti cha urais awe na Elimu ya kuanzia Shahada ya Kwanza.

Swali ni: Kama elimu yake haieleweki aliwezaje kujipenyeza na kugombea nafasi hiyo kubwa nchini? Je, tume ya judge aliyekuwa Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi alimbeba? Na kama alibebwa vipi vyama husika havikuweza kumwekea pingamizi la uchaguzi?

"Magoiga SN majibu Tafadhali "
 
Anaandika Magoiga SN kutoka Mwanza

Hata Kama Elimu Yake Haina Umuhimu Lakini Historia ya Elimu Yake ni Muhimu Kwa Vizazi Vijavyo
Magoiga SN-Mwanza

Kama kuna kitu ambacho hakuna mtanzania anayekifahamu bayana ni elimu ya Freeman. Hakuna mtu yeyote ajuaye Freeman alisoma wapi elimu ya msingi, elimu ya sekondari wala chuo. Hakuna mtu hata mmoja ndani ya chama chake anayeweza kusema bayana kuwa anaifahamu historia ya kielimu ya kiongozi wao.

Mwaka 2015 Mtatiro alijaribu sana kufuatilia elimu ya Freeman ili aweze kuandika makala yake iliyochapishwa ktk gazeti la Mwananchi bila mafanikio. Hakuna taasisi yeyote nchini inayoweza kudhibitisha kuwa Freeman aliwahi kusoma ktk shule yao.

Hii ni hoja ambayo hakuna anayeweza kuijibu wala kupinga kwa hoja, sana sana wakijaribu kuijibu wataanza matusi, na kusema kuwa elimu ya Freeman haina umuhimu wowote ule kuifahamu. Kwanini wanatumia nguvu kubwa ya kurasa 100 kusema na kuelezea jinai ambavyo elimu ya Freeman haina umuhimu huku wanaweza kutumia ukurasa mmoja tu KUIJIBU HIYO HOJA NA KUWAFUNGA MDOMO WANAOHOJI??

Hapo ndipo ujue kuna shida mahala.
Lakini wanasahau kwamba, hata historia ya marehemu huwa kuna kipengele kinachoelezea historia fupi ya safari ya kielimu ya marehemu hata kama aliishia darasa la nne.

Katika moja ya Makala nzito kuwahi kuandikwa na Mtatiro anasema "wasomaji wataniqia radhi maana taarifa za kielimu za mtu huyu haziko wazi, hata tovuti ya bunge haina taatufa zake. Nimejaribu kuwasiliana na ofisi yake na watu wake wa karibu ndani chama chake, ambao wengine ni marafiki zangu, waliniahidi kunisaidia kuupata wasifu huo wa kielimu lakoni baadae wakakataa kuwa hawawezi kuutoa.. ", mwisho wa kunukuu

Maelezo Zaidi BONYEZA Hapo Chini Kusoma Alivyoandika Mtatiro Kuhusu Historia ya Elimu ya Freeman http://www.mwananchi.co.tz/…/1625946-2738300-1dq…/index.html

JE KWANINI HISTORIA YA ELIMU YA FREEMAN NI SIRI??
Katika moja ya sababu zinazoweza kusababisha elimu ya mtu kuwa siri kubwa ni ENDAPO ELIMU HIYO ilikuwa na matatizo makubwa au mtu huyo hakuwahi kusoma kabisa.

Ukitaka kutafuta historia ya kielimu ya Freeman hutaweza kuipata, na hakuna anayejua lolote, ndiyo maana wengi wanajaribu kuhoji huenda Jina Freeman hakuwahi kulitumia katika masuala ya Elimu hata siku moja (Hayo ni baadhi ya majibu dhania unayoweza kuyawaza)

Au kama aliwahi kulitumia, kuna mahala atakuwa alibadili jina na kutumia jina la mtu mwingine nk??
Freeman alisoma wapi shule ya msingi?? Hilo linajibika
Je Freeman alisoma wapi elimu ya sekondari (o level)?? Na alikuwa akitumia jina gani sekondari??

Na ni kwanini hakuna mtu yeyote anayejitokeza kusema kuwa alisoma na Freeman ?? Utawasikia watu wakisema walisoma na Nyerere, Mwinyi nk lakini hakuna anayesema. Alisoma na Freeman. Why?? Kama wapo bado binafsi sijawaaikia huenda baada ya makala hii nitawasikia waliosoma na Freeman ili niwaulize maswali

Ndugu yangu mmoja amenitaarifu kuwa Freeman alisoma elimu ya kidato cha sita (Form Six) pale IHUNGO sekondari Bukoba, lakini INASEMEKANA HAKUWA AKITUMIA JINA LA Freeman. Why?? IKIWA ni kweli, Ilikuwa vipi aende kidato cha tano na sita kwa jina tofauti na jina analotumia sasa?? Je alibadili jina au ALIIBA JINA LA MWANAFUNZI ambaye alikosa uwezo wa kifedha wa kuendelea na masomo??

Kuna habari inayosema kuwa Freeman alipata Ziro 'Form Six' Pia kuna habari zinazosema kuwa Mwaka 2007/2008 Freeman alijiunga Chuo kimoja huko Uingereza ambapo alikuwa akisoma masomo ya ngazi ya Diploma, lakini Marehemu Wangwe alipoanza harakati za kutaka kugombea Uenyekiti wa Chama, Freeman alilazimika kukatisha masomo na kurejea nchini ili Kulinda Kiti chake kilichokuwa hatarini kunyakuliwa kidemokrasia. Hapo ndipo Wangwe alipovuliwa nafasi zake zote ndani ya chama na kuambiwa kuwa ni msaliti.

Freeman aliwahi kufanya kazi Benki Kuu katika kitengo muhimu kwa muda mrefu. Bado haijulikani aliweza vipi kupata kazi benki kuu ilihali kidato cha nne hakuwa amefaulu, na kidato cha sita inadaiwa kuwa alipata Ziro?? Lakini baadaye jibu likapatokana kuwa Aliyekuwa Gavana wa Benki kuu wakati huo alikuwa Baba Mkwe Wake Mzee Mtei, Mwasisi wa CDM ambaye baadae Kibwetere alimuoa binti yake, na Freeman akapewa uenyekiti wa chama.

Kitu pekee ambacho kinajulikana kuhusu elimu ya Mbowe ni kuwa ANAWEZA KUSOMA NA KUONGEA KIINGEREZA KWA WASTANI. Ingekuwa kiingereza ndiyo kipimo cha usomu Freeman angekuwa amefaulu vyema
Je umeelewa nini mpaka sasa kwa ufupi??
Je Freeman alifeli 'form four'?

Je ni kweli kuwa alijiunga' Form Six' kwa kutumia jina la mwanafunzi mwingine aliyefaulu ila hakuwa na fedha. Zamani ulikuwa ukinunua jina la mwenye akili asiye na pesa
Je ni kweli kuwa 'Form Six' alipata Ziro, ila huwezi kupata jina la Freeman maana hakuwa anatumia jina lake wakati huo. Kumbuka alikuwa anatumia jina la mwanafunzi mwingine.

Alifanya Kazi benki kuu kwa kupewa na Baba Mkwe wake wa Sasa, hakuwa na vigezo vya kitaaluma kufanya kazi aliyokuwa akiifanya Benki Kuu. Maana baba mkwe wa sasa ndiye aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu. Huyo huyo ndiye akiyemkabidhi chama baada ya kumuoa binti yake.

[HASHTAG]#Note[/HASHTAG]: Baada ya andiko hili, watu watajitokeza ili kuelezea jinsi wanavyoifahamu historia ya kielimu ya Freeman, tutaweza kulinganisha habari zao na hizi zilizoandikwa hapa mpaka tutakapoupata ukweli. Historia ni muhimu sana, vizazi vijavyo vitashindwa kuandika vitabu kuelezea Shujaa wao Freeman kwa kukosa taarifa muhimu sana kumhusu

[HASHTAG]#FreemanAmesomaWapiFormFour[/HASHTAG]??
[HASHTAG]#FreemanAmesomaWapiFormSix[/HASHTAG]??
[HASHTAG]#FreemanAmesomaWapiFormChuo[/HASHTAG]??
[HASHTAG]#NaniAliwahiKusomaNaFreeman[/HASHTAG]??
[HASHTAG]#FreemanAlifauluVipi[/HASHTAG]??

Tutakuwa tukipokea majibu na kulinganisha na uhalisia, mpaka pale hoja nzima itakapopata majibu. Usishangae kuona wafuasi wengi wakijaribu kukwepa hoja kwa kuleta matusi, mzaha na dhihaka. Wengine watasema weka wewe CV yako kwanza nk wavumilie maana huo ndiyo uwezo wao

INAENDELEA.....................
Magoiga SN-Mwanza
Mwenyekiti wa Muda-CCM Tawi la Mitandaoni
Napenda kujuzwa na wataalamu wa masuala ya sheria ukiwemo wewe Samwel N Magoiga; my school mate: Mbowe aligombea urais 2005 kwa tiketi ya CHADEMA na sheria ya uchaguzi inamtaka mgombea wa kiti cha urais awe na Elimu ya kuanzia Shahada ya Kwanza.

Swali ni: Kama elimu yake haieleweki aliwezaje kujipenyeza na kugombea nafasi hiyo kubwa nchini? Je, tume ya judge aliyekuwa Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi alimbeba? Na kama alibebwa vipi vyama husika havikuweza kumwekea pingamizi la uchaguzi?

"Magoiga SN majibu Tafadhali "
 
Nini lengo lako hasa? Je elimu yake inasaidia nini katika maisha ya leo?
Ni haki kujua. Na ndiyo maana hata kina mwigulu chemba wanaulizwa. Kama hujui bora utulie kuliko kujidhalilisha mwanaume
 
Napenda kujuzwa na wataalamu wa masuala ya sheria ukiwemo wewe Samwel N Magoiga; my school mate: Mbowe aligombea urais 2005 kwa tiketi ya CHADEMA na sheria ya uchaguzi inamtaka mgombea wa kiti cha urais awe na Elimu ya kuanzia Shahada ya Kwanza.

Swali ni: Kama elimu yake haieleweki aliwezaje kujipenyeza na kugombea nafasi hiyo kubwa nchini? Je, tume ya judge aliyekuwa Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi alimbeba? Na kama alibebwa vipi vyama husika havikuweza kumwekea pingamizi la uchaguzi?

"Magoiga SN majibu Tafadhali "

Hakuna sheria ya mgombea urais kuwa na shahada kwenye katiba ya nchi na haijawahi kuwepo.

Mtakuwa mnalishana matango pori tu sababu hayo mambo ya degree yalikuwa kwenye rasmu ya katiba mwaka jana.

Kasome katiba ya JMT ya 1977 kifungu cha 39(1) sifa za kugomvea urais ziko pale hakuna degree wala certificate bali ujue kusoma na kuandika kama ilivyo kwa wabunge.
 
Back
Top Bottom