Wasafiri watokao Tanzania kuingia Zimbabwe watalazimika kupima #COVID19

Watu aina ya mleta mada ndio hufanya chadema inaonekane ya majuha!

Lisu akikuwa hapa kwa miezi 3 bila barakoa na karudi huko kwa bebru zake sijasikia kapima na kukutwa na corona!

Wachezaji wa tz walipoenda tunisia juzi wote wamepimwa na wako negative.

Lakini kwa akili kubwa za mleta mada anahisi Zimbabwe wametuma intelijensia yao na kuona huku kuna corona ndio maana ikaandikwa hiyo barua. Na kwa hiyo sisi hapa tz tunajidanganya,.

Si ajabu mleta mada hapo alipo analaumu kwamba kwa nini hatuwekwi lockdown.

Ujinga.
 
Tanzania akuna Corona,Zimbabwe kama nchi aipangiwi,
walichoamua ni matakwa ya nchi yao.
 
Watu aina ya mleta mada ndio hufanya chadema inaonekane ya majuha!

Lisu akikuwa hapa kwa miezi 3 bila barakoa na karudi huko kwa bebru zake sijasikia kapima na kukutwa na corona!

Wachezaji wa tz walipoenda tunisia juzi wote wamepimwa na wako negative.

Lakini kwa akili kubwa za mleta mada anahisi Zimbabwe wametuma intelijensia yao na kuona huku kuna corona ndio maana ikaandikwa hiyo barua. Na kwa hiyo sisi hapa tz tunajidanganya,.

Si ajabu mleta mada hapo alipo analaumu kwamba kwa nini hatuwekwi lockdown.

Ujinga.
Kwani huyu jamaa ni CHADEMA? Kuna sehemu kwenye uzi wake amesema yeye ni Chadema? Kwenye hiyo barua kuna sehemu imesainiwa na mwenyekiti wa Chadema /katibu wa chadema hata wa kitongoji?
Ficha aibu yako maana mnaitaja Chadema utadhani ndo iliyoko madarakani wakati hata mbunge haina.
 
Kwani huyu jamaa ni CHADEMA? Kuna sehemu kwenye uzi wake amesema yeye ni Chadema? Kwenye hiyo barua kuna sehemu imesainiwa na mwenyekiti wa Chadema /katibu wa chadema hata wa kitongoji?
Ficha aibu yako maana mnaitaja Chadema utadhani ndo iliyoko madarakani wakati hata mbunge haina.
Wewe ni mgeni humu jukwani?
 
Mkuu,

Hivi mgombea Urais fulani ambaye hivi karibuni ambaye ameenda Ughaibuni kukagua maendeleo ya afya yake kama alivyokuwa amepangiwa na daktari wake, je alipofika huko alipima hali ya afya yake na matokeo ya vipimo yanaonesha nini hadi sasa ili uoanishe vizuri na barua yako hii ambatanishi.? Kama hakukutwa na maambukizi yoyote na nyomi hilo pamoja na kukumbatiana na wafuasi basi taarifa ya barua ambatanishi ni ya uzushi.

Nafikiri serikali ya ubelgiji ndo yenye maslahi na matokeo ya vipimo vya TAML. Kwa sasa bado yuko kwenye quarantine ya siku 14.
 
Kw
Waraka huu ulioandikwa na mamlaka huko Zimbabwe nchi ambayo ni washirika wetu wakubwa unaonyesha kuwa ni rahisi kujidanganya wenyewe ndani ya nchi yetu kwa vile tunatumia ubabe lakini huko nje wanatuona watu wa hovyo tuu na hatuthamini maisha ya watu.
Mnadhani kwa nini hili suala LA Corona wameamua abiria wote wanaotokea Tanzania lazima wapimwe upya hata kama wana clearance certificate ya kuwa wako salama?
Hatuaminiki tena!
View attachment 1633133
Kwa hiyo nyie mnataka nini kwa hilo?
Au.mmefulahia nini?
 
The rate of mutation ya huyo virus ikoje, has it maintain conserved regions in its DNA ili 'primers' kwa ajili ya PCR ziweze kufanya kazi kila mahali, has it maintained similar immunogenicity/pathogenicity in different races and regions of the world. Hicho kirusi bado kinahitaji utafiti wa kutosha hasa huku Africa ambako hakionyeshi kama ni tishio kubwa, nashangaa kwa nini wanaziulizia zile trillioni 27.
 
Watu aina ya mleta mada ndio hufanya chadema inaonekane ya majuha!

Lisu akikuwa hapa kwa miezi 3 bila barakoa na karudi huko kwa bebru zake sijasikia kapima na kukutwa na corona!

Wachezaji wa tz walipoenda tunisia juzi wote wamepimwa na wako negative.

Lakini kwa akili kubwa za mleta mada anahisi Zimbabwe wametuma intelijensia yao na kuona huku kuna corona ndio maana ikaandikwa hiyo barua. Na kwa hiyo sisi hapa tz tunajidanganya,.

Si ajabu mleta mada hapo alipo analaumu kwamba kwa nini hatuwekwi lockdown.

Ujinga.
Kwa nini waraka umelenga Tanzania tuu? Kwani awali ilikuwaje na sababu za sasa ni nini wakati tumeshaponywa kwa maombi?
 
hoja ipi??

wewe ni FIPA kereketwa.
OK, lakini siko ndani ya serikali ya Zimbabwe hivyo swali LA msingi linabaki palepale!
Au ndio ule mtindo wa mzee wa jalalani unaulizwa hili unatoa macho unajibu lile?
 
Barua yao inasema wamechukua uamuzi wa kumpima kila anayetokea Tanzania kwa sababu wasafiri wamekuwa wakiingia na ‘inconsistent covid19 certificates’

Hii ina maana pana. Inawezekana labda kumekuwa na vyeti tofauti kutoka vyanzo tofauti vya vipimo (Maabara ya Taifa, Amana, IST etc) na hii inatia mashaka. Basically ukipimwa COVID19 pale NIMR kama unasafiri na ukakutwa ni positive, cheti hupewi
 
OK, lakini siko ndani ya serikali ya Zimbabwe hivyo swali LA msingi linabaki palepale!
Au ndio ule mtindo wa mzee wa jalalani unaulizwa hili unatoa macho unajibu lile?

mtangazaji-kwanini una mwanasheria mzungu??

lissu-mimi sio wa kwanza.
 
mtangazaji-kwanini una mwanasheria mzungu??

lissu-mimi sio wa kwanza.
Jee jibu sio sahihi? Hii ni tofauti na;
Kamati ya Bunge; Kwanini €27m zimepelekwa Tanzania na hakuna corona? Wametumiaje?
Kabudi; Hatutaki misaada ya kudhalilishana, sisi tuko huru hata Nyerere anajua.
 
Jee jibu sio sahihi? Hii ni tofauti na;
Kamati ya Bunge; Kwanini €27m zimepelekwa Tanzania na hakuna corona? Wametumiaje?
Kabudi; Hatutaki misaada ya kudhalilishana, sisi tuko huru hata Nyerere anajua.

hayo ni majibu sawa kabisa,labda kwa sababu mmoja ni hasimu wako.

wacha nikwambie usawa wake uko wapi.

kabudi ameiona dhamira ya wabunge wale ni kutaka kuipangia matumizi misaada waliyoomba.

lissu ameiona dhamira ya mwandishi ni kuwawakirisha wanaotaka kumpangia maamuzi lissu.
 
Waraka huu ulioandikwa na mamlaka huko Zimbabwe nchi ambayo ni washirika wetu wakubwa unaonyesha kuwa ni rahisi kujidanganya wenyewe ndani ya nchi yetu kwa vile tunatumia ubabe lakini huko nje wanatuona watu wa hovyo tuu na hatuthamini maisha ya watu.
Mnadhani kwa nini hili suala LA Corona wameamua abiria wote wanaotokea Tanzania lazima wapimwe upya hata kama wana clearance certificate ya kuwa wako salama?
Hatuaminiki tena!
View attachment 1633133
Uongozi wa kishamba unatupeleka pabaya.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom