Wasanii: Prof. Jay tusemee bungeni na utupiganie!

Wasanii: Prof. Jay tusemee bungeni na utupiganie!

Bongo movies ndo wanaoongoza kuishabikia CCM. Huwaga NAFURAHI sana ninapoona CD FEKI za bongo movie zikiuzwa kariakoo kwa bei ya jero jero! Ngoja waibiwe weeeeee kaz zao, maana hamna namna nyingine

Na tutaziburn tuu kwa maana hamna namna nyingine.
 
Achana na wasanii wapuzi waende kwa waliyekuwa wanampigia kampeni, ww piga kazi kwa wana Mikumi Nigga Jay!
 
Akawatee kwenye lipi wakati chama walichokifanyia kampeni kimeshinda? Au walikipigia kampeni wakijua hakitalinda maslahi yao,shame on them
 
Wakuu habarini,
Wakati prof Jay anapiga kampeni kule jimbo la Mikumi Morogoro, asilimia kubwa ya wasanii walikuwa wanapiga kampeni za CCM, hakuna msanii hata mmoja aliyempigia kampen prof. Jay lakini leo hii prof. Jay ameshinda, wasanii haohao eti wanamtaka awapiganie bungeni chondechonde prof.jay usije kuwasemea wasanii wa Tanzania nenda kawasemee wananchi wa mikumi na watz wengine ila sio wasanii.


Namshauri profesa Jay ila kabla ya kumshauri kwanza nimpongeze maana kazi haikuwa nyepesi ila amefanikiwa! Hakika abarikiwe mama aliyemzaa na wote waliomlea, wametuletea mkombozi. Ametukomboa kifikra kupitia kipaji chake na sasa amewakomboa watu wa mikumi kutoka kifungoni, ukiwa chini ya CCM huna tofauti mfungwa.
sasa nimshauri profesa, ndugu yangu unaenda bungeni, tafadhali maslahi ya wasanii usiyaweke mbele, wasahau kama ambavyo wao walikusahau. Acha maharamia wawafirisi, acha wawe na majina makubwa lakini hawana kitu. Achana nao jitenge kabisa, kazi yako ni kutetea wananchi watanzania kwa ujumla wao, wasanii si jukumu lako si walikususa bwana. Wasanii gani malimbukeni, hawana mbele wala nyuma kifikra, wapo wapo tu, leo yao na juzi yao hakuna tofauti. kazi kushinda instagram kufanya fashion show, misanii yetu bwana. Eti leo inakuomba ukaipiganie kwani January Makamba yuko wapi? Profesa fanya yako, fanya kama Sugu hadi wapate akili. Pamoja na hayo natambua kuwa kuna wasanii wanaojitambua, wanafanya kazi zao kwa weledi na wanajali mustakabali wa taifa letu, hao nawaheshimu sana na nawaombea mwenyezi mungu awajaalie afya na uzima ili mzitimize ndoto zenu... Amen
 
wAAACH5BAEAAAAALAAAAAABAAEAAAICRAEAOw==
10311168_575941292521297_1146591510_n.jpg


photo+2.PNG.jpeg

Hao wasanii wasubiri kutetewa na hao wasanii wenzao kwenye picha hapo juu
 
Tanzania Indstry ya Filamu imekufa rasmi.

Acha ife tutaendelea kununua ya kinigeria, mbona zamani tulikuwa tunanunua ya kinigeria na tulifurahia? acha ife tu maana hamna namna
 
Na tutaziburn tuu kwa maana hamna namna nyingine.

na tunapunguza bei ya kukodishia sasa itakuwa mia mbili hamsini kwa part one na two na hata kama huna hela we njoo tu, yanajadilika. na ukipoteza hatukudai tutaburn nyingine... sheeeeeenzy bongo movie
 
Wasanii mapumbavuuuuuu... waende Lumumba.. si walikuwa wanatumiwa kama punda na CCM... tena wakome kumwongelea any UKAWA Leaders..!!😨😨
 
nimecheeeeeeekaaaaaaaaa . next time Roma Na kalla tafuteni majimbo mfuate nyayo za kaka zenu Sugu na proff
 
Jimbo la mikumi lina population ndogo,ushauri wangu wasanii wote wahamie pale ili awatetee kama wananchi wa mikumi!
 
Mike T na Emson Kabogi wameandika kwenye wall zao huku wakiwa wamepiga picha prof Jay wakisema.

" Prof Jay si Mbunge wa Wasanii ni mbunge wa mikumi hivyo anaenda kuwatetea wananchi wa jimbo lake na si Wasanii tunaomba mmuelewe"

Mnyalu katika ubora wake
 
Tanzania Indstry ya Filamu imekufa rasmi.

Ikibidi watanzania wote mliokua mnaitaji mabadiliko msinunue cd yeyote ya kitanzania aidha bongo movies au nyimbo achaneni nao watataga
 
na tunapunguza bei ya kukodishia sasa itakuwa mia mbili hamsini kwa part one na two na hata kama huna hela we njoo tu, yanajadilika. na ukipoteza hatukudai tutaburn nyingine... sheeeeeenzy bongo movie

Daaaah nimecheka saaaana ..kweli wapiga kura hatutaki mboyoyo ...
 
Wakuu habarini,
Wakati prof Jay anapiga kampeni kule jimbo la Mikumi Morogoro, asilimia kubwa ya wasanii walikuwa wanapiga kampeni za CCM, hakuna msanii hata mmoja aliyempigia kampen prof. Jay lakini leo hii prof. Jay ameshinda, wasanii haohao eti wanamtaka awapiganie bungeni chondechonde prof.jay usije kuwasemea wasanii wa Tanzania nenda kawasemee wananchi wa mikumi na watz wengine ila sio wasanii.


Profesa Jay amejipambanua na misanii mingine michumia tumbo hapa nchini kwa kusimamia anachokiamini; pamoja na hayo namshauri profesa jay asiwatenge wasanii waliomuangusha kipindi cha kampeni; kama lipo la kufanya kuwainua basi alifanye tu bila kinyongo maana kufanikiwa kwa wasanii wengi ni faraja kwa taifa katika kuinua hali ya kipato na maisha ya watanzania wengi.

MPUMBAVU USIMTENGE; MUELIMISHE!!

Go Go GO Professa Jay
 
Back
Top Bottom