Wasichana wasichana ugali tu

Wasichana wasichana ugali tu

Box 2

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2013
Posts
506
Reaction score
117
Napata hofu kidogo baadhi ya wasichana hasa wa mjin mpaka kufikia umri wa kuolewa lakin hawezi kupika ugali tu.Dada zangu kuna ugumu gani kupika ugali,kijijin hata mtoto wa kike wa darasa la tatu anapikia familia ya watu watano na kuendelea mjini kazi ipo unakuta binti kafika mpaka chuo Kikuu kupika hawezi.nini tatizo jaman
 
tatizo hawa dada zetu wa mujini pozi nyingi,wanaona aibu kusema kua wanajua kupika ati men watawaona wao 'wagumu' so they don't even take the trouble to learn it,shame on you wadada.
 
Siku hizi mnaoa wake au wapishi??

Mke ni pamoja na kujitambua na kujua majukumu yake,wewe unajua kupika ugali?, tafadhari wasaidie wenzio ili nao wabadili tabia kama wew badili tabia
 
Maisha ya hausigeli kuanzia anazaliwa mpaka anakua. Unategemea nini sasa?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Dada yng (aina ya wanaojiita watoto wa mujini) alitoka chuo akapika ugali ukamwagwa, hata mbwa alipousogelea hakuweza kuula (sitanii). Lkn kwa maneno tu (logical theories) utahisi dunia kaiweka kiganjani anajua yote.
Dada zetu ktk hilo msiwe wakali mkiambiwa, jifunzeni tu kupika
 
Na siwezi kulaumu mazingira wala walezi, maana wengine wote wanajua kupika vzuri tu, ila u "muchknow" wake tu
 
Tuna kula chips kuku, kwanini tupike ugali? Halafu kusonga ugali inatoa viazi vya mikono......aaaagh
 
Napata hofu kidogo baadhi ya wasichana hasa wa mjin mpaka kufikia umri wa kuolewa lakin hawezi kupika ugali tu.Dada zangu kuna ugumu gani kupika ugali,kijijin hata mtoto wa kike wa darasa la tatu anapikia familia ya watu watano na kuendelea mjini kazi ipo unakuta binti kafika mpaka chuo Kikuu kupika hawezi.nini tatizo jaman

mkuu umeingizwa chaka alitaka maini nini usinikumbe ya suzy wa upanga halafu kwao nikakuta anapika ugali na nyama ila kwangu alijitia hawezi kupika labda maini ajaribu..
 
Siku izi hta kusugua miguu na viganja hawawezi, mpaka wapaaswe na wauza urembo.
Ndo mana mbunye zinanuka ka panya.
 
Back
Top Bottom