Handsome Rob
Senior Member
- Jan 12, 2017
- 156
- 522
Jana nlipata wasaa wa kuangalia mashindano ya Bongo Star Search (BSS). Nmeangalia perfomance ya wale washindani pamoja na ile band yao, aisee napenda kukiri wale jamaa wa band wanajua vibaya mno. Kinachonishangaza ni haya matamasha yetu yanayoendelea kwanini hawatumii live band kama BSS..??
Nilishawah kuhudhuria Fiesta miaka kadhaa iliyopita kiukweli nliapa kutokuja kuhudhuria tamasha la muziki loloto apa bongo kwani ni bora nikae nyumbani nisikilize CD tu kuliko zile kelele.
Kwann wasanii wa bongo hawatumii live band kama ile ya BSS.??, wale jamaa wanajua sana wanafanya usichoke kuangalia.
Haya matamasha inatakiwa wajifunze kutumia live band..
Nilishawah kuhudhuria Fiesta miaka kadhaa iliyopita kiukweli nliapa kutokuja kuhudhuria tamasha la muziki loloto apa bongo kwani ni bora nikae nyumbani nisikilize CD tu kuliko zile kelele.
Kwann wasanii wa bongo hawatumii live band kama ile ya BSS.??, wale jamaa wanajua sana wanafanya usichoke kuangalia.
Haya matamasha inatakiwa wajifunze kutumia live band..