Wasanii 13 wa taarab wafa ajalini

Wasanii 13 wa taarab wafa ajalini

Mo-TOWN;1767325[COLOR="red" said:
]Tumia akili zako na za kuambiwa! Toka lini mtu akapata popularity kwa kubomoa nyumba?[/COLOR] Equally mabango na magari yanaweza kusababisha ajali kwa hiyo huna point ya maana zaidi ya chuki binafsi. So what were you trying to say if I may ask? Kwa sababu ya ushabiki (au sijui niseme uwezo wako ulipofikia wa kuchambua mambo) umeshindwa kujua anayofanya Magufuli ni kwa mujibu wa sheria vile vile. Pole sana sidhani kama criticism zako ni constructive!

]Tumia akili zako na za kuambiwa! Toka lini mtu akapata popularity kwa kubomoa nyumba?Mwalimu wangu aliwahi kuniambia kuwa ukitaka kuwaficha kitu Watanzania walio wengi kiweke katika maandishi. Ndio maan kwa kuwa sheria zipo katika maandishi wengi wetu hatutaki kuchimaba kuverify madai ya Mhe John Magufuli kuhusu upana wa hifadhi ya barabara, badala yake tunamshabikia tuu hata katika mambo ya hatari kama kukosesha watu makazi.

Equally mabango na magari yanaweza kusababisha ajali kwa hiyo huna point ya maana zaidi ya chuki binafsi. Ukweli utabaki pale pale magari yanayotelekezwa barabarani ni hatari zaidi kuliko mabango yaliyoko katika hifadhi za barabara katika kusababisha ajali mbaya sana za barabarani, hivyo hapakuwa na haja yoyote kusababisha mtafaruku aliosababisha Magufuli kuhusu mabango ya matangazo na kuacha vyanzo halisi vinavyowauwa watanzania wenzetu kama ilivyotokea kwa wasanii hawa. Hapa lazima tukubali kuwa Magufuli alikuwa anajitafutia umaarufu wa kisiasa tuu!!!!

So what were you trying to say if I may ask?What Iam saying is that Sheria sio kama "Menu" katika migahawa ambapo malaji huchagua chakula akipendacho na kuacha kile asichopenda. Pamoja na kujaribu kunipinga haujaweka quote yoyote kuverify madai yako. Mimi nimeweka kifungu cha sherei ya barabara aliyoapa kuilinda Mhe John Magufuli kinachohusu magari yanayotelekezwa barabarani. Mbona hatuaoni akichukua hatua zozote kuondoa tatioz hili au kwa sababu sio priority ya vyombo vya habari, hivyo hatapata sifa?

umeshindwa kujua anayofanya Magufuli ni kwa mujibu wa sheria vile vileNatambua sana ndio maana nasisitiza sherias sio menu katika migahawa, zipo ambazo zinztoa haki kwa sekta yake na sheria zingine zinztoa haki kwa wananchi, hivyo lazima kuzingatia zote kwa wakati mmoja.
 
Maskini itakuwa ndo hao 5 star,mimi kama mimi walinipita nikiwa kazini(iringa~mafinga road) pale kilimani palipokuwa na makaburi yenye utata ya kiyeuyeu iringa.Ilikuwa ROSA moja yenye rangi intermediate ya nyeupe na kijivu.BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA,JINA LA BWANA LIBARIKIWE.

Nimeona picha za ajali Gari ilikuwa na alama ya Toyota. Kwa hiyo ni Coaster maana Rosa ni Mitsubishi/Fuso. R.I.P. waliotutangulia.
 
Sad to see somebody so biased against a person who has shown the willingness to work for the good of Tanzania. Parked lorries, yes they are a problem equally problematic are structures built in areas that are suppoed to be road reserves! Even the decision to stop the demolitions is by and large politically motivated. In all honest stopping demolitions is actually seeking cheaping popularity!

Which willingness ya kutumia ubabe kuuza nyumba za serikali kwa bei poa, halafu leo hii mawaziri hawana nyumba badala ya fedha kutumika kununua dawa, maji, barabara n.k zintumika kuwalipia bili za hoteli. Is that wahat you call willingness? Kwa taarifa yako Serikali iliwahi kulipa 3 bn kutokana na ubabe wa kushinikiza bomoa bomoa holela kama hizi.

Can you describe what is a road reserve in Tanzania, or you're just jumping into Magufuli"s bandwagon?
 
Sote ni wa Mwenyeenzi Mungu na marejeo yetu sote ni kwake kwa hivyo hatuna budi kuwaombea kheri na wapumzike salama huko waendako na wale wlaiobahatika kupona basi tunawapo mkono wa pole na wapone haraka
 
kazi yake mola! Haina makosa,atafanya awezalo,atafanya atakalo kwani dunia ni yake na hakuna ashindwalo..mungu azilaze roho za marehemu pahala pema peponi amin
 
Hizi preamble mbona zipo nyingi tu sasa hivi ati NSSF nao wanapewa kazi ya kufua umeme au tuseme kuwekeza kwenye umeme majanga yakitokea ohhh tunalalamika. Hivi kweli inaingia akilini barabara kama ya kwenda Dar Mbeya, Morogoro to Mwanza, Chalinze hadi Namanga Dar Mtwara ziwe kwenye kiwango cha two lanes? Hii ni joke ya hii serikali. Hizi barabara zinatakiwa kuwa katika kiwango cha Highway au wengine huita motorway ambapo magari yanayosafiri opposite hayakutani. Kama sikosei hizi barabara zilijengwa kwa ramani zile zile wakati tulipopata uhuru na bado zinaendelea kutumika hivyo hivyo bila kuwa na plan B.

Hizo barabara nilizozitaja zinatakiwa kuwa ni 8 lanes i.e 4 lanes to each direction lakini tatizo pesa wanagawana kina RA, JK, Sin bin clair, Chenge EL et al. Na hizi ni pesa za walipa kodi.

Wandugu ndugu zetu wataendelea kufa kama inzi wakati uwezo tunao lakini tumeukalia.
 
kinyago cha mpapure nyamaza nikustiri...!ni moja ya mashairi ktk wimbo wa majeruhi wa ajali iliyoua wasanii wa kundi la 5 star..mwanahawa ally..pole sana mama ndio dunia
 
barabara hata kama zikiwa kama ulaya bado madereva esp wafuasi wa chadema sio watumiaji wazuri wa barabara,na huwa wanaendesha hovyo sana bila kufuata sheria,mfano kwa macho yangu siku slaa alipokuja kutafuta udhamini pale mjini moshi wafuasi wengi wa chadema wakiwa na pikikipi na magari walikuwa wakikimbiza vyombo vyao na kuendesha kwa mbwembwe nyingi sana kiasi cha kusababisha ajari!
Are you serious? You guys must be really desperate!
 
unaanza ku come to your senses moron.

Ukweli unauma daima eh? There isn't any shred of me swaying my opinion! Inaonekana umezoea matusi. Hivi kama mimi nikiwa moron wewe siutakuwa imbecile.
 
Dereva wa Coaster la waimbaji ana makosa ya kulivaa kwa nyuma lory lililosimama mbele.

Dereva wa lory hatujui alifanya nini mara baada ya kuharibikiwa.
 
Labda tungetofautisha kidogo. Wizara ya Miundo Mbinu inajihusisha na vitu visivyoweza kutembea vinavyohusu barabara kama hifadhi yake,ubora wake,vitu vilivyochimbiwa permanently kwenye hifadhi ya barabara na kadhalika lakini kwa vitu vinavyoweza kutembea kama magari na kila kinachoweza kuwa na mwendo kinachoweza kupita barabarani hivyo vinashughulikiwa na wizara inayohusu usalama wa watu ambayo ni ya Mambo ya Ndani.Kwa msingi huo,kuondoa magari mabovu barabarani ni kazi ya wizara ya Nahodha na si kazi ya wizara ya Magufuli.Tusichanganye mambo.
 
Kuna tetesi kwamba kundi la 5 * taarabu wamepata ajali huko kibaha na inasadikika robo ya watu wamekufa..!!

Source: clouds fm

ebu nisaidieni mi sio mfuasi mzuri sana wa taarab,hili kundi lilillopata ajari ndio la mzee YUSUFU?
 
Nimeona picha za ajali Gari ilikuwa na alama ya Toyota. Kwa hiyo ni Coaster maana Rosa ni Mitsubishi/Fuso. R.I.P. waliotutangulia.
utakuwa sahihi manake nili concentrate zaidi kwenye TOTAL STATION i.e darubini ya upimaji ardhi nikiwa pembeni ya barabara.
 
ebu nisaidieni mi sio mfuasi mzuri sana wa taarab,hili kundi lilillopata ajari ndio la mzee YUSUFU?

Wasanii hawa zamani walikuwa na Jahazi modern taarab(kwa mzee yusuph) lakini wakajitenga ndio wakaanzisha kundi lao la 5 stars, katika kundi hilo awali alikuwepo na mdogo wake na mzee yusuph, khadija Yusuph kabla hajarejea kwenye kundi la kaka yake mapema mwaka huu.
 
Ukweli unauma daima eh? There isn't any shred of me swaying my opinion! Inaonekana umezoea matusi. Hivi kama mimi nikiwa moron wewe siutakuwa imbecile.

unazeeka vibaya sana bibi
 
Wanamuziki 13 wa kundi la Five stars Modern Taarabu wamefariki Dunia kwenye ajali mbaya iliyotokea huko Doma -Morogoro.

Majeruhi na miili ya marehemu hao imekimbizwa Hospitari ya mkoa wa Morogoro.

Source:TBC 1
 
Back
Top Bottom