princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 7,553
- 14,381
Kwa nyimbo gani alizokuwa nazo?Alikiba hajawa nominated?
Hahahahaha!Alikibya ashachukua nyingi sema hapend Shoo ofu
Hahahaha! Kwa nyimbo ipi?Huu ni upendeleo, mbona Ali Kiba hakuwekwa japo kwenye category ya New Comer?
Na nani?Kwa sasa naona waandaaji wanatumia akili zao,sio kipindi cha nyuma walikuwa wanatumia akili zao kwa kuelekezwa.
Manager wa Alikiba,yule demu.Na nani?
Kwani yeye alikuwa kama nani au alikuwa na wadhifa gani hadi awapangie waandaaji?Manager wa Alikiba,yule demu.
Hata unew comer bado hajafikiaHuu ni upendeleo, mbona Ali Kiba hakuwekwa japo kwenye category ya New Comer?