Wasabato matengenezo

Wasabato matengenezo

Status
Not open for further replies.

PACHOTO

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2011
Posts
1,321
Reaction score
974
Baada ya sabato masalia sasa kumejitokeza kundi jingine linaitwa 'sabato matengenezo' na sera yao ni kuwakataza watoto wao wasiende shule kwa madai wanafundishwa uongo, my take_ bora nibaki na dini yangu ya mungu mmoja hajazaa wala hajazaliwa!, chanzo itv taarifa ya habari
 
Wanaweza wakawa sahihi, kwanini watoto wetu walio shule za kata wanafeli sana?, inawezekana wanafundishwa uwongo uwongo.
 
baki na dini yako sawa na ndio maana tunasema mungu sio mmoja mungu wangu mimi ana mtoto naye ni YESU ..mwokozi ..

UJINGA WA MASABATO MATENGENEZO haubadilishi huu UKWELI HUU mungu wako si sawa na mungu wangu .. nukta..
 
Shule zinafundisha uongo kweli. Mfano hitoria wanadai binadamu alikua nyani EVOLUTiON, WANA MATENGENEZO WAKO SAHIHI
 
Chuma na udongo haviungani, Bible zinauzwa world wide so mwenye macho haambiwi tazama. Anayo kheri mtu asomae maandiko, maana mwisho ukaribu..SHIKA SANA ULICHO NACHO!!
 
Wasabato ukitoa sda wengne wote n majanga.sda n dhehebu inayofundish biblia vizur kuliko makanis yote duniani.ila kuna-
 
Chuma na udongo haviungani, Bible zinauzwa world wide so mwenye macho haambiwi tazama. Anayo kheri mtu asomae maandiko, maana mwisho ukaribu..SHIKA SANA ULICHO NACHO!!

Ameen... Barikiwa sana mkuu!!!
 
Waje watoe ufafanuz kweny hiki kitabu alichoandika NABII Helen G White,.Coming of Jesus through orion belt.
 
Baada ya sabato masalia sasa kumejitokeza kundi jingine linaitwa 'sabato matengenezo' na sera yao ni kuwakataza watoto wao wasiende shule kwa madai wanafundishwa uongo, my take_ bora nibaki na dini yangu ya mungu mmoja hajazaa wala hajazaliwa!, chanzo itv taarifa ya habari

Baki na kijimungu chako na kale ka jiwe kako unakodai eti ni shetani na kamtume kako kalikooa binti wa miaka 9.
 
Toeni up.u.m.bavu humu mmekosa ya kujivunia wote mnajisifia u.j.inga mtupu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom