Wasichana mwenye mwanya wananinyima usingizi

Wasichana mwenye mwanya wananinyima usingizi

Shy land

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2013
Posts
6,245
Reaction score
2,848
Jamani kama kuna mwana-mmu aliyebatika kupewa neema kama hiyo tafadhali naomba anifate pm, au kama kuna mtu ana ndgu yake ana mwanya asiache kunijuza.

nimewaoja wengi sana wakina-dada wa namna hii ni watamuuuuuu, sijui nitumie lugha gani tu, ili nieleweke utamu unaopatika kwa wakinadada kama hawa.

View attachment 214285
 
Wasukuma wanapenda sana mwanya na rangi nyeupe ni wajinga kwa hili wanaweza wakahonga hata zizi zima
 
UMEWAONJA?
Kuonja onja kubaya mkuu,utaonja vichungu au vya moto au vilivyooza!
Tafuta mmoja utulie naye!
 
Jamani kama kuna mwana-mmu aliyebatika kupewa neema kama hiyo tafadhali naomba anifate pm, au kama kuna mtu ana ndgu yake ana mwanya asiache kunijuza.

nimewaoja wengi sana wakina-dada wa namna hii ni watamuuuuuu, sijui nitumie lugha gani tu, ili nieleweke utamu unaopatika kwa wakinadada kama hawa.

Haa!! Yani kumbe unataka uonje tu, ungekuwa unataka uoe ningekuonyesha maana kuna mmoja yupo humu humu MMU namfahamu. Halafu kitu cha usukumani hicho mzee, kinamwanya halafu cha ukweli balaa.
 
huyo hapo chukua.
 

Attachments

  • 1419662191744.jpg
    1419662191744.jpg
    38.4 KB · Views: 917
Back
Top Bottom