Siku hizi hakuna uandishi wa habari,Kwenye hizi radio news room,ni kama vijiwe vya umbea vya saloon,au kahawa,watangazaji wenyewe ni akili ndogo,wanaupeo mdogo sana wa mambo ya Dunia,uchumi,michezo,jamii,Siasa,Kwema wakurungwa? Weekend ndo hii mambo yawe mengi kidogo.
Nizame kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyojielezea. Nataka niwaulize wasafi FM huu utaratibu wa kucheza matangazo katikati ya mazungumzo mmeutoa wapi? Yaani unakuta mtangazaji anaongea au labda mgeni kaletwa kwenye kipindi kwa mahojiano, akiwa anazungumza ghafla unasikia ile jingle yao ya wasafi. Ndo nini hiki?
Bora hiyo, unakuta msikilizaji kapiga simu yuko hewani ghafla m-jingle wao unachezwa na matangazo kibao, eti anaambiwa "endelea kubaki kwenye line usikate simu". Kweli mko serious? Mimi sina elimu yoyote ya uandishi wa habari au jinsi ya ku-run radio stations lakini hili jambo ni geni kwangu na kwa walio wengi wetu.
Sasa niwaulize mmeutoa wapi huu utaratibu?
Asanteni.
Nini kifanyike ikiwa bossi wa hiyo radio ni 0 brain.?Kwema wakurungwa? Weekend ndo hii mambo yawe mengi kidogo.
Nizame kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyojielezea. Nataka niwaulize wasafi FM huu utaratibu wa kucheza matangazo katikati ya mazungumzo mmeutoa wapi? Yaani unakuta mtangazaji anaongea au labda mgeni kaletwa kwenye kipindi kwa mahojiano, akiwa anazungumza ghafla unasikia ile jingle yao ya wasafi. Ndo nini hiki?
Bora hiyo, unakuta msikilizaji kapiga simu yuko hewani ghafla m-jingle wao unachezwa na matangazo kibao, eti anaambiwa "endelea kubaki kwenye line usikate simu". Kweli mko serious? Mimi sina elimu yoyote ya uandishi wa habari au jinsi ya ku-run radio stations lakini hili jambo ni geni kwangu na kwa walio wengi wetu.
Sasa niwaulize mmeutoa wapi huu utaratibu?
Asanteni.
Kwema wakurungwa? Weekend ndo hii mambo yawe mengi kidogo.
Nizame kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyojielezea. Nataka niwaulize wasafi FM huu utaratibu wa kucheza matangazo katikati ya mazungumzo mmeutoa wapi? Yaani unakuta mtangazaji anaongea au labda mgeni kaletwa kwenye kipindi kwa mahojiano, akiwa anazungumza ghafla unasikia ile jingle yao ya wasafi. Ndo nini hiki?
Bora hiyo, unakuta msikilizaji kapiga simu yuko hewani ghafla m-jingle wao unachezwa na matangazo kibao, eti anaambiwa "endelea kubaki kwenye line usikate simu". Kweli mko serious? Mimi sina elimu yoyote ya uandishi wa habari au jinsi ya ku-run radio stations lakini hili jambo ni geni kwangu na kwa walio wengi wetu.
Sasa niwaulize mmeutoa wapi huu utaratibu?
Asanteni.
Ukimchukua ngedere na samaki,ukataka wakashindsne kukimbia mbio kwenye msitu!!!utakuwa huna busara,kila mtu ana shine kwenye eneo lake,Nini kifanyike ikiwa bossi wa hiyo radio ni 0 brain.?
Kijana acha kuchukulia watu poa hapa kwenye jukwaa la JF.. Huyo diamond hana pesa yoyote ya kunitisha, alichonizidi ni umaarufu tu, mwisho wa kunukuu.Ukimchukua ngedere na samaki,ukataka wakashindsne kukimbia mbio kwenye msitu!!!utakuwa huna busara,kila mtu ana shine kwenye eneo lake,
Inawezekana ni zero brain kwenye mambo ya academia!!lakini kwenye mziki,yupo vzr na ana mkwanja mrefu kuliko ukoo wenu wote,
Cha msingi ni mamlaka zinazosimamia hivi vyombo vya habari ni Bure kabisa,Dida,Baba levo,eti Hawa ndio wwchambuzi wa nyuzi!!!,uharo mtupu!!
Ukienda kule EFM,
Hando,Kitenge,Oscar Osscar ndio wwchambuzi wa ishu nzito za kitaifa na kimataifa,
Jaribuni kuiga Kenya,kwenye akili kubwa muone watu wanavyofanya mambo