chuchumeta3
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 237
- 87
ana majukumu mengi na mazito kwa watu mikumi ambayo alihaidi kwa wapiga kura wake.haya ya wasanii haikuwa kiapumbele chake hata kidogo hakuongelea ,yeye ni msanii sheria zilizopo zinatosha na mazingira ni bora kuliko sehemu nyingi za duniaWamitulinga ni mbunge wa jimbo la Mikumi, atawatetea wao na taifa kwa ujumla bila ubaguzi wakubwa kwa wadogo