Rufiji
Platinum Member
- Jun 18, 2006
- 1,881
- 941
Back to Ben stuff. Kuna jamaa mmoja wa PSRC nilikuwa namuuliza kuhusu kama kweli kulikuwa na haja ya kuuza makampuni, alisema wazi kabisa kuwa kila mahali kulikoingia foreign element, kimsingi kulionesha mabadiliko na mafanikio makubwa, japokuwa local elements (siasa za ubinafsi) ziliendelea kukwamisha baadhi ya mambo. Lakini nimekumbuka mengi sana niliyokuwa naongea na Mr Kavishe wa PSRC na kuangalia jinsi tulivyoichezea ATCL, Tazara etc naona kuwa Ben hakukosea sana. (Japokuwa kuna maswali mengi huko TRC).
.
PSRC ndio wa kulaumiwa including huyu uliyemtaja hapo juu, ambaye alikuwa Director mkubwa tuu. Hawa watu kipindi kile wakibinafsisha walikuwa wakidhihaki wale wote wenye mawazo tofauti. Hawa watu (PSRC), waliamini ya kuwa wao ni watu wenye uwezo mkubwa sana wa kufikiri, na wana exposure ya hali juu na kuwabeza wananchi wengine. Kuna kipindi waliwahi kusema kuwa wananchi taka wasitake haya mashirika yatabinafsishwa tuu!
Hawakufanya Research yoyote kuona wether makampuni yale yalikuwa profitable or not albeit, the fact that, they were being paid alot of money by the taxpayers. The sad thing is, Tanzaninans are on the loosing end on this issue after being betrayed by their fellows compatriot (PSRC). Wale wote waliokuwa wakurugenzi wa PSRC wanaishi kama wafalme sasa hivi (classic example Rubambe), to make a long story short, we don't want to hear their advice now because they didn't listen to us when it matters.