Kwani huyu jamaa ni CHADEMA? Kuna sehemu kwenye uzi wake amesema yeye ni Chadema? Kwenye hiyo barua kuna sehemu imesainiwa na mwenyekiti wa Chadema /katibu wa chadema hata wa kitongoji?Watu aina ya mleta mada ndio hufanya chadema inaonekane ya majuha!
Lisu akikuwa hapa kwa miezi 3 bila barakoa na karudi huko kwa bebru zake sijasikia kapima na kukutwa na corona!
Wachezaji wa tz walipoenda tunisia juzi wote wamepimwa na wako negative.
Lakini kwa akili kubwa za mleta mada anahisi Zimbabwe wametuma intelijensia yao na kuona huku kuna corona ndio maana ikaandikwa hiyo barua. Na kwa hiyo sisi hapa tz tunajidanganya,.
Si ajabu mleta mada hapo alipo analaumu kwamba kwa nini hatuwekwi lockdown.
Ujinga.
Wewe ni mgeni humu jukwani?Kwani huyu jamaa ni CHADEMA? Kuna sehemu kwenye uzi wake amesema yeye ni Chadema? Kwenye hiyo barua kuna sehemu imesainiwa na mwenyekiti wa Chadema /katibu wa chadema hata wa kitongoji?
Ficha aibu yako maana mnaitaja Chadema utadhani ndo iliyoko madarakani wakati hata mbunge haina.
Mkuu,
Hivi mgombea Urais fulani ambaye hivi karibuni ambaye ameenda Ughaibuni kukagua maendeleo ya afya yake kama alivyokuwa amepangiwa na daktari wake, je alipofika huko alipima hali ya afya yake na matokeo ya vipimo yanaonesha nini hadi sasa ili uoanishe vizuri na barua yako hii ambatanishi.? Kama hakukutwa na maambukizi yoyote na nyomi hilo pamoja na kukumbatiana na wafuasi basi taarifa ya barua ambatanishi ni ya uzushi.
Kwa hiyo nyie mnataka nini kwa hilo?Waraka huu ulioandikwa na mamlaka huko Zimbabwe nchi ambayo ni washirika wetu wakubwa unaonyesha kuwa ni rahisi kujidanganya wenyewe ndani ya nchi yetu kwa vile tunatumia ubabe lakini huko nje wanatuona watu wa hovyo tuu na hatuthamini maisha ya watu.
Mnadhani kwa nini hili suala LA Corona wameamua abiria wote wanaotokea Tanzania lazima wapimwe upya hata kama wana clearance certificate ya kuwa wako salama?
Hatuaminiki tena!
View attachment 1633133
Jibu kwanza hoja yake!Wewe ni mgeni humu jukwani?
Kwa nini waraka umelenga Tanzania tuu? Kwani awali ilikuwaje na sababu za sasa ni nini wakati tumeshaponywa kwa maombi?Watu aina ya mleta mada ndio hufanya chadema inaonekane ya majuha!
Lisu akikuwa hapa kwa miezi 3 bila barakoa na karudi huko kwa bebru zake sijasikia kapima na kukutwa na corona!
Wachezaji wa tz walipoenda tunisia juzi wote wamepimwa na wako negative.
Lakini kwa akili kubwa za mleta mada anahisi Zimbabwe wametuma intelijensia yao na kuona huku kuna corona ndio maana ikaandikwa hiyo barua. Na kwa hiyo sisi hapa tz tunajidanganya,.
Si ajabu mleta mada hapo alipo analaumu kwamba kwa nini hatuwekwi lockdown.
Ujinga.
OK, lakini siko ndani ya serikali ya Zimbabwe hivyo swali LA msingi linabaki palepale!hoja ipi??
wewe ni FIPA kereketwa.
OK, lakini siko ndani ya serikali ya Zimbabwe hivyo swali LA msingi linabaki palepale!
Au ndio ule mtindo wa mzee wa jalalani unaulizwa hili unatoa macho unajibu lile?
Jee jibu sio sahihi? Hii ni tofauti na;mtangazaji-kwanini una mwanasheria mzungu??
lissu-mimi sio wa kwanza.
Jee jibu sio sahihi? Hii ni tofauti na;
Kamati ya Bunge; Kwanini €27m zimepelekwa Tanzania na hakuna corona? Wametumiaje?
Kabudi; Hatutaki misaada ya kudhalilishana, sisi tuko huru hata Nyerere anajua.
Uongozi wa kishamba unatupeleka pabaya.Waraka huu ulioandikwa na mamlaka huko Zimbabwe nchi ambayo ni washirika wetu wakubwa unaonyesha kuwa ni rahisi kujidanganya wenyewe ndani ya nchi yetu kwa vile tunatumia ubabe lakini huko nje wanatuona watu wa hovyo tuu na hatuthamini maisha ya watu.
Mnadhani kwa nini hili suala LA Corona wameamua abiria wote wanaotokea Tanzania lazima wapimwe upya hata kama wana clearance certificate ya kuwa wako salama?
Hatuaminiki tena!
View attachment 1633133