TheChoji JF-Expert Member Joined Apr 14, 2009 Posts 6,710 Reaction score 20,717 Nov 9, 2010 #1 Hi wana jf, nilikua nimepotea kidogo sasa nimerudi full.
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,099 Reaction score 12,926 Nov 9, 2010 #2 Ulipotelea wapi ndugu yangu, karibu sana, hapa tupo wengi ambao hukutuacha lakini sasa ni wenyeji zaidi yako. Karibu sana!!!
Ulipotelea wapi ndugu yangu, karibu sana, hapa tupo wengi ambao hukutuacha lakini sasa ni wenyeji zaidi yako. Karibu sana!!!
Speaker JF-Expert Member Joined Aug 12, 2010 Posts 6,324 Reaction score 2,244 Nov 9, 2010 #3 welcome mkubwa,tumo ndani kwako ila "punguza" kila kilicho kufanya upotee usiondoke tena
TheChoji JF-Expert Member Joined Apr 14, 2009 Posts 6,710 Reaction score 20,717 Nov 10, 2010 Thread starter #4 Asanteni sana.
S Samuel A K Member Joined Mar 31, 2009 Posts 45 Reaction score 1 Nov 10, 2010 #5 Hujatujuza nani kakufuma wapi hadi umepatikana tena