Hidden Diamond
Senior Member
- Jan 31, 2024
- 156
- 318
Comedians wote ni CCM, bongo movie wote ni CCM,wasanii wa muziki wote ni CCM, wachezaji wa Mpira wote ni CCM makundi yote haya ni nadra kuyasikia yakikosoa mambo mabaya yonayofanywa na CCM.
Masanii haya yakikaa mbele ya media utasikia Sisi ni kioo cha jamii sijui wanamaanisha jamii ipi?jamii ambavyo yanashindwa kuitetea pale ambapo inateseka yakisikia CCM kuna tukio lolote utakuta yote yamevaa suti ya kijani kama majani ya mapapai hayo yanaenda.
Misanii ya bongo mingi ni mibilinganya inadhani CCM itatawala milele haijui.Wasanii nyie hamuoni kama kunasehemu inavuja kwenye nchi hii kuanzia masuala ya katiba, tume ya uchaguzi, utekaji pia mnakazana tu kusema oktoba tunatiki kwa ajili ya uchawa na vipesa vidogo hivyo mnavyopewa nyie mnajwaza tu nyie haya Sawa muda utaongea lakini😔😔😔😔😔
Masanii haya yakikaa mbele ya media utasikia Sisi ni kioo cha jamii sijui wanamaanisha jamii ipi?jamii ambavyo yanashindwa kuitetea pale ambapo inateseka yakisikia CCM kuna tukio lolote utakuta yote yamevaa suti ya kijani kama majani ya mapapai hayo yanaenda.
Misanii ya bongo mingi ni mibilinganya inadhani CCM itatawala milele haijui.Wasanii nyie hamuoni kama kunasehemu inavuja kwenye nchi hii kuanzia masuala ya katiba, tume ya uchaguzi, utekaji pia mnakazana tu kusema oktoba tunatiki kwa ajili ya uchawa na vipesa vidogo hivyo mnavyopewa nyie mnajwaza tu nyie haya Sawa muda utaongea lakini😔😔😔😔😔