umeamue uje kuntangaza humu?
hahahahahahaha..........mkuu kumbuka lakini kuvaa PPE(Personal Protective Equipment) usije ukaleta balaa baadae.Mimi na starlet yangu namba c nawanyoosha...mtaani nachafua, vi college hivi nako nachafua......uchawi wa kizungu kagari bwana
Haya sasa mwenyewe kaja maana amevumiliyaaaaa......naona yamemshinda jibu mashambulizi sasa.Sijamtangaza... Namuelezea...
Si wanadai eti umeishahahahahahahaha..........mkuu kumbuka lakini kuvaa PPE(Personal Protective Equipment) usije ukaleta balaa baadae.
Ofcoz haitakuwa hela ya kawaida hiyo, gari ina raha yake bwana asikwambie mtuPesa za kufa mtu afu unatumia daladala za Dar?please,labda hela zako za masharti ya kichawi
Mwenyewe dereva wangu ofisini anawapiga miti kama hana akili nzuri pamoja na kwamba gari ina nembo ya kampuni ubavuni na ni mtu wa makamo lakini hizo sample anazong'oa acha tu.Kuna dereva wetu mmoja, anaendesha STJ, na anawatafuna balaa!
Hivi madereva wa magari ya serikali sijui kwann wana mavitambi makubwa vile, utadhani ndio bosi kumbe walaaaa!Halafu unakuta ni vigumu kumtambua maana naye utamkuta ana bonge la kitambi hlf katakata kinoma shauri ya kiyoyozi maana hayo magari ya STK huwa hayashushi vyoo ni full kiyoyozi
Kwahiyo unamkomoa huyo alokukimbia?Yote haya nayafanya kwasababu kipindi cha nyuma niliporwa wangu akaenda kwa mwenye gari
Haya sasa mwenyewe kaja maana amevumiliyaaaaa......naona yamemshinda jibu mashambulizi sasa.
Ha ha ha uza uepukane Na huto tujaribuNi tu passo tu mkuu,Ila tunanipa majaribu kweli kweli,Ni tuirizi flani twa haja.
Teh!Wanaume nao wabaguzi km nin akishakua na kigari anataka mwanamke wa class flani hivii amazing,
Ndio hivyo sasa inabidi km ni kuwakubali umkubali tu lkn sio kwamba gari ni lakeHivi madereva wa magari ya serikali sijui kwann wana mavitambi makubwa vile, utadhani ndio bosi kumbe walaaaa!
Yani na foleni za Dar hizi kama shida ni lift bodaboda ndo mpango mzimavp nina haka katoyo kangu siwezi kukushawishi nacho piah
Kwahiyo anijie na gari la serikali kabisaa, hata plate number sioni jamani, na boss gani wa serikalini alafu akajiendeshaNdio hivyo sasa inabidi km ni kuwakubali umkubali tu lkn sio kwamba gari ni lake
Kwa kusoma michango ya hii thread nimegundua ni wasichana/wanawake wa JF tu ndio hawasumbuliwi na magari ila huko mtaani ni balaa!!!Hivi madereva wa magari ya serikali sijui kwann wana mavitambi makubwa vile, utadhani ndio bosi kumbe walaaaa!
Yaani uache kiyoyozi,muziki laini ukapande 'body mwili wako' thubutuuu.......!Yani na foleni za Dar hizi kama shida ni lift bodaboda ndo mpango mzima