Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,756
- 33,102
Watu aina ya mleta mada ndio hufanya chadema inaonekane ya majuha!
Lisu akikuwa hapa kwa miezi 3 bila barakoa na karudi huko kwa bebru zake sijasikia kapima na kukutwa na corona!
Wachezaji wa tz walipoenda tunisia juzi wote wamepimwa na wako negative.
Lakini kwa akili kubwa za mleta mada anahisi Zimbabwe wametuma intelijensia yao na kuona huku kuna corona ndio maana ikaandikwa hiyo barua. Na kwa hiyo sisi hapa tz tunajidanganya,.
Si ajabu mleta mada hapo alipo analaumu kwamba kwa nini hatuwekwi lockdown.
Ujinga.
Lisu akikuwa hapa kwa miezi 3 bila barakoa na karudi huko kwa bebru zake sijasikia kapima na kukutwa na corona!
Wachezaji wa tz walipoenda tunisia juzi wote wamepimwa na wako negative.
Lakini kwa akili kubwa za mleta mada anahisi Zimbabwe wametuma intelijensia yao na kuona huku kuna corona ndio maana ikaandikwa hiyo barua. Na kwa hiyo sisi hapa tz tunajidanganya,.
Si ajabu mleta mada hapo alipo analaumu kwamba kwa nini hatuwekwi lockdown.
Ujinga.