Washenzi wa Afrika ni kina nani? Je, hii ni tafsiri sahihi kwa nyalaka ya dini dhidi ya Waafrika?

Na uendelee hivyo hivyo kutoyaelewa Maana yenyewe hayaeleweki
Haya mambo ya ajabu unajua!

Tangu asubuhi mwanamke wangu sijui kanifanyaje najihisi kama nakuwa bwege unajua? Tangu asubuhi kaniganda kichwani, yaani leo nimemuona kama mzuri zaidi.

Halafu huku kuna maniga wanakuwa magay!
 
Waandishi watakuwa na sababu iliyowapelekea kuandika hivyo hicho kitu sio cha bahati mbaya sasa kuhusu uhalali wa maandiko hayo ni juu yetu wasomaji kuchukulia serious au kiutani.
Sio bahati mbaya kabisa. Walioandika wanajua walichomaanisha
 
Twende taratibu, kwa miaka uliyoishi Afrika hujawahi kukutana na washenzi ?
 
Sitaki kuongea mengi, pitia haya maandishi kutoka kwenye hii nyalaka, ambayo kwa muonekano ni kama vile ni ya Roman Catholic.

Ninachotaka kujua, hii tafsiri ni sahihi? Na Je, kama sio sahihi, basi hao washenzi wa Afrika waliokusudiwa ni kina nani?

Hii nyalaka nimekuwa nayo zaidi ya mwezi sasa, ila tafsiri yake imenipa ukakasi sana kwa upande wangu ndio maana nimeomba ufafanuzi wenu. View attachment 2021105


Kulikuwepo na kuna Washenzi katika sehemu mbalimbali duniani, washenzi ni watu wasiokuwa na ustaarabu (uncivilised). Ukiwaondoa watu kutokana na ushenzi watu hao wanakuwa wastaarabu. Kuhusu yesu kuwafanya watu wawe wastaarabu hiyo ni mada nyingine.
 
Daaahh nimeiona ila swali ni kwamba nani alikuwa anarekodi??ina maana hiyo ilikuwa 4some..au paparazi haesabiki.hahaha..halafu mkunwaji inaonyesha hajazoea bdo vizuri maana ansukumiwa kipande hadi anataka kukimbia..
Hahahahahhah
 
Sio bahati mbaya kabisa. Walioandika wanajua walichomaanisha
Unasema!

Una maanisha nini?

Mshenzi ni mtu asiyestaarabika. Ila ni neno kali mno! Vitabu vya Mungu maneno yake yanahekima. Hekima iliyofungamanwa kwa kilichozungumzwa kwa maana hekima ya kimaandishi.

Kuhusu hayo maneno wajuzi watadadavua zaidi.
 
Back
Top Bottom