wasichana wengi wanaomaliza vyuo vikuu hawaolewi

ukweli jamaa kaanika mfupa hapa na nionavyo wengi katika uchangiaji wanaumauma meno tu, dalili za ukweli huo ni mkubwa, ingawa kuna wanaoolewa, lakini idadi kubwa hawaolewi.

Dhana hii inatokana na ukweli wa mapokea katika jamii zetu za kitanzania kwamba msichana mwenye umri mkubwa hafai kuolewa, na zama hizo alitakiwa kuwa mke wa pili akishapitisha umri mzuri wa ubichi. Pengine wengi wetu ni ule woga wa ukweli kuhusu usawa na haki za mwanamke ndani ya nyumba. Wanaume wasiokuwa tayari kwenda na wakati wanaona bora kwenda kuoa asiyeelimika au ambaye yuko tayari na mfumo dume wa mapokea. Lakini kazi anayokuwa nayo ni kubwa katika familia tofauti kama angemwoa msichana msomi wangetegemezana vizuri katika kujenga familia yao.

Wasichana waliohitimu vyuo vikuu wanatakiwa kujieleza kwa uwazi ubora wao kama mwanaume atawaoa na advantage tofauti na akioa msichana ambaye hana elimu na ana umri mdogo.
umemalizaaa mkuu,wengine wanabeat around the bushes......big up
 
ukweli jamaa kaanika mfupa hapa na nionavyo wengi katika uchangiaji wanaumauma meno tu, dalili za ukweli huo ni mkubwa, ingawa kuna wanaoolewa, lakini idadi kubwa hawaolewi.

Dhana hii inatokana na ukweli wa mapokea katika jamii zetu za kitanzania kwamba msichana mwenye umri mkubwa hafai kuolewa, na zama hizo alitakiwa kuwa mke wa pili akishapitisha umri mzuri wa ubichi. Pengine wengi wetu ni ule woga wa ukweli kuhusu usawa na haki za mwanamke ndani ya nyumba. Wanaume wasiokuwa tayari kwenda na wakati wanaona bora kwenda kuoa asiyeelimika au ambaye yuko tayari na mfumo dume wa mapokea. Lakini kazi anayokuwa nayo ni kubwa katika familia tofauti kama angemwoa msichana msomi wangetegemezana vizuri katika kujenga familia yao.

Wasichana waliohitimu vyuo vikuu wanatakiwa kujieleza kwa uwazi ubora wao kama mwanaume atawaoa na advantage tofauti na akioa msichana ambaye hana elimu na ana umri mdogo.
umemalizaaa mkuu,wengine wanabeat around the bushes......big up
 
Dah!hizi tafiti zingine upotoshaji tu!mbona wanaolewa wengi tu!hebu uctuchurie km dada zako ndio wametoswa kimpango wenu,shule tumeenda na tutaolewa kwa jina la yesu,ebo!

mpe huyo.. yote mipango y mungu, taft yako utakuwa ulifanyia kijjn kwako rfk
 
Nimegundua mambo kadhaa, hakuna mahali ambapo ni rahisi KUMKATA(sex) mwanamke kama chuoni, yaani ni wepesi sana sijawahi kuona popote, wanamegeka kivyepesi sana, wanawasaliti sana wapenzi wao. Hivyo mtazamo uliopo ni kwamba wanawake waliopitia vyuo WASHATUMIKA sana, kitu kingine wanawake waliopitia vyuo hua wanatabia ya kuleta USONGO katika mapenzi, wanataka waapply education ktk mahusiano! Hata mimi SIWEZI KUOA MDADA aliemaliza chuo LABDA niwenae ktk mahusiano KABLA hajafika chuo.. Chuoni ni kuchafu sana wakuu.. Roho hua inaniuma sana nikiwaona hawa dada zetu wanavyofanywa huku vyuoni..
 
Business-Woman_on-laptop_2_quavondo_i.jpg

She is caren.Owning two Master degrees.She is blessed with a nice husband and three kids.She is only 29.

Mbona wanaolewa jamani.Tena they are good mama.Especially ukipata mwanamke anaejua maisha ni nini.Na responsibility zake kama mwanamke.They are good helper.Mnavyosema wanamiaka mingi,mara wamezeeka..mara wanatumiwa..Siyo nyie mnaowadanganya???.Respect them woman.

WASICHANA MKIPATA CHANCE YA KUSOMA SOMENI.WAPO WATAKAO WAPENDA VIZURI SANA.ILA MJIHESHIMU.MSITISHIKE NA MANENO YA WAKOSAJI.SOMA MPAKA UTAKAPO ONA BASI.THERE IS SOMEONE THERE FOR YOU.:A S 465::A S 465:
 
Nimegundua mambo kadhaa, hakuna mahali ambapo ni rahisi KUMKATA(sex) mwanamke kama chuoni, yaani ni wepesi sana sijawahi kuona popote, wanamegeka kivyepesi sana, wanawasaliti sana wapenzi wao. Hivyo mtazamo uliopo ni kwamba wanawake waliopitia vyuo WASHATUMIKA sana, kitu kingine wanawake waliopitia vyuo hua wanatabia ya kuleta USONGO katika mapenzi, wanataka waapply education ktk mahusiano! Hata mimi SIWEZI KUOA MDADA aliemaliza chuo LABDA niwenae ktk mahusiano KABLA hajafika chuo.. Chuoni ni kuchafu sana wakuu.. Roho hua inaniuma sana nikiwaona hawa dada zetu wanavyofanywa huku vyuoni..

wewe umenikuna, yaani nimewamega kishenzi ..sasa mm nawaonea huruma wazazi na wanaowaoa mimi, hata mke wangu akitaka kwenda chuo labda tuvunje ndoa kwanza..maana kutafunwa chuo ni kama course ya lazma amegwe na amwagwe...dent chuo alinisalit wakt nipo nae...hawa sio watu kabisa...
 
Nimegundua mambo kadhaa, hakuna mahali ambapo ni rahisi KUMKATA(sex) mwanamke kama chuoni, yaani ni wepesi sana sijawahi kuona popote, wanamegeka kivyepesi sana, wanawasaliti sana wapenzi wao. Hivyo mtazamo uliopo ni kwamba wanawake waliopitia vyuo WASHATUMIKA sana, kitu kingine wanawake waliopitia vyuo hua wanatabia ya kuleta USONGO katika mapenzi, wanataka waapply education ktk mahusiano! Hata mimi SIWEZI KUOA MDADA aliemaliza chuo LABDA niwenae ktk mahusiano KABLA hajafika chuo.. Chuoni ni kuchafu sana wakuu.. Roho hua inaniuma sana nikiwaona hawa dada zetu wanavyofanywa huku vyuoni..

Unasikitisha usione mchele ukadhani wote wa mbeya
 
hawataki kukubali sio! bas tuseme wanaolewa pambafu zao...kujifny wajuaji

Na wasiwasi na hiyo Elimu yako acha uchafu wa matusi na kujisifia humu kuwa we mkali wa ngono kujisifia kuwa umewapitia wasichana wengi wa chuo ni sifa!huu ni ulimbukeni wa mawazo
 
Badili tabia likes this.....


View attachment 53888

She is caren.Owning two Master degrees.She is blessed with a nice husband and three kids.She is only 29.

Mbona wanaolewa jamani.Tena they are good mama.Especially ukipata mwanamke anaejua maisha ni nini.Na responsibility zake kama mwanamke.They are good helper.Mnavyosema wanamiaka mingi,mara wamezeeka..mara wanatumiwa..Siyo nyie mnaowadanganya???.Respect them woman.

WASICHANA MKIPATA CHANCE YA KUSOMA SOMENI.WAPO WATAKAO WAPENDA VIZURI SANA.ILA MJIHESHIMU.MSITISHIKE NA MANENO YA WAKOSAJI.SOMA MPAKA UTAKAPO ONA BASI.THERE IS SOMEONE THERE FOR YOU.:A S 465::A S 465:
 
Nadhani hili ni tatizo la vijana wa kileo zaidi. Mimi nikiangalia ma mate wangu woote sioni ambaye hajaolewa; wote waliolewa na wengi wakiwa bado below 30. Tatizo siku hizi si wadada wala wakaka wako kimaslahi zaidi matokeo yake unakuta wakaka wanalelewa hivyo hawana wazo la kuoa; na wadada wanatunzwa na waume za watu hivyo hawakumbuki kuwa umri unakwenda na hao waume za watu ni ngumu kuwaoa.

Ila bado wale wanaopenda kuolewa na ku behave kama kweli wanaweza kuwa wake za watu wanaolewa kila kukicha.

Bado kuna kundi la wale wanaomini kuwa kuwa single kuna faida kuliko kuwa kwenye ndoa na wasio amini mafundisho ya dini yanayotutaka tuzae watoto ndani ya ndoa; "single (independent) mothers' ndo wanavyojiita. Na hiyo framing imeanza kuwateka wengi sana. Kuna office mate wangu huwa akikorofishana na hubby wake anasema anaadmire single independent mothers - namwambia weeee usione watu wamejaa smiles ukadhani wao maisha yao ni paradiso. Ila watu kama nyie msiojua mtakacho lazima mjihisi mmekosea njia.

Hivyo kuna factor nyingi sana zinazofanya wadada wasiolewe kuanzia mtu kupenda (by choice), mtu kukosa (by chance), na mtu kuamini (belief).



katika utafiti niliofanya kwa miaka 2 wasichana wengi wanaosoma hadi vyuo vikuu huwa wankuwa na umri mkubwa , wachambuaji wa wachumba hali ambayo huwafanya wavulana wengi kuwakimbia(kuwapiga chini) hivyo kuishia kupigwa mimba na kuzaa watoto wasio na baba kitu ambacho huwa ni tatizo baadaye .Ili kukabiliana na tatizo hilo wasichana wa vyuo wamegundua mtego wa kuwanasa wanaume hasa wanachuo wenzao ambao ni mimba
 
Ukweli ni kuwa wanaume wengi wa siku hzi nao wanaogopa kuoa wanawake waliowazid au wenye viwango sawa nao vya kielimu kwa madai yakuwa wanawake hao hawatakuwa wanawaheshimu. hata hivyo bado kuna wanawake wengi tu waliomaliza vyuo ambao wanaolewa tena sana tu, katabia ambako kameingia ni kwamba wengi wanaoana baada ya kupeana mimba.
 
Ulichoongea kina ukweli. Kuna wasichana wanajifanya expensive kweli kwa gharama za mabuzi. Tena waweza kuta wengine kwao ni walala hoi tu. Kweli mtu ndio kwaza uko chuo umeshajiwekea standards za 'mimi sipandi dala dala'; nani ana uwezo wa kuoa binti wa hivyo? Mtu keshajiwekea 'siolewi na mwanaume asiye na usafiri; tena wa maana' Ni vijana wangapi wana huo uwezo??

Wale walio simple wanaolewa kila kukicha na baada ya muda mfupi wanafanikiwa kimaisha na hao wanaoweka higher standards ndio wanaokuwa wawindaji wa waume wa hawa waliokubali kuolewa na wasio na kitu.:israel:


hasa wa udsm ndo hawaolewi. kinacho waponza ni dharau na kujifanya kujua. wanapenda starehe kuliko kazi(kuchuna mabuzi). wanaume wa siku hizi wamepewa maono na Mungu ya kugundua mapungufu ya msichana ndani ya wiki moja ndani ya mahusiano. ndo maana wanaishia kumegwa tu. hadi wajifunze kuishi kitanzania. ajue kupika, kufua,(asiwe mfuga kucha), ale matembele na Ugali (sio kila siku chips kuku), ajue kubana matumizi sio safari ndogo tu taxi, bajaj,(waache matanuzi yasio ya msingi). hata mimi ntaoa. Mia
 
Hawaolewi kwa sababu wanakuwa wameisha badilisha wanaume wengi sana.
Tena wengine wanakuwa na historia chafu, ya kutoa mimmba nyingi tu, kuanzia hata tano.

Hebu assume, huyo dada kaanza kuwachukuwa wanaume kuanzia akiwa darasa la saba. Unategemea nani atakubali kumwoa huyo.

Huenda kama nikimkuta akiwa na bikira yake, lasivyo mie simtakubali.
 
Not true. Utafiti aliofanya hata mie nakubaliana nao, tusikwepe kuongea ukweli wakati hayo aliyoongelea tunayashuhudia kila leo. Na ndoa nyingi zinazovunjika ni zile za wasomi kwa vile hawana hulka ya kuvumiliana ila arguments ambazo hatima yake ni kuzidi kufarakana tu. Ukiona ndoa inadumu haina maana kwamba mambo ni tambalare la hasha, kuna kuvumiliana kati yao au mmoja wapo ameamua kuteremsha ili mambo yaende sawia. Kila mmoja akipandisha hakuna suluhu.

fanyeni utafiti wenu vizuri, yaani sijui kwanini wanaume hawajiamini mnaogopa,wasomi
 
Inawezeka sample size (n) ilikuwa ndogo sana au ulikuwa biased wakati wa ku-collect data. Hebu waone wataalamu wa statistics wakushauri jinsi ya ku-redesign hiyo research yako.
 
Wanajifanya wanajua sana, wabishi, hawajui jnsi ya ku-treat wanaume na wanapenda kuwatawala waume zao. Wanadhani namna ya kumtreat mwanaume ni kumpa kitu amege tu. Afadhali bibi zetu kuliko hawa wasomi wetu wa leo.
 
Back
Top Bottom