Freelancer Wakala
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,193
- 825
Majina ya wasanii wanaowania tuzo za mwaka huu za AFRIMMA-2017 yametajwa.
Diamond Platnumz ameongoza kwenye tuzo orodha hiyo kwa kutajwa kwenye vipengere vingi(ambavyo ni vitano).
1.Best Male East Africa
2.Artist of the year
3.Video of the year-salome ft Rayvanny
4.Best collaboration-marry you ft Neyo
5.Song of the year-salome ft Rayvanny.
Huku Rayvanny akiwania nominated as Best newcomer pia Mosey Iyobo kama African Dancer of the year huku Tuddy Thomas kama Sound Engineering of the year.
Link nimeshindwa kuweka na upigaji kura uko open.
Karibu tuijenge Tanzania ya music in the world.