Ummesh
JF-Expert Member
- Dec 20, 2015
- 2,077
- 1,141
Kwakweli ni shida mkuu.Kweli mkuu
Kwakweli ni shida mkuu.Kweli mkuu
Naona sasa tunaelewana.........tupo pamoja.Hamjatumia msamiati huo but ndo mnachomaanisha.
. Yes, gari linaashiria mwanaume ana uwezo, so tunavutiwa na wenye magari. More fancy car, more wealthy.
Wengine tuna shida tu ya lift so msifikiri mmependwa.
Mada Imeongelewa kuliwa kisa lift, inamaana hawa wadada wanalalaga na wanaume tofauti kisa lift tu??
. Of course kama unapanda lift ya mwanamume bure kila siku sijui unategemea nini. Kama huna mpango na huyo kaka, bora uache tu.
Hongera dada.....hawa akina atoto miss chagga brenda18 housegirl wangekuwa kama wewe maisha yangekuwa mazuri sana hata siku za kuishi zingeongezekasawa, kila mtu na experience yake mimi hakuna gari nime enjoy kama ya kununua mwenyewe, za kununuliwa nahisi kama zina kuja na strings attached, inawezekana ni hisia zangu tu lakini siinjoy kabisa gari ya kununuliwa
Kuna member mmoja unafanana naye humu. Una account ngapi eti?Naona sasa tunaelewana.........tupo pamoja.
Siku zote za kunisoma leo ndio umegundua kuna mtu nafanana nae?Kuna member mmoja unafanana naye humu. Una account ngapi eti?
kiruu mwache tu ajinunulie mie lazima ninunuliwe tu aiseeeHongera dada.....hawa akina atoto miss chagga brenda18 housegirl wangekuwa kama wewe maisha yangekuwa mazuri sana hata siku za kuishi zingeongezeka
Na shida yako hiyo hiyo ya lifti utanivulia chupi tu....mbona wengi tunakutana nao hao unaowaita waarabu sjui ndio hao hao twawalaaaaa,,na mwingine unamla kisa lift na bado anagari la gharama kuliko langu.usilete ubishi bibie iko hivyo yaaniHamjatumia msamiati huo but ndo mnachomaanisha.
. Yes, gari linaashiria mwanaume ana uwezo, so tunavutiwa na wenye magari. More fancy car, more wealthy.
Wengine tuna shida tu ya lift so msifikiri mmependwa.
Mada Imeongelewa kuliwa kisa lift, inamaana hawa wadada wanalalaga na wanaume tofauti kisa lift tu??
. Of course kama unapanda lift ya mwanamume bure kila siku sijui unategemea nini. Kama huna mpango na huyo kaka, bora uache tu.
Teh, jua lilivyo Kali wakati najichanga ninunue nikapewa la bure kwanini nisikubali....Hongera dada.....hawa akina atoto miss chagga brenda18 housegirl wangekuwa kama wewe maisha yangekuwa mazuri sana hata siku za kuishi zingeongezeka
Unamaanisha tuwe kama yeye yaani tununue magari yetu??Hongera dada.....hawa akina atoto miss chagga brenda18 housegirl wangekuwa kama wewe maisha yangekuwa mazuri sana hata siku za kuishi zingeongezeka
Baada ya kukutana kibahati mbaya JF wakaanza kuchat:public transport ziausumbufu mwingi.. kwa hiyo ukipta kabwana kanakagari inakuwa afadhali kwangu .. vilifti lifti na usumbufu wa public siupati bila kujali ni la nani
Ushaambiwa mabinti wanapenda magari....kama unaweza endesha nyumba yako au subiri wanaotafuta nyumba za kupanga tena watampangia wengine wewe utalipwa kodi yako.Hakuna Baba mwenye gari ila kuna Baba mwenye nyumba.
Ndio shemeji......Unamaanisha tuwe kama yeye yaani tununue magari yetu??
Nipe hela yaani nakimbia kununua langu sasa hivi.Ndio shemeji......