joseph_mbeya
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 252
- 586
Hata mimi pia ni msabato na bado ata sijabatizwa na ubatizo wa maji mengi but soon as possible I'll do it ,đź’ŻMhh..jaman..nafsi inanisuta..!Mungu atusaidie
Hata mimi pia ni msabato na bado ata sijabatizwa na ubatizo wa maji mengi but soon as possible I'll do it ,đź’ŻMhh..jaman..nafsi inanisuta..!Mungu atusaidie
Nakubaliana na wewewanaishi miaka 10 zaidi Life expectancy ya mmarekani wa kawaida .
Sababu ni aina ya vyakula wanavyokula sawasawa na mahusia ya Bibilia na kujali mambo ya afya.
Pia Kwa sababu ya Pumziko la Sabato, ambalo linawaondolea stress, linawafanya akili zijipanhe upya na kuwanawirisha kiimani na kuwa na mahusiano ya kudumu na Mungu.
Hii ni kwa wasabato wote pia ulimwenguni wanaoishi kanuni za Bibilia sio wale wengine makanjanja ambao ni wasabato jina.
Hii inamfanya Mtu Kuwa Msabato ni uamuzi Bora kabisa wa kiafya na kiroho maishani mwake ambao hatajuta yeye na familia yake.
Source: HuffingtonPost
Let us stop this argument,wewe sio "mwana wa Mungu," ni "mtu wa Mungu" kwa hiyo huna Roho Mtakatifu na kwa hiyo huwezi kuelewa Biblia,do not force things to back up your false belief.Kasome Qur'an mkuu,ambayo ni Satanic verses utaielewa kwa kuwa roho uliyenaye ndiye huyo huyo wa Qur'an.Mkuu
ROHO MTAKATIFU
Sehemu pekee katika Biblia alipotajwa Roho Mtakatifu ni katika Yohana 14:26; “Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote niliyowaambia.
“Ni kipi kile ambacho Roho Mtakatifu ameleta au kufundisha kwa miaka 2000 iliyopita?
Wakristo mnasema kwamba Msaidizi maana yake ni Roho Mtakatifu (Yohana 14:26) Yesu alisema katika Yohana 16:7-8.
“Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke; kwa maana mimi nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu;”
Hii haiwezi kumaanisha Roho Mtakatifu; kwa vile Roho Mtakatifu inasemekana kwamba alikuwepo hata kabla ya Yesu hajazaliwa kama ilivyo katika Luka 1:41
“Elisabeti akajazwa Roho Mtakatifu”. Hapa, Roho Mtakatifu vile vile alikuwepo wakati wa Yesu: sasa vipi hii imaanishe
kwamba ni sharti aondoke Yesu ndipo Roho Mtakatifu aweze kuja?
Katika Yohana 16:7-8, inasema;
“Bali mimi nikienda zangu, nitampeleka kwenu. Naye akiisha kuja, huyo atauhakikisha ulimwengu kwa habari ya dhambi, na haki, na hukumu.”
Je, hii “Yeye” hapa inamaanisha nini? Je, viwakilishi hivyo havimaanishi mtu mwanamume?
Je, Roho Mtakatifu anazungumza na Wakristo wema na waovu vile vile?
Je, Roho Mtakatifu yu pamoja nao wakati wote au wakati fulani tu?
Je, ni wakati gani anaanza kumtembelea mtu atakaye kuwa Mkristo?
Utasemaje kuwa wewe ni Mkristo ikiwa Roho Mtakatifu yu ndani ya Mkristo mwingine?
Inakuwaje Wakristo wengi wanawapumbaza watu kwa kudai kwamba Roho Mtakatifu yu ndani yao tu! Na baadaye wanabadilisha dini?
Je, Roho Mtakatifu anaamuru kile ambacho Wakristo wanapaswa kukifanya bila ya uhuru wa kuchagua hata kidogo au anawaongoza tu na wao wana uhuru wa kufuata au kuto fuata?
Ikiwa Roho Mtakatifu anaamuru kile Wakristo wanachopaswa kukifanya, kwa nini Wakristo wanafanya maovu na madhambi?
Vipi unaweza kuuelezea ubadilishaji wa dini na kuingia dini na imani mbali mbali kunakofanywa na Wakristo wengi?
Je, Wanaambiwa kufanya hayo na Roho Mtakatifu?
Ikiwa Roho Mtakatifu anawaongoza Wakristo tu, na wako huru kufanya wanavyotaka, sasa ni vipi tutajua kwamba waandishi wa Biblia hawakufanya makosa wakati walipoziandika?
Ikiwa Wakristo mnaamini kwamba Roho Mtakatifu huwajia na kuzungumza nao kila siku, kwanini hamumuulizi Roho Mtakatifu kuhusu chapisho lipi la Biblia linalopaswa kufuatwa kwa vile kuna machapisho mengi tofauti ?
Vip wajapanwanaishi miaka 10 zaidi Life expectancy ya mmarekani wa kawaida .
Sababu ni aina ya vyakula wanavyokula sawasawa na mahusia ya Bibilia na kujali mambo ya afya.
Pia Kwa sababu ya Pumziko la Sabato, ambalo linawaondolea stress, linawafanya akili zijipanhe upya na kuwanawirisha kiimani na kuwa na mahusiano ya kudumu na Mungu.
Hii ni kwa wasabato wote pia ulimwenguni wanaoishi kanuni za Bibilia sio wale wengine makanjanja ambao ni wasabato jina.
Hii inamfanya Mtu Kuwa Msabato ni uamuzi Bora kabisa wa kiafya na kiroho maishani mwake ambao hatajuta yeye na familia yake.
Source: HuffingtonPost
This is not correct👉Sehemu pekee katika Biblia alipotajwa Roho Mtakatifu ni katika Yohana 14:26;Mkuu
ROHO MTAKATIFU
Sehemu pekee katika Biblia alipotajwa Roho Mtakatifu ni katika Yohana 14:26; “Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote niliyowaambia.
“Ni kipi kile ambacho Roho Mtakatifu ameleta au kufundisha kwa miaka 2000 iliyopita?
Wakristo mnasema kwamba Msaidizi maana yake ni Roho Mtakatifu (Yohana 14:26) Yesu alisema katika Yohana 16:7-8.
“Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke; kwa maana mimi nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu;”
Hii haiwezi kumaanisha Roho Mtakatifu; kwa vile Roho Mtakatifu inasemekana kwamba alikuwepo hata kabla ya Yesu hajazaliwa kama ilivyo katika Luka 1:41
“Elisabeti akajazwa Roho Mtakatifu”. Hapa, Roho Mtakatifu vile vile alikuwepo wakati wa Yesu: sasa vipi hii imaanishe
kwamba ni sharti aondoke Yesu ndipo Roho Mtakatifu aweze kuja?
Katika Yohana 16:7-8, inasema;
“Bali mimi nikienda zangu, nitampeleka kwenu. Naye akiisha kuja, huyo atauhakikisha ulimwengu kwa habari ya dhambi, na haki, na hukumu.”
Je, hii “Yeye” hapa inamaanisha nini? Je, viwakilishi hivyo havimaanishi mtu mwanamume?
Je, Roho Mtakatifu anazungumza na Wakristo wema na waovu vile vile?
Je, Roho Mtakatifu yu pamoja nao wakati wote au wakati fulani tu?
Je, ni wakati gani anaanza kumtembelea mtu atakaye kuwa Mkristo?
Utasemaje kuwa wewe ni Mkristo ikiwa Roho Mtakatifu yu ndani ya Mkristo mwingine?
Inakuwaje Wakristo wengi wanawapumbaza watu kwa kudai kwamba Roho Mtakatifu yu ndani yao tu! Na baadaye wanabadilisha dini?
Je, Roho Mtakatifu anaamuru kile ambacho Wakristo wanapaswa kukifanya bila ya uhuru wa kuchagua hata kidogo au anawaongoza tu na wao wana uhuru wa kufuata au kuto fuata?
Ikiwa Roho Mtakatifu anaamuru kile Wakristo wanachopaswa kukifanya, kwa nini Wakristo wanafanya maovu na madhambi?
Vipi unaweza kuuelezea ubadilishaji wa dini na kuingia dini na imani mbali mbali kunakofanywa na Wakristo wengi?
Je, Wanaambiwa kufanya hayo na Roho Mtakatifu?
Ikiwa Roho Mtakatifu anawaongoza Wakristo tu, na wako huru kufanya wanavyotaka, sasa ni vipi tutajua kwamba waandishi wa Biblia hawakufanya makosa wakati walipoziandika?
Ikiwa Wakristo mnaamini kwamba Roho Mtakatifu huwajia na kuzungumza nao kila siku, kwanini hamumuulizi Roho Mtakatifu kuhusu chapisho lipi la Biblia linalopaswa kufuatwa kwa vile kuna machapisho mengi tofauti ?
Kuna jamaa humu alisema wasabato wengi ni wapareKuna jamaa yangu mmoja msabato asubui maji ya moto tu(chukuchuku) bila kitafunwa, mchana andazi moja na maji ya moto usiku kipande cha muogo na maji ya moto, kuwa msabato raha kuna sevu bajeti kweli.
Toka nikiwa mdgo yesu anarudi sasa iviSiku Waadventista Wasabato Tukianza kuishi Kwa Kufuata Nuru Tuliyonayo Kwa Vitendo.(Tuliyoipokea) YESU KRISTO Anarudi SAA Iyo Hiyo.. Maranatha.
Aaaaa, kwa afya ya mwili tu wako sawa sanawanaishi miaka 10 zaidi Life expectancy ya mmarekani wa kawaida .
Sababu ni aina ya vyakula wanavyokula sawasawa na mahusia ya Bibilia na kujali mambo ya afya.
Pia Kwa sababu ya Pumziko la Sabato, ambalo linawaondolea stress, linawafanya akili zijipanhe upya na kuwanawirisha kiimani na kuwa na mahusiano ya kudumu na Mungu.
Hii ni kwa wasabato wote pia ulimwenguni wanaoishi kanuni za Bibilia sio wale wengine makanjanja ambao ni wasabato jina.
Hii inamfanya Mtu Kuwa Msabato ni uamuzi Bora kabisa wa kiafya na kiroho maishani mwake ambao hatajuta yeye na familia yake.
Source: HuffingtonPost
Kuna ule wimbo" Around the corner, Jesus is coming "Toka nikiwa mdgo yesu anarudi sasa ivi
Acha kula tu, kama wale jamaa wa MakenzieMimi ninataka nife haraka nikamuone Yesu live.
Ufunuo3:20
Kweli kabisa afafanueNi kitabu gani na msitari umeandika kuwa alianza jumapili hadi ijumaa mana izo siku ni za bwana gregory wa juzi hapa ebu nisaidie icho kitabu na mi nitape kujua
Jizazi jizazi jizazi 🤣🤣🤣🤣, umenikumbusha kipindi hicho tunaoga , tunasugua ndala kwenda kuangalia sinema za yesu .Kuna ule wimbo" Around the corner, Jesus is coming "
Wanauita eti upapa ni upinga Kristo halafu bado wanatumia kalenda zaoAcha kukwepa swali kwa kivuli cha kusulubiwa kwa Yesu....,Gregory Calender haikuwepo wakati wa sabato ya Wayahudi ambayo nyie mumeshikilia hata leo kupitia calendar iliyotungwa na Warumi(Wapagani kwa kisemo chenu).....?????????
Jitahi kujibu swali..,mchungaji wenu Mitale na midimu amekimbia Uzi wake tangu jana nilipogusia suala hili..
Uko sawaHahaha mi nilidhani jumamosi ni siku ya kwanza?! Kutokana na uwepo wa neno "mosi" yani moja. Nakumbuka MEI MOSI ni 5/1, au najichanganya?!
Hii ya Yesu kurudi mara ya pili mkuu ndo ipi tena maana Kuna kifungu umeweka hapo nyuma ni Ufunuo nafikiri kwamba anabisha hodi ukifungua mlango anaingia na kukaa ndani yako na unakula naye kwa hiyo hii ndiyo ya kwanza au?Mkuu ujumbe wa SDA ni kwa ulimwengu wote.
Wanapotakiwa kufikiwa wakaoliki wanaambiwa bila shida, waprotestant wanaambiwa, wabudha wanafikiwa waislam ndio usiseme hadi kuna TV yao special '' Al-wada''.
Lengo la SDA ni kuwaida watu wa madhehebu zote kurudi kumuabudu Mungu Muumba wa Mbingu na nchi na vyote vilivyomo kama anavyoelekeza mwenyewe ikiwemo Sabato takatifu na kuutaadharisha ulimwengu wote juu ya tukio kubwa la ujio wa Yesu mara yapili na Kuteketezwa kwasayari dunia.