Wasanii si vioo vya jamii

Wasanii si vioo vya jamii

Kiukweli kabisa Mm mwenyewe sikubaliani na huo msemo hata kidgo.
Labda kama ni kioo cha jamii flani ya Kisanii sanii sawa lkn sio jamii yote.
Binafsi sina cha kujifunza life style kutoka kwa msanii,labda (m/wa)sanii (a/w)ajifunze kwangu.
Tuko pamoja.
 
Hapa pia mkuu kuna mambo mawili,kujiona kupitia wasanii,na pia kuchukua hatua juu ya namna ambayo umejiona kupitia wasanii hao.
Wasanii wanaimba na kuigiza yale ambayo yapo katika jamii,kupitia wasanii utajua kuwa jamii hiyo ni mambo gani yanachukua nafasi katika jamii hiyo.
Kwa hiyo hapo kioo kimekamilika,ila sasa hatua ya kujirekebisha unapojiangalia kwenye kioo ni hatua ya pili ambayo hapo pia wasanii wanatakiwa wachukue hatua thabiti.

Ni kweli mkuu wasanii sasa hivi hawalengi kuelimisha jamii,wanalenga kuingiza kipato,na wameona kuwa kuingiza kipato basi njia kubwa ni kufanya yale ambayo jamii husika inayapenda na kuyafanya kila uchao hivyo wanapotoa kazi zao jamii huzipokea kwa mikono miwili kwa sababu ndo mambo wanayapenda mno,
NI, post: 35312596, member: 570598"]
Mkuu tunapo jianagalia kwenye kioo tanatakiwa tujione kama tupo sawa, na pale penye mapungufu tuone kama ni mapungufu ili tujirekebishe.
Lakini mkuu wewe unaonaje tunaposema mtu fulani ni kioo hali ya kuwa anamapungufu, je ni sahihi?
 
Lakini mkuu wewe unaonaje tunaposema mtu fulani ni kioo hali ya kuwa anamapungufu, je ni sahihi?
Ni sahihi mkuu.

Kwa sababu mssanii ni kioo cha jamii lakini pia na yeye ni sehemu katika jamii.

Kwa hiyo atakuwa na mapungufu kwa sababu na yeye ni sehemu katika jamii na huwenda akahitaji kurekebisha mapungufu kutoka kwa wengine.

Lakini pia yeye ni kioo cha jamii kwa sababu ni msanii vile vile kwa hiyo akiwa katika usanii ata play part yake.

Kwa hiyo kuwa na maoungufu ya kiusanii haiondoi ukioo wake kwa jamii.ksma ambavyo mapungugu ya serikali hayafanyi seriksli isiwepo.

Mapungufu ya wazazi hayafanyi wao wasiwe wazazi kabisa bali watakuwa ni wazazi wenye mapungufu yao fulani.
 
Ni sahihi mkuu.

Kwa sababu mssanii ni kioo cha jamii lakini pia na yeye ni sehemu katika jamii.

Kwa hiyo atakuwa na mapungufu kwa sababu na yeye ni sehemu katika jamii na huwenda akahitaji kurekebisha mapungufu kutoka kwa wengine.

Lakini pia yeye ni kioo cha jamii kwa sababu ni msanii vile vile kwa hiyo akiwa katika usanii ata play part yake.

Kwa hiyo kuwa na maoungufu ya kiusanii haiondoi ukioo wake kwa jamii.ksma ambavyo mapungugu ya serikali hayafanyi seriksli isiwepo.

Mapungufu ya wazazi hayafanyi wao wasiwe wazazi kabisa bali watakuwa ni wazazi wenye mapungufu yao fulani.
Sawa

Kuna wale jamaa wanaopenda kusema "Tukubaliane kutokukubaliana,katika mambo ambayo hatukubaliani" ndicho kilicho tokea hapa.
 
Lakini mimi mtazamo wangu ni kuwa; wasanii kuwa na mapungufu hakuwafanyi wasiwe wasanii,Bali kunawafanya wasiwe vioo.
 
Back
Top Bottom