Mimi napinga kitendo chako cha kutaka kujustify maovu ya mkapa simply kwa sababu hatuna sheria kali zinazowabana viongozi wetu. Kitendo cha kusema hata wewe ungekuwa Ikulu you would have done the same, ni cha kinyama na kizandiki to say the least !
Waberoya , mimi naamini ya kuwa mwanadamu lazima uwe na value ambazo zitakuongoza katika maisha yako ya kila siku . Moja ya sababu inayowafanya watu waogope kuua , sio adhabu ya kifo peke yake ; bali ni maadili yao na unyama wa hicho kitendo. Hata kama tutakuwa tuna sheria kali, kama atutakuwa misingi binafsi imara tutakuwa tunapoteza muda. Vile vile lazima ujue ya kuwa ,two wrongs don't make a right kutokuwa na sheria hakualalishi mtu kuiba! Vipi kama watu kama kina Nyerere wangekuwa na mawazo kama hayo ?
Kusema ukweli kauli yako sio tuu imenikwaza bali imenialibia siku yangu. Zaidi, ni kauli kama hizi ndio zinastawisha tabia chafu za ubinafsi.
Kaka nakubaliana na wewe! una roho nzuri na utu,
Ila what about Mkapa? Mkapa asingeiba tungekuwa tunajadili haya leo? Ok Mkapa aliongozwa na hizo value kujichukulia Kiwira?, mbona kama tunaongea lugha moja kwa style tofauti? hizo value ndio zinawafanya wazee tunaowaheshimu kubaka watoto wadogo!
Yaani kwa sababu ya value tusiwe na sheria wala system? kwa binadamu hawa tunaowaamini na wana tu turn down everyday? kwa concept ya value hizo hizo watu ndio wanaiba na huwezi kuamini,
Kitu usichojua wa kwetu ni kuwa hakuna standard value, kitu ambacho wewe unakiita wizi mwenzako anaita deal, kitu ambacho wewe unaita uzinzi mwenzako anaita kujirusha, kuna wenzako wanaona kuua si kosa, wakati wewe Rufiji unaona kuchinja kuku dhambi, where are those standard value that we human are based on? why we are not equal? why Mkapa then is not thinkin like you? I am not such bad ,but human has proved failure to value 'value' thats why I insist laws and systematic system should put in place! hapa mimi mbaya?
is those Value value??
Kiongozi gani wa CCM unayemwamini anayeongozwa na hizo value? I am not such bad, mkuu nikiongea kichungaji mimi mchungaji, linapokuja swala la kitaifa na kuheshimu sheria ondoa kabisa ubinadamu mkuu! The world is dangerous simply because we have failed to practise those value mkuu!
Hautaki kukubali kuwa kutokuwa na sheria au kuzitekeleza ndio matatizo?
Simply Mkapa ameiba, tutazuia tatizo kwa value?
Rufiji jiamini mwenyewe value ni wewe tu, na wengine nao watajiaminisha kivyao, ila usimwamini binadamu kuwa ataongozwa na value, hiyo notion imeshafail, sana sana nawafundisha watu makanisani, ila kitaifa, sahau, otherwise tusingekuwa na watu magerezani
Nyerere alifail, aliona kila mtu mtakatifu kama yeye, watu walikuwa wakiharibu au kufilisi mashirika ya umma ana wahamisha, kimsingi point yako ya value inaondoa kabisa sense of responsibility, na value unaijua kwa sababu mtoto wa watu una dini sijui mwislamu au Mkristo, wengine hawamjui huyo Yesu wala Muhammad, thats why I made statement.lazima kuzuia ili tatizo kuwe na sheria ya kumbana rais, maana kama tutawaamini watu basi yeyote anaweza kuiba! sijajua ubaya wangu uko wapi
In the beginning ...Genesis 1:1......Genesis 3; Utaona mwanadamu alivyopoteza value, utaona Musa baadae anayoanza kuweka sheria na waamuzi, utaona Sodoma na Gomora ushoga ulivyokuwepo, I am telling you in those days...huu ni mwaka 2008 For God sake, watu wamefanya dhambi mpaka wanaanza kuzi-recycle tena. Simwamini mtu yeytote kuingia Ikulu kwa sense ya value nataka mtu aingie ajue akitoka tu kama amekosea JELA.
I repeat kwa wanadamu hawa, aingie ikulu unamwambia fanya lolote utakavyo, hata Kilimanjaro chukua, chukua fedha zozote utakazo, ukimaliza kipindi chako u are free! I said these attracts ufisadi, nikiiangalia historia ya binadamu napata wasiwasi kuwa hawa marais wetu kila atakayetoka itakuwa kama Mkapa, and this may happen to many others, Unless hao watu sio wa dunia hii!
I doubt standard ya value ya Mkapa ni kujichukulia Kiwira! LOL
.Kumsema Mkapa huku hakutusaidii sisi , tuangalie solution, tumeshasema mwaka wa nne, naamini akina JK wenye value wangekuwa wameshamevaluate huyu jamaa na kumweka ndani segerea akajifunze value.
with all due respect, na samahani kwa kukuharibia siku mpendwa