yaani madem wa Dar wanajifanya high class sana huku wakiwa ni matapeli wa mapenzi na ni wizi tuu ata ladha yao ni tofauti na wa mkoani yaani imekua kwa Dar mpaka Dem akupe penzi kwake ni biashara ukimwita mahali ni kuagiza savana, wisk, wine yaani mradi akukomoe tuu bado asubuhi umtoe ndiyo maana madem wengi Dar wanaishia kuchezewa tu hivi nyie madem mmefanyia hicho kipapuchi ndiyo kitega uchumi?