officialBossmtoto
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 369
- 1,178
Manunuzi makubwa anayofanya Diamond kwa sasa yamekua na Gumzo kubwa mtandaoni kukiwa na pande mbili zinavutana. Wako wanaosifu na wanapata kazi ya kukandia.
Kwa namna yeyote ikitokea negative impact sio kwa Pande hizo mbili, bali ni direct kwa Diamond
At this point kuna mawili
1) Kama anafanya kuflex kwa hao wanaomchukia ajue tu kwamba kwa hizi mbwembwe akiflop watamcheka sana.
People will hate when you have something and will laugh at you when you loose it. Hawa wanaomchukia leo na kusema hawezi leta 0KM hao hao watamcheka na kusema kwani si angenunua Range Rover tu atulie.
2) Haya magari hayanaga thaman baada ya kununuliwa. In short Exotic cars(items) nyingi huwa na bei nzuri zikiwa mpya. Kwenye kuiuza lazima upoteze hela kibao. Kama amenunua kwa ajili ya investment asee mbona kama hii investment imekaa kushoto.
Ushauri wangu
Wasanii bongo wanapenda sana kuvimba, pia Kuna wabongo wanapenda sana kuvimba. Anaweza fanya VVVIP car Rental
Imagine with 20,000,000 mtu unapewa msafara wa Escalade 2 na Rolls Royce plus ushers, bodyguards, media coverage, Celebrity appearance na makorokoro kibao
Am sure wapo watu watataka hii kitu hasa kwenye maharusi ya wahaya
But kuyaweka parking pale chini ya maturubai asee soon atalia kijana wetu.
WE LIKE IT OR NOT, DIAMOND IS ON ANOTHER LEVEL. HATA KAMA HIO GARI NI USED SAWA, BEI YAKE SIO SAWA NA SUBARU, BUT KAMA ANAYAFANYA HAYA KUWAKOMOA KINA MANGE, HAO HAO KINA MANGE WATAKUJA KUMCHEKA
IMEANDIKWA NA FELIXRED
Kwa namna yeyote ikitokea negative impact sio kwa Pande hizo mbili, bali ni direct kwa Diamond
At this point kuna mawili
1) Kama anafanya kuflex kwa hao wanaomchukia ajue tu kwamba kwa hizi mbwembwe akiflop watamcheka sana.
People will hate when you have something and will laugh at you when you loose it. Hawa wanaomchukia leo na kusema hawezi leta 0KM hao hao watamcheka na kusema kwani si angenunua Range Rover tu atulie.
2) Haya magari hayanaga thaman baada ya kununuliwa. In short Exotic cars(items) nyingi huwa na bei nzuri zikiwa mpya. Kwenye kuiuza lazima upoteze hela kibao. Kama amenunua kwa ajili ya investment asee mbona kama hii investment imekaa kushoto.
Ushauri wangu
Wasanii bongo wanapenda sana kuvimba, pia Kuna wabongo wanapenda sana kuvimba. Anaweza fanya VVVIP car Rental
Imagine with 20,000,000 mtu unapewa msafara wa Escalade 2 na Rolls Royce plus ushers, bodyguards, media coverage, Celebrity appearance na makorokoro kibao
Am sure wapo watu watataka hii kitu hasa kwenye maharusi ya wahaya
But kuyaweka parking pale chini ya maturubai asee soon atalia kijana wetu.
WE LIKE IT OR NOT, DIAMOND IS ON ANOTHER LEVEL. HATA KAMA HIO GARI NI USED SAWA, BEI YAKE SIO SAWA NA SUBARU, BUT KAMA ANAYAFANYA HAYA KUWAKOMOA KINA MANGE, HAO HAO KINA MANGE WATAKUJA KUMCHEKA
IMEANDIKWA NA FELIXRED