Wasichana wa kisasa

Wasichana wa kisasa

Wasichana wa siku hizi wajanja sana,wanajua ku-point ukweni hali ilivyo,unaweza kukaa nae kama wapenzi hata miaka zaidi ya 10 ila ndoa hataki coz ashajua ukoo wenu sio anaoutaka anakulia Timing akutafutie kosa akumwage....Anakuuliza babako anafanya nini unamjibu Mstaafu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na sasa hivi amejiairi ni Mkulima wa Mananasi.,anajua kimenuka hajalipwa mafao...Na mamako Je...Unamjibu Mwalimu,anajua atalishwa chaki tu maana hali za Walimu twazijua.
Wanaogopa siku ya harusi muda wa zawadi Baba mkwe anakupa zawadi ya Minazi ya shamba lake la Kibaigwa eti Kilimo ndo uti wako wa mgongo,thubutuuu na Mama mkwe na walimu wenzie wanakuja wanajirusha-rusha meno nje wamejitwisha Cherehani na godoro la Banco..Sistaduu gani anataka kuwa Mkulima au Fundi Cherehani kizazi hiki??
Ukiona umekataliwa ndoa ujue kuna mengi,utasikia mi bado sijajipanga kumbe mdada anakwepa Wakwe na zawadi loko loko kwenye harusi,atauzaje sura kwa Mashosti na Cherehani,unataka achekwe kwenye DP za Blackberry???...Wenzio Wanaota Funguo za Vitz kutoka kwa Baba Mkwe...Cheque ya Milioni 15 kutoka Kamati ya Maandalizi...Washing Machines....Wakaka, ukiona dada anakuuliza Wazazi wako wanafanya kazi gani waza mara 2 kabla hujajibu,tena bora ujibu Babako Balozi wa China na Mama ni Afisa Uajiri Wizara ya Kazi na Maendeleo ya Vijana,utamsikia 'Baby when is our wedding I cant wait to be ur baby mama' i love u so much Boflo

ndio maana tunawapanda na kushuka tu, kwa matumizi ya kawaida tu!
 
Hao ndo tunaowatumia kama Kondom au kama mpira wa Poool Table,,,Mwanamke wa KUOA anajulikana na wa kufanya nae MAZOEZI anajulikana.

ujue utakeyekuja kumwoa na yeye kafanyiwa mazoezi na jamaa mwingine, aliyeondoa bi***kr@a akamwacha alishamfanyia zoezi

Unajidanganya kwa kusema wa mazoez
 
Wasichana wa siku hizi wajanja sana,wanajua ku-point ukweni hali ilivyo,unaweza kukaa nae kama wapenzi hata miaka zaidi ya 10 ila ndoa hataki coz ashajua ukoo wenu sio anaoutaka anakulia Timing akutafutie kosa akumwage....Anakuuliza babako anafanya nini unamjibu Mstaafu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na sasa hivi amejiairi ni Mkulima wa Mananasi.,anajua kimenuka hajalipwa mafao...Na mamako Je...Unamjibu Mwalimu,anajua atalishwa chaki tu maana hali za Walimu twazijua.
Wanaogopa siku ya harusi muda wa zawadi Baba mkwe anakupa zawadi ya Minazi ya shamba lake la Kibaigwa eti Kilimo ndo uti wako wa mgongo,thubutuuu na Mama mkwe na walimu wenzie wanakuja wanajirusha-rusha meno nje wamejitwisha Cherehani na godoro la Banco..Sistaduu gani anataka kuwa Mkulima au Fundi Cherehani kizazi hiki??
Ukiona umekataliwa ndoa ujue kuna mengi,utasikia mi bado sijajipanga kumbe mdada anakwepa Wakwe na zawadi loko loko kwenye harusi,atauzaje sura kwa Mashosti na Cherehani,unataka achekwe kwenye DP za Blackberry???...Wenzio Wanaota Funguo za Vitz kutoka kwa Baba Mkwe...Cheque ya Milioni 15 kutoka Kamati ya Maandalizi...Washing Machines....Wakaka, ukiona dada anakuuliza Wazazi wako wanafanya kazi gani waza mara 2 kabla hujajibu,tena bora ujibu Babako Balozi wa China na Mama ni Afisa Uajiri Wizara ya Kazi na Maendeleo ya Vijana,utamsikia 'Baby when is our wedding I cant wait to be ur baby mama' i love u so much Boflo

Hii thread ina mashiko!!!
 
hahahaha kazi kweli kweli. Enzi zetu wengine zawadi kubwa ilikua chupa ya chai na mahot pot tena zawadi ya kamati unapewa feni. Mbona mna kazi vijana wa leo.
 
mhm! ukiona hivyo ujue hakupendi hawezi sema kazi za wakwe zake azijue huyo ni mtafutaji na mfujaji wa pesa zako hakuna mazpenzi hapo kwenye eeee "Sistaduu gani anataka kuwa Mkulima au Fundi Cherehani kizazi hiki??
Ukiona umekataliwa ndoa ujue kuna mengi,utasikia mi bado sijajipanga kumbe mdada anakwepa Wakwe na zawadi loko loko kwenye harusi,atauzaje sura kwa Mashosti na Cherehani,unataka achekwe kwenye DP za Blackberry???...Wenzio Wanaota Funguo za Vitz kutoka kwa Baba Mkwe...Cheque ya Milioni 15 kutoka Kamati ya Maandalizi...Washing Machines....Wakaka, ukiona dada anakuuliza Wazazi wako wanafanya kazi gani waza mara 2 kabla hujajibu,tena bora ujibu Babako Balozi wa China na Mama ni Afisa Uajiri Wizara ya Kazi na Maendeleo ya Vijana,utamsikia 'Baby when is our wedding I cant wait to be ur baby mama' i love u so much Boflo"
Wasichana wa siku hizi wajanja sana,wanajua ku-point ukweni hali ilivyo,unaweza kukaa nae kama wapenzi hata miaka zaidi ya 10 ila ndoa hataki coz ashajua ukoo wenu sio anaoutaka anakulia Timing akutafutie kosa akumwage....Anakuuliza babako anafanya nini unamjibu Mstaafu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na sasa hivi amejiairi ni Mkulima wa Mananasi.,anajua kimenuka hajalipwa mafao...Na mamako Je...Unamjibu Mwalimu,anajua atalishwa chaki tu maana hali za Walimu twazijua.
Wanaogopa siku ya harusi muda wa zawadi Baba mkwe anakupa zawadi ya Minazi ya shamba lake la Kibaigwa eti Kilimo ndo uti wako wa mgongo,thubutuuu na Mama mkwe na walimu wenzie wanakuja wanajirusha-rusha meno nje wamejitwisha Cherehani na godoro la Banco..Sistaduu gani anataka kuwa Mkulima au Fundi Cherehani kizazi hiki??
Ukiona umekataliwa ndoa ujue kuna mengi,utasikia mi bado sijajipanga kumbe mdada anakwepa Wakwe na zawadi loko loko kwenye harusi,atauzaje sura kwa Mashosti na Cherehani,unataka achekwe kwenye DP za Blackberry???...Wenzio Wanaota Funguo za Vitz kutoka kwa Baba Mkwe...Cheque ya Milioni 15 kutoka Kamati ya Maandalizi...Washing Machines....Wakaka, ukiona dada anakuuliza Wazazi wako wanafanya kazi gani waza mara 2 kabla hujajibu,tena bora ujibu Babako Balozi wa China na Mama ni Afisa Uajiri Wizara ya Kazi na Maendeleo ya Vijana,utamsikia 'Baby when is our wedding I cant wait to be ur baby mama' i love u so much Boflo
 
hivi ndugu yangu Boflo ulitegemea kuwa siku hzi wadada wanamapenzi ya dhati hakuna labda mm peke yangu ninayeonesha mapenzi ya dhati kwa my potato wangu Mentor
 
Last edited by a moderator:
copy and paste....tumeshaiona hii long time
 
Wasichana wa siku hizi wajanja sana,wanajua ku-point ukweni hali ilivyo,unaweza kukaa nae kama wapenzi hata miaka zaidi ya 10 ila ndoa hataki coz ashajua ukoo wenu sio anaoutaka anakulia Timing akutafutie kosa akumwage....Anakuuliza babako anafanya nini unamjibu Mstaafu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na sasa hivi amejiairi ni Mkulima wa Mananasi.,anajua kimenuka hajalipwa mafao...Na mamako Je...Unamjibu Mwalimu,anajua atalishwa chaki tu maana hali za Walimu twazijua.
Wanaogopa siku ya harusi muda wa zawadi Baba mkwe anakupa zawadi ya Minazi ya shamba lake la Kibaigwa eti Kilimo ndo uti wako wa mgongo,thubutuuu na Mama mkwe na walimu wenzie wanakuja wanajirusha-rusha meno nje wamejitwisha Cherehani na godoro la Banco..Sistaduu gani anataka kuwa Mkulima au Fundi Cherehani kizazi hiki??
Ukiona umekataliwa ndoa ujue kuna mengi,utasikia mi bado sijajipanga kumbe mdada anakwepa Wakwe na zawadi loko loko kwenye harusi,atauzaje sura kwa Mashosti na Cherehani,unataka achekwe kwenye DP za Blackberry???...Wenzio Wanaota Funguo za Vitz kutoka kwa Baba Mkwe...Cheque ya Milioni 15 kutoka Kamati ya Maandalizi...Washing Machines....Wakaka, ukiona dada anakuuliza Wazazi wako wanafanya kazi gani waza mara 2 kabla hujajibu,tena bora ujibu Babako Balozi wa China na Mama ni Afisa Uajiri Wizara ya Kazi na Maendeleo ya Vijana,utamsikia 'Baby when is our wedding I cant wait to be ur baby mama' i love u so much Boflo

Thread hii inanikumbusha thread fulani hapa hapa JF ambapo mdada alikuja kutafuta 'maoni' ya jinsi ya kumtosa 'jamaa' yake baada ya mdada kupelekwa kutambulishwa kwa wazazi wa 'jamaa' huyo...!!
Baada tu ya kurudi toka huko kwa 'wakwe' watarajiwa, mdada hashikiki tena, anataka kumtosa 'jamaa'...
Kisa..?? Keshaona 'environment' ya huko kwa 'wakwe' watarajiwa...!! Hana hamu tena..!!
Mdada 'anaigia mitini' kukwepa 'environment' aliyoiona huko kwa 'wakwe' watarajiwa...!!
Mimi nikajiuliza, mdada kaona nini ..??
Leo ndio Boflo 'umenifungua' macho...!!!!
 
Inabidi uwe kama wanigeria.
Akikuliza baba ako na mama ako anafanya kazi gani, husijibu ila muulize na wazazi wake wanafanya kazi gani?

Akikujibu baba ake ni waziri,
Wewe sema baba ako ni mchimba makaburi hivo baba ake akifa wako atamzika, hachana nae.

munavamia wanawake wababaishaji
 
vijana wa siku hizi kazi mnayo enzi zetu unaletewa zawadi mkeka
 
Afu wa hivyo kwao ndo majanga matupu. kuigaiga tu!!
 
Back
Top Bottom