Wasafi FM waanza kuchoka kimawazo

Wasafi FM waanza kuchoka kimawazo

2019

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
3,226
Reaction score
4,919
Katika radio station zilizokuja juu kwa fujo ndani ya muda mfupi kupata wasikilizaji wengi ni wasafi fm. Hii ni kutokana na kupiga miziki mizuri na kipindi cha sports arena.

Baada ya kupendwa kipindi hicho wakaanza kuvuta watangazaji wengi toka vituo vingine hilo halikutosha sasa wameanza kuiga baadhi ya vipindi na matamasha na warsha mbalimbali.

Clouds fm kuna ndondo cup
Wasafi fm wameweka kivumbi cup
Clouds fm kuna malkia wa nguvu
Wasafi fm kuna super woman n.k

Ni ubunifu umewaishia au ndio wanataka kuangusha soko la clouds media?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaangalia content mkuu.. kama content zitakuwa na utofauti hapo ndio ubunifu utakapo jitokeza... unaambiwa ukitaka kufanikiwa fanya kile wanachofanya wenzio ila katika namna tofauti..


Kwenye namna tofauti hapo ndipo ubunifu utakapo jitokeza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niseme vitu vipya ni vichache sana hapa duniani, mfano ugonjwa Corona ni mpya. Sasa tukija kwenye uhalisia ni kwamba mambo mengi sana yameshafanyika hapa duniani sasa kinachotokea ni kuboresha kilichopo. Hata Clouds wamepitia njia hiyo hiyo. Hapa namaanisha kwamba ''kila mmoja ashinde mechi zake tu''
 
Niseme vitu vipya ni vichache sana hapa duniani, mfano ugonjwa Corona ni mpya. Sasa tukija kwenye uhalisia ni kwamba mambo mengi sana yameshafanyika hapa duniani sasa kinachotokea ni kuboresha kilichopo. Hata Clouds wamepitia njia hiyo hiyo. Hapa namaanisha kwamba ''kila mmoja ashinde mechi zake tu''
Sikatai mfano katika vipindi vya michezo vipo vingi ila wamekuja na sports arena na court kwa tofauti kabisa. Ila tatizo wanaiga iga mpaka majina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji16][emoji23][emoji23]
Niseme vitu vipya ni vichache sana hapa duniani, mfano ugonjwa Corona ni mpya. Sasa tukija kwenye uhalisia ni kwamba mambo mengi sana yameshafanyika hapa duniani sasa kinachotokea ni kuboresha kilichopo. Hata Clouds wamepitia njia hiyo hiyo. Hapa namaanisha kwamba ''kila mmoja ashinde mechi zake tu''

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikatai mfano katika vipindi vya michezo vipo vingi ila wamekuja na sports arena na court kwa tofauti kabisa. Ila tatizo wanaiga iga mpaka majina

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaiga kivipi, hayo majina unayosema yameigwa hao Clouds wanayamiliki kisheria kwamba hakuna media au mtu mwingine anaweza kuyatumia?
 
Wabongo tunapendaga tu kukosoa vitu.. Hilo ni swala la kuwapa tu thamani wanawake na ndo Sera ya dunia kwasasa. Kuna ubaya gani wao pia kusapot?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Clouds wenyewe walikopi Radio One Sterio
Katika radio station zilizokuja juu kwa fujo ndani ya muda mfupi kupata wasikilizaji wengi ni wasafi fm. Hii ni kutokana na kupiga miziki mizuri na kipindi cha sports arena.

Baada ya kupendwa kipindi hicho wakaanza kuvuta watangazaji wengi toka vituo vingine hilo halikutosha sasa wameanza kuiga baadhi ya vipindi na matamasha na warsha mbalimbali.

Clouds fm kuna ndondo cup
Wasafi fm wameweka kivumbi cup
Clouds fm kuna malkia wa nguvu
Wasafi fm kuna super woman n.k

Ni ubunifu umewaishia au ndio wanataka kuangusha soko la clouds media?( RIP Mengi,). EFM ndio kidogo walijitahidi kubadilika eg. kipindi cha michezo asubuhi sa 3-6 wakati radio nyingine muda huo ni wadada wenye sauti kama chiriku wakichamba tuu eg Dida, Gea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika radio station zilizokuja juu kwa fujo ndani ya muda mfupi kupata wasikilizaji wengi ni wasafi fm. Hii ni kutokana na kupiga miziki mizuri na kipindi cha sports arena.

Baada ya kupendwa kipindi hicho wakaanza kuvuta watangazaji wengi toka vituo vingine hilo halikutosha sasa wameanza kuiga baadhi ya vipindi na matamasha na warsha mbalimbali.

Clouds fm kuna ndondo cup
Wasafi fm wameweka kivumbi cup
Clouds fm kuna malkia wa nguvu
Wasafi fm kuna super woman n.k

Ni ubunifu umewaishia au ndio wanataka kuangusha soko la clouds media?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kivumbi cup vs ndondo cup tofauti yake hapo ni kwanza wasafi wameweka mzigo mkubwa mshindi anapata mil 20 alafu pia Wasafi wameongeza wigo mchezaji atakaye kuwa man of the match anapata laki 5 wakati huku kwenye ndondo hakuna hiko kitu pia kiungo Bora,mshambuliaji Bora,kipa,beki Bora wote wanapata laki 5.Isitoshe hayo mashindano yanarushwa live hiyo ni tofauti na ndondo cup alafu pia wachezaji wenye talent wenye umri chini ya miaka 18 watakaopatikana wanachukuliwa na kutafutiwa team nje ya nchi uoni happy Kuna utofauti.

Ukiangalia vizuri hapo wasafi wanawatengenezea vijana kipato sambamba na kuiexposure their talent wakati clouds wanafanya Kama Burudani hiyo tofauti kubwa iliyopo Mfano iwapo mchezaji mmoja akawa man of the match Mara tano atapata mil 2.5 hapo kashapata teyali mtaji wa biashara.
 
Kivumbi cup vs ndondo cup tofauti yake hapo ni kwanza wasafi wameweka mzigo mkubwa mshindi anapata mil 20 alafu pia Wasafi wameongeza wigo mchezaji atakaye kuwa man of the match anapata laki 5 wakati huku kwenye ndondo hakuna hiko kitu pia kiungo Bora,mshambuliaji Bora,kipa,beki Bora wote wanapata laki 5.Isitoshe hayo mashindano yanarushwa live hiyo ni tofauti na ndondo cup alafu pia wachezaji wenye talent wenye umri chini ya miaka 18 watakaopatikana wanachukuliwa na kutafutiwa team nje ya nchi uoni happy Kuna utofauti.

Ukiangalia vizuri hapo wasafi wanawatengenezea vijana kipato sambamba na kuiexposure their talent wakati clouds wanafanya Kama Burudani hiyo tofauti kubwa iliyopo Mfano iwapo mchezaji mmoja akawa man of the match Mara tano atapata mil 2.5 hapo kashapata teyali mtaji wa biashara.
hahahah vumbi cup bana
 
Wamezingua asee chaliangu,,Kivumbi cup na iyo Super woman ni Ndondo cup na Malikia wa nguvu kabisa,,,anyways acha tuone
 
Niseme vitu vipya ni vichache sana hapa duniani, mfano ugonjwa Corona ni mpya. Sasa tukija kwenye uhalisia ni kwamba mambo mengi sana yameshafanyika hapa duniani sasa kinachotokea ni kuboresha kilichopo. Hata Clouds wamepitia njia hiyo hiyo. Hapa namaanisha kwamba ''kila mmoja ashinde mechi zake tu''

Ni kukosa creativity tu mbona mm hupenda sana kuangalia tv [emoji342] station za nje wapo creative sana mfano catfish show,cbs reality show etc wabongo ni wavivu kuumiza vichwa
 
Back
Top Bottom