Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

Kama hayo yálifahamika na mtoa mada..Napata shaka kuwa aliyempatia hayo maelezo naye ni fisadi,,kwakuwa aliyajua hayo na akayafumbia macho..Huku wanyonge wakiteketea kwa dhiki..Siasa za bongo ni unafiki tu.Mtu akienguliwa kwenye chama ndo anaanza kutoa shutma na kashfa lakini akiwa yupo katika nyadhifa asemi lolote,,anakula tuuuuu mapaka kuvimbiwa

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Sikia wewe, unaweza kufanya jambo ukajua unasifiwa kumbe unadharaurika, yaani unakaa na kuandika kuhusu ndoa za watu, itatusaidia nini watanzania na matatizo tuliyonayo ambayo mwasisi wake ni ccm na ufisadi wao, kwanza huijui historia ya Mbowe, wala hujui taratibu za Chadema kuhusu kugombea urais, tangu kilipoanzishwa mpaka hapa, uliza wanaojua wakueleze, using'ang'aze kujifanya unajua kitu kumbe hujui, haya mambo uliyoandika wewe ni marudio, siyo mapya, waliishaandika wapuuzi kama wewe wakaishia patupu, lakini sio kosa lako, usipomsema Mbowe kwa namna anavyotisha kwa mafisadi wa ccm, ambao ndio walokutuma uandike huu upuuzi, utamsema nani, kamanda wa anga yupo anawakilisha vyema bungeni, anakuwakilisha hata wewe usiyejitambua, si umemsikia jana, utatumika mpaka utaugua fistula.
 
Nimekuwa nikisikia sikia kuwa mwenyekiti wa CHADEMA mh.Freeman Mbowe ni form six tu hana stashahada wa shahada yoyote, wakuu kama hiyo ni kweli basi jamaa ni kichwa tena ni next level,kwa sababu: 1.Ameweza kuongeza wabunge ndani ya CHADEMA tena akishindana na wasomi kutoka CCM na vyama vingine ambako kuna maprofesa na ma 'first class' wengi . 2.Amekuwa na uwezo wa kuongea na wananchi na akaeleweka kirahisi,mfano;ana uwezo wa kuitisha maandamano kirahisi sana kuliko kiongozi kutoka CCM na kwingineko, wakati hao wa vyama vingine wana elimu kubwa mno ukimlinganisha na mbowe 'six leaver' 3.Ni kiongozi wa chama kikubwa cha upinzani Tanzania tena ni KUB, na kwa kweli CHADEMA imefanikiwa kujitangaza sana kwenye kipindi chake. kwa sababu hizo inaonesha kuwa uwezo wake ni mkubwa,na ukilinganisha na elimu yake ya form six (kama ni kwel) ni inversely proportional, yaani ana uwezo mkubwa kuzid elimu aliyonayo, jamaa ni bonge la 'genius', yaana anashndana na maprofesa? six leaver?
 
Nimekuwa nikisikia sikia kuwa mwenyekiti wa CHADEMA mh.Freeman Mbowe ni form six tu hana stashahada wa shahada yoyote, wakuu kama hiyo ni kweli basi jamaa ni kichwa tena ni next level,kwa sababu: 1.Ameweza kuongeza wabunge ndani ya CHADEMA tena akishindana na wasomi kutoka CCM na vyama vingine ambako kuna maprofesa na ma 'first class' wengi . 2.Amekuwa na uwezo wa kuongea na wananchi na akaeleweka kirahisi,mfano;ana uwezo wa kuitisha maandamano kirahisi sana kuliko kiongozi kutoka CCM na kwingineko, wakati hao wa vyama vingine wana elimu kubwa mno ukimlinganisha na mbowe 'six leaver' 3.Ni kiongozi wa chama kikubwa cha upinzani Tanzania tena ni KUB, na kwa kweli CHADEMA imefanikiwa kujitangaza sana kwenye kipindi chake. kwa sababu hizo inaonesha kuwa uwezo wake ni mkubwa,na ukilinganisha na elimu yake ya form six (kama ni kwel) ni inversely proportional, yaani ana uwezo mkubwa kuzid elimu aliyonayo, jamaa ni bonge la 'genius', yaana anashndana na maprofesa? six leaver?

Namba 1. Aliyeongeza wabunge ni SLAA
namba 2. Kuwa na uwezo wa kutisha maamndamano ni sifa ya kiongozi bora?
namba 3.nani wa ksifiwa kwa kuwa KUB, Mbowe mwenyekiti wa chama Taifa au Hamad Rashidi ambaye hakuwa na cheo chochote kwenye chama? CDM imejitangaza kipindi cha MBOWE kwa sababu ya Katibu mkuu SLAA kuwa nyota ya kukubalika kipindi hicho na siyo vinginevyo.

Kwa kifupi, hoja ulizozitoa kama vigezo vya MBOWE kuwa genius ni hoja hafifu sana, labda kama haujui genius ni mtu wa namna gani.
 
Cv ya mbowe haitusaidii mimi binafsi ni mwanachama wa chadema na mbowe ni mwenyekiti wangu mpaka hapo atakapoondolewa na kamati kuu. Full stop. Cv ni yake kapuya ni prf. Hana lolote
 
Jk ana elimu cheti tu, usimsifu, unafikiri ukikaa na Obama ndio yeye anakuona una akili sana, akilini mwake anakupambanua na anajua wazi wewe ni stupid, but, hatokuambia
mbona kila ushauri anaotoa bungeni hata hili la katiba unakubaliwa?
 
Waraka wa Zitto na wenzake unasema...''Elimu ya mwenyekiti ni ya magumashi, hana vision na hana uwezo wa kujieleleza'' ....Tundu Lissu.
 
Nimekuwa nikisikia sikia kuwa mwenyekiti wa CHADEMA mh.Freeman Mbowe ni form six tu hana stashahada wa shahada yoyote, wakuu kama hiyo ni kweli basi jamaa ni kichwa tena ni next level,kwa sababu: 1.Ameweza kuongeza wabunge ndani ya CHADEMA tena akishindana na wasomi kutoka CCM na vyama vingine ambako kuna maprofesa na ma 'first class' wengi . 2.Amekuwa na uwezo wa kuongea na wananchi na akaeleweka kirahisi,mfano;ana uwezo wa kuitisha maandamano kirahisi sana kuliko kiongozi kutoka CCM na kwingineko, wakati hao wa vyama vingine wana elimu kubwa mno ukimlinganisha na mbowe 'six leaver' 3.Ni kiongozi wa chama kikubwa cha upinzani Tanzania tena ni KUB, na kwa kweli CHADEMA imefanikiwa kujitangaza sana kwenye kipindi chake. kwa sababu hizo inaonesha kuwa uwezo wake ni mkubwa,na ukilinganisha na elimu yake ya form six (kama ni kwel) ni inversely proportional, yaani ana uwezo mkubwa kuzid elimu aliyonayo, jamaa ni bonge la 'genius', yaan. well said brother.
 
Mimi nina Masters mbili za sheria, lakini hata nikiziweka jamvini zitakusaidia nini, mimi siyo mwanasiasa ila kuweka ya Mkulu wa CDM ni muhimu kwani ni kiongozi wa watanzania wengi tu.
Kweli kaka elimu siyo uongozi bali ni karama kutoka kwa Mungu,kwani tuna maprofesa wangapi ambao hawajitambui na mielimu yao siye tunachotaka ni uchapa kazi elimu ya mtu haitusaidii mathalani awe anajua kusoma na kuandika!
 
Namba 1. Aliyeongeza wabunge ni SLAA
namba 2. Kuwa na uwezo wa kutisha maamndamano ni sifa ya kiongozi bora?
namba 3.nani wa ksifiwa kwa kuwa KUB, Mbowe mwenyekiti wa chama Taifa au Hamad Rashidi ambaye hakuwa na cheo chochote kwenye chama? CDM imejitangaza kipindi cha MBOWE kwa sababu ya Katibu mkuu SLAA kuwa nyota ya kukubalika kipindi hicho na siyo vinginevyo.

Kwa kifupi, hoja ulizozitoa kama vigezo vya MBOWE kuwa genius ni hoja hafifu sana, labda kama haujui genius ni mtu wa namna gani.

Umejaribu kuzikana point zangu zote, ok labda nikuulize ni form six leaver gani aliyejiingiza kwenye siasa(ktk kipnd hiki cha wasomi wengi) alafu akang'ara,kusikika na kukubalika kama mbowe? we hushangai six leaver gani mwenye uwezo kiasi hicho? hivi ukisikia mtoto wa darasa la 2 au 3 amesolve swali la trignometric au calculus hutashtuka? hebu iangalie elimu ya form six alafu mwangalie mbowe, you note nothing different brother? hebu vua hiyo miwani, then you'll see., Tchaooo...
 
Kweli kaka elimu siyo uongozi bali ni karama kutoka kwa Mungu,kwani tuna maprofesa wangapi ambao hawajitambui na mielimu yao siye tunachotaka ni uchapa kazi elimu ya mtu haitusaidii mathalani awe anajua kusoma na kuandika!

Mbowe ana Mapungufu yake ,mfano la kupiga marufuku wanachadema kumkumbuka Chacha Wangwe pia Ufujaji pesa za chama na Rushwa ya Ngono viti maalum.Lakini Kwa hili la CV namtetea kwani wale wasomi hawana Mfano wa kuigwa,Nchi imeathilika kwa mikataba mibovu iliyosainiwa na hao hao wanaojiita Wasomi
 
Wasomi TZ?tambua bongo Mtu anaweza kuiba mitihani kuanzia Shule ya Msingi,sekondari hadi chuo kikuu hadi masters na Akamiliki Cheti kiujanja janja Tu.ndio maana Ma Dr wengi na Maprifesa wengi hapa Tz si watendaji na wawajibikaji bora ! Siasa ya Tz inahitaji Kipawa na Elimu ya kawaida tu ya kujielewa
 
Mbowe na kelele zote zile kumbe ni Form Four Leaver?!!!

Nimemdharau kweli yani. Fursa ya kusoma alikuwa nayo, sasa kwanini aishie kidato cha nne?
 
Mbowe na kelele zote zile kumbe ni Form Four Leaver?!!!

Nimemdharau kweli yani. Fursa ya kusoma alikuwa nayo, sasa kwanini aishie kidato cha nne?

mbowe pamoja na kutoka familia ya kitajiri na kusoma shule nzuri alikuwa hana akili kabisa darasani. alikuwa kinara wa kuchora mazombie kwenye karatasi za mitihani . ndio maana akapata division ziro
 
Umejaribu kuzikana point zangu zote, ok labda nikuulize ni form six leaver gani aliyejiingiza kwenye siasa(ktk kipnd hiki cha wasomi wengi) alafu akang'ara,kusikika na kukubalika kama mbowe? we hushangai six leaver gani mwenye uwezo kiasi hicho? hivi ukisikia mtoto wa darasa la 2 au 3 amesolve swali la trignometric au calculus hutashtuka? hebu iangalie elimu ya form six alafu mwangalie mbowe, you note nothing different brother? hebu vua hiyo miwani, then you'll see., Tchaooo...

big up bro Hali nimekusoma
 
Back
Top Bottom