Masikini_Jeuri JF-Expert Member Jan 19, 2010 6,829 1,296 May 21, 2010 #2 Wako kazini wenzio; na hiyo ni unifom ya kazi!
W wakumbuli Senior Member Aug 20, 2009 147 4 May 21, 2010 #3 lazima tuwe wapole tu maana,fitina yao mmmm ni baraaaa.wameona mbali hao wasaniii maana maisha ya kibongo ni tumikia kafiri upate wa
lazima tuwe wapole tu maana,fitina yao mmmm ni baraaaa.wameona mbali hao wasaniii maana maisha ya kibongo ni tumikia kafiri upate wa
Utingo JF-Expert Member Dec 15, 2009 10,270 8,031 May 21, 2010 #4 wasipofanya hivyo watazimwa, radio zote zitapigwa mkwara zisipige nyimbo zao.
Al Zagawi JF-Expert Member Mar 17, 2009 2,461 1,447 May 22, 2010 #5 sumaye si alisema mkuu, ukitaka mambo yako yawe mswano.....jiunge na chama chao....hao jamaa wamesoma alama za nyakati...
sumaye si alisema mkuu, ukitaka mambo yako yawe mswano.....jiunge na chama chao....hao jamaa wamesoma alama za nyakati...
MmasaiHalisi Senior Member Jan 15, 2009 192 23 Jan 1, 2011 #6 Flora mbasha nimlokole wa kweli anamwimbia mungu alafu anakodishwa na CCM, hii kwaya biashara
Shomari JF-Expert Member Mar 8, 2008 1,112 241 Jan 2, 2011 #7 kikwete ameahidi kuwafungulia studio hao, studio kubwa kuliko ndani ya Afrika mashariki na kati