Kuna mama mmoja aliwahi kuwa mkutano wa Dodoma. Nilipata fursa ya kusikiliza baadhi ya vipindi.
Alizungumza mengi mojawapo likiwa madai tena kwa kujiamini kuwa ana dawa ya kuondoa mvi.Kutokana na alivyokuwa anajiamini na mimi kudhani hawezi kusema uongo katika madhabahu, nilitumia fursa kununua kwa ajili ya biashara.
Siwezi kusahau kilichonikuta
Nilipata dawa ambayo ni mafuta ya nazi yaliyochanganywa na maji yaliyotoa harufu mbaya sana.Mteja wangu alipaka hivyo hivyo lakini hakuona matokeo.
Hivi sasa kuna clip yake moja inasambaa kwenye mitandao akisema hamkubali mwanaume anayekula wali. Kwamba wali unaathiri nguvu za kiume.
Mimi nasema huyu mwanamke ni tapeli mkubwa. Wali, ugali, ngano, viazi vyote, muhogo na ndizi vyote ni wanga. Ni kujaribu kudanganya watu kuwa muhogo ni bora kuliko mahindi ama mtama.
Naomba huyu mwanamke achukuliwe kwa tahadhari kwani ni tapeli mkubwa.
Ninawatahadharisha kuwa hizi ni nyakati za mwisho na kuweni makini kusikiliza mafundisho ya mashetani.
Kuna vitu vingi vinaathiri afya ya mwanaume siku hizi ambavyo ni vigumu kuepukika.
Alizungumza mengi mojawapo likiwa madai tena kwa kujiamini kuwa ana dawa ya kuondoa mvi.Kutokana na alivyokuwa anajiamini na mimi kudhani hawezi kusema uongo katika madhabahu, nilitumia fursa kununua kwa ajili ya biashara.
Siwezi kusahau kilichonikuta
Nilipata dawa ambayo ni mafuta ya nazi yaliyochanganywa na maji yaliyotoa harufu mbaya sana.Mteja wangu alipaka hivyo hivyo lakini hakuona matokeo.
Hivi sasa kuna clip yake moja inasambaa kwenye mitandao akisema hamkubali mwanaume anayekula wali. Kwamba wali unaathiri nguvu za kiume.
Mimi nasema huyu mwanamke ni tapeli mkubwa. Wali, ugali, ngano, viazi vyote, muhogo na ndizi vyote ni wanga. Ni kujaribu kudanganya watu kuwa muhogo ni bora kuliko mahindi ama mtama.
Naomba huyu mwanamke achukuliwe kwa tahadhari kwani ni tapeli mkubwa.
Ninawatahadharisha kuwa hizi ni nyakati za mwisho na kuweni makini kusikiliza mafundisho ya mashetani.
Kuna vitu vingi vinaathiri afya ya mwanaume siku hizi ambavyo ni vigumu kuepukika.