KWETU PAZURI
Senior Member
- Oct 14, 2011
- 161
- 26
wanafunzi wa UDSM wamewasaliti wenzao waliofukuzwa kwa kuendelea na masomo huku haki za wenzao zikikandamizwa, hii ni tofauti kabisa UDSM inayojulikana kwa kutetea haki za kila mwanafunzi.
Nawakilisha.
Nawakilisha.