sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 8,085
- 7,455
Akikutongoza unamkimbia na kumwambia wewe ufai, urafik wangu haukuwa wa kutongozanaI wish nipate rafiki wa hivyo maana kila nikipata rafiki wa kike kama sitamtongoza atanitongoza mwenyewe.
Akikutongoza unamkimbia na kumwambia wewe ufai, urafik wangu haukuwa wa kutongozanaI wish nipate rafiki wa hivyo maana kila nikipata rafiki wa kike kama sitamtongoza atanitongoza mwenyewe.
Ya umatonya au?Njoo pm tuyajenge agata wangu
Uko sahihi kabisa mkuu. Mimi nina marafiki wa kike japo hatujashibana lakini huwa wananisaidia mambo mengi. Wanawake hawana mambo mengi kama wanaume likija swala la hela binafsiWazee, Jitahidi Uwe na Japo MARAFIKI WA KIKE kadhaa ambao mtashibana na Kusaidiana bila Mahusiano ya Kimapenzi.
Utakuwa umesolve mambo mengi unayosumbuka nayo.
Labda awe ananipa kazi flan flan au misaada flan na hofu yangu iwe kuwa nikimtongoza akakataa bas kila kitu kimeharibikaasante,inawezekana hata ww ukapata rafik wa jinsia tofauti,mkaheshimiana,mkapendana na mkasaidiana sana,mkawa tayar kujitoa kwa lolote na msiingie kwny mapenz,hili sisi tumeliweza na tunafrahia sana sanaaaa askwambie mtu
Kuliko chura bebe rafiki?
Ya umatonya au?
Ulikuwa shule gani mkuu kule bariadi maana naweza kuwa ndugu yako hivi hivimwaka 2002 tukiwa shule ya msingi huko huko bariadi,baba yake ndo alikuwa mwalim mkuu pale,tulikuwa tukikutana shuleni na kanisani (SDA-church),tulipotezana walivyohamishwa mwaka 2005 namm nikabaki palepale kijijini,nlienda sec bila mawasiliano naye,tukaja kupata mawasiliano mm nikiwa advnc yy akiwa Chuo cha ualim huko ndala tabora,nlienda Chuo kikuu nikasoma semester moja tu nikapiga chini baada ya kupata mchongo sehem nyingine,nikaenda depo tukapitezana,tulizd kupotezana zaid nlivyoenda jamhuri ya afrika ya kati mwaka flani,had narud skuwa na mawasiliano naye, alikuja kunipata kwny mitandao ya kijamii nikiwa nchini Cuba course na kuanzia hapo tukawa zaidi ya marafiki au ndugu,akipata tatzo anajua kabisa msaada namba moja ni mm co ndugu zake,hata mm pia ni hivyohvyo,kuna mambo mengi tushaongea,tushasaidiana,tuko waz kw kila moja,ni msiri wangu na mm ni msiri wake,tunapendana sana halaf hatuoni aibu kueleza tatzo lako kwa mwenzio,tuko free kwa kiasi ambacho siwez elezea
Heshima yako mkuu kwa kututhamin wafanyabiasharaUnaweza kuwa na rafiki wa kike ambaye hajaolewa hasa awe ni yule mpambanaji hasa wafanya biashara huwa ndio wanao mudu haya maisha otherwise akiwa ameolewa inakua ngumu sana.
Uko sahihi,ni swala la muda tu,hata mkiwa na wapenzi wenu hawatawaamini.Ila lazima mtakuja kupendana kimapenz...
Usipo muomba atakuomba yeyeSiwezi kuwa na rafiki wa kike nitamuomba tu game
Ila lazima mtakuja kupendana kimapenz...
KabisaUsipo muomba atakuomba yeye
Mkuu na mm naomba niwepo kwenye kuvunja kamati.... Long time ago niliishi hapo rhuwiko na Kuna jamaa mmoja alikua maarufu Sana alikua anauza mishkak pale stend, walikua wanamuita jery au jeck Kama sikoseikaribu sana,siku mbili kabla ya kuja nijulishe plz,ili nifanye utaratb wa kuvunja ratba zote ka ntakuwa nazo ili tu nsipiteze fursa ya kuonana kamanda mwanajf
Very true sasa kuwa nao wale Malaya kabisa na watoto wa mjini ndo utafaidi michongo mingi