Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Wakuu
Hivi hawa wasanii na haswa huyu Jimmy Mafufu huwa wanaelewa hata wanachokiongelea? Wana elimu hata ya kuhusu diplomasia ama huwa wanaongea tu?
Na huyo anayewatuma huwa anatambua anachokifanya? mana ni aibu kwa kweli.
===
Msanii wa maigizo nchini maarufu kama Jimmy Mafufu amuweka kikaaangoni Wakili Martha Karua kutoka nchini kenya wakati akiongea na waandishi wa habari muda huu jijini Dar es salaam.
"Hawa watu hawaja kwa bahati mbaya kama hamjui, hawa watu wanatumika vibaya na watu wenye hofu ya kushindwa katika taifa letu na hawa si wengine ni chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA). Mimi nilikuwa kule wana mipango mingi miovu" -Jimmy Mafufu, Muigizaji
Pia soma: Pre GE2025 - DSM - Msanii wa 'Bongo Movie' awashukia viongozi wa dini waliotaka Lissu aachiwe, ahoji maagizo hayo yametoka kwa Bwana?
Hivi hawa wasanii na haswa huyu Jimmy Mafufu huwa wanaelewa hata wanachokiongelea? Wana elimu hata ya kuhusu diplomasia ama huwa wanaongea tu?
Na huyo anayewatuma huwa anatambua anachokifanya? mana ni aibu kwa kweli.
===
Msanii wa maigizo nchini maarufu kama Jimmy Mafufu amuweka kikaaangoni Wakili Martha Karua kutoka nchini kenya wakati akiongea na waandishi wa habari muda huu jijini Dar es salaam.
"Hawa watu hawaja kwa bahati mbaya kama hamjui, hawa watu wanatumika vibaya na watu wenye hofu ya kushindwa katika taifa letu na hawa si wengine ni chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA). Mimi nilikuwa kule wana mipango mingi miovu" -Jimmy Mafufu, Muigizaji
Pia soma: Pre GE2025 - DSM - Msanii wa 'Bongo Movie' awashukia viongozi wa dini waliotaka Lissu aachiwe, ahoji maagizo hayo yametoka kwa Bwana?