Wasanii wengi wanaziondoa Nyimbo za R. Kelly vipi kuhusu Alikiba?

Wabongo kwa unafiki tu tunaongoza,sasa ishu ya R Kelly na sisi wapi na wapi wakati hapa Bongo tunajazana kwenye show za Papii Kocha na Nguza Viking na tunamwaga miuno kila tukiusikia ule wimbo wa Seya wa mivalo kama kweli tuna huo utu tungeanza na hawa wa nyumbani kwanza sio kukimbilia yasiyotuhusu BTW ule wimbo sio wa Ali Kiba ivyo hawezi kuleta mbwembwe zozote zile.
 
Wabongo kwa unafiki tu tunaongoza,sasa ishu ya R Kelly na sisi wapi na wapi wakati hapa Bongo tunajazana kwenye show za Papii Kocha na Nguza Viking na tunamwaga miuno kila tukiusikia ule wimbo wa Seya wa mivalo kama kweli tuna huo utu tungeanza na hawa wa nyumbani kwanza sio kukimbilia yasiyotuhusu BTW ule wimbo sio wa Ali Kiba ivyo hawezi kuleta mbwembwe zozote zile.
Hao ndiyo wabongo wakiwa katika ubora wa uafrika wao. Wanakera sana ni full unafiki
 
Wabongo kwa unafiki tu tunaongoza,sasa ishu ya R Kelly na sisi wapi na wapi wakati hapa Bongo tunajazana kwenye show za Papii Kocha na Nguza Viking na tunamwaga miuno kila tukiusikia ule wimbo wa Seya wa mivalo kama kweli tuna huo utu tungeanza na hawa wa nyumbani kwanza sio kukimbilia yasiyotuhusu BTW ule wimbo sio wa Ali Kiba ivyo hawezi kuleta mbwembwe zozote zile.
Wabongo wanafki sana

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom