Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,831
- 1,164
Magwanda mna mawazo mazuri sana ila tatizo lenu mkishapiga ndumu mnaanza kumwagia watu tindikali na kupiga viongozi wa nchi. Hii ndiyo sababu watu hawataki kuwapa uongozi kwasababu wanaogopa mnaweza mkageuza majengo ya ofisi kuwa vijiwe vya ndumu.