............ can we really blame Ben on privatization? ni vizuri tukijiangalia kwanza sisi wenyewe then tukaangalia ni vipi tumefika tulipo.
Ni kweli Mkuu ukiangalia nchi zilizoendelea.....kusema ukweli watu wanapiga Mzigo Kinoma..........sisi ni wavivu sana...........porojo nyingi........copy/cut and paste kama kazi.............