Wasanii wa siku hizi hawapo jukwaani

Wasanii wa siku hizi hawapo jukwaani

Naona kuna festival nyingine inatangazwa kufanyika viwanja vya posta kiingilio mpaka laki 5 jamani eti utapata nafasi ya kupiga picha na wasanii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utakuwa free nikuingize siku hiyo ?
 
Kwa na Nigeria?. Lakini U.S.A hivi kama show za R. Kelly,Joh Thomas ilikuwa wakipanda jukwaani ni kuimba mwanzo,mwisho
Unamfahamu Kendrick Lamar ?
mtafute utaona na yeye anavyoimba kama hao wasanii unaowa diss
 
samahani mtoa mada..hii ni kwa wasanii wa Tanzania pekee au na mambele pia?
Nimeangilia show za R. Kelly,za Michael Jackson enzi zake,za Joh Tomas naona wakilishika jukwaa wanaimba kweli kweli,wanalishambulia mpaka unafurahi. Lakini naona show za wasanii wetu hapa ni za kishamba sana. Ni kama wananyang'anya viingilio tu,lakini mtu hupati kile ulichokitegemea
 
Zama zinabadilika wenyewe tunaenjoi na ndio vibe yenyewe
Msanii ataimba tuu bila kushirikisha hadhira bwana
 
Huyo jamaa niliskia kuna show moja alionesha makalio sijui ilifanyika wapi
Kijana akiuza tako hapo.
dddd.jpeg
 
Watu wenye kuimba kwa mahisia kana Afande Sele siku hizi hawapo kabisa aisee.,hahah
afande_sele4.jpeg
 
Ukiondoa banana zoro bushoke ki ba barnaba jide chidi benz na waimbaji wa dans na taarabu wote waliobaki wanatumia auto tune kuboresha sauti zao
Juma nature hatumii tune kuboresha sauti
 
Back
Top Bottom