Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

Wasifu (CV) wa Freeman Mbowe huu hapa...

Labda Katiba mpya isisitize mgombea urais awe na shahada angalau moja kutoa vihiyo

Hiyo sio dawa, KWANI: BAADA YA CHAGUZI NDOGO MOJA TU, 10% YA 'CHOPPERS' INATOSHA KABISA KUNUNUA PHDs KUMI!
LAKINI TATIZO HALISI SIO HILO LA SHAHADA BALI UBINAFSI NA UMIMI WAKE UNAOANGAMIZA CHAMA NA AMBAO UNAWEZA KABISA LIPUA HAKA KANCHI 'DELICATE'!
TUNATAKA SANA MABADILIKO, LAKINI YAWE CHANYA NA ENDELEVU!
 
Member of Parliament CV


GENERAL
Salutation Honourable Member picture


First Name: Freeman
Middle Name: Aikaeli
Last Name: Mbowe
Member Type: Constituency Member
Constituent: Hai
Political Party: CHADEMA
Office Location: P.O. Box 3070, Moshi
Office Phone:
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: fmbowe@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth
EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Secondary School Secondary Education - - HIGH SCHOOL
EMPLOYMENT HISTORY
Company Name Position From Date To Date
Bank of Tanzania Bank Officer -


Source: Parliament of Tanzania
 
Weka kwanza yako na ya mahawala zako ndo tukuwekee ya kamanda wa anga jemedali na mkomboz wa wanyonge
 
nimekuwa nikifuatilia sana siasa za Tanzania na nimegundua hata huu umasikini tulionao ni matokeo ya siasa chafu na nyepesi. Hivyo nimejenga utamaduni wa kujua historia za kielimu na kijamii za viongozi wa vyama vya siasa ili niweze kupima kauli zao kulingana na historia hizo hasa ELIMU. Ambae ana CV ya Mbowe anipatie tafadhali nimjue vizur kiongozi wangu.
 
Ficha ujinga wako CV ya mbowe unaitaka wewe kama nani ?weka CV ya mwenyekiti wenu wa chama kwanza.
 
so what?! ya kikwete, lipumba, mbatia, mrema unazo? kama unazo ziweke hapa tuzione.
 
nimekuwa nikifuatilia sana siasa za Tanzania na nimegundua hata huu umasikini tulionao ni matokeo ya siasa chafu na nyepesi. Hivyo nimejenga utamaduni wa kujua historia za kielimu na kijamii za viongozi wa vyama vya siasa ili niweze kupima kauli zao kulingana na historia hizo hasa ELIMU. Ambae ana CV ya Mbowe anipatie tafadhali nimjue vizur kiongozi wangu.

Halafu we mwanaharati uwe a heshima haya mambo ya kuulizia CV ya Mboe yanatoka wapi sasa. Chonde chonde ulizia CV za watu wote lakini mwenyekiti wetu koma. huyu ni mwenyekiti makini na mchapa kazi
 
Back
Top Bottom