Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Hawa nao waliimbwa na kusifiwa saaaana:
Orch. Veve huko Kampala wakimuimbia Idd Amini Dada
TPOK Jazz na Luambo wakimuimbia Mobutu wakati wa kampeni ya Urais?? Mhh, eti uchaguzi.
Madilu Multi system akimuimbia Edith Nguesso Bongo na Omary Bongo.
Orch. Veve huko Kampala wakimuimbia Idd Amini Dada
TPOK Jazz na Luambo wakimuimbia Mobutu wakati wa kampeni ya Urais?? Mhh, eti uchaguzi.
Madilu Multi system akimuimbia Edith Nguesso Bongo na Omary Bongo.
Last edited by a moderator: