habari zenu wakuu,
najua wengi mtashangaa kwa nini nimeamua ku express hisia zangu hapa.
sababu iliyonifanya ni kutokana na huyu bi dada namuogopa(sijui kwanini
ila ninampenda sana ingawa sijawahi kumuona) sana kiasi kwamba nimeogopa
kumzamia pm moja kwa moja.
sina maneno mengi ila ndio hivyo tena kaka yenu nimetokea kumpenda sana
huyu dada anayeitwa warumi
warumi naomba unionee huruma me nateseka juu yako...najua unaweza kuhoji
nakujua au nakufahamu? ki ukweli sikufahamu ila ndio hivyo moyo wangu
umedondoka kwako.
please warumi naomba usinijibu vibaya
ukaniumbua mwenzako. kama nimekuudhi naomba unisamehe kisha unipotezee.
narudia tena dear kama nimekuudhi unisamehe na unipotezee.
Mkuu Warumi ni mwanaume
Harufu ya ban inanukia apa
Binamu mpotezee uyoo asije kutaftia ban buree
Harufu ya ban inanukia apa
habari zenu wakuu,
najua wengi mtashangaa kwa nini nimeamua ku express hisia zangu hapa. sababu iliyonifanya ni kutokana na huyu bi dada namuogopa(sijui kwanini ila ninampenda sana ingawa sijawahi kumuona) sana kiasi kwamba nimeogopa kumzamia pm moja kwa moja.
sina maneno mengi ila ndio hivyo tena kaka yenu nimetokea kumpenda sana huyu dada anayeitwa warumi
warumi naomba unionee huruma me nateseka juu yako...najua unaweza kuhoji nakujua au nakufahamu? ki ukweli sikufahamu ila ndio hivyo moyo wangu umedondoka kwako.
please warumi naomba usinijibu vibaya ukaniumbua mwenzako. kama nimekuudhi naomba unisamehe kisha unipotezee. narudia tena dear kama nimekuudhi unisamehe na unipotezee.
khaaaaa kumbe warumi ni mwanamke uwiiiiii shikamoo jf aiseee
habari zenu wakuu,
najua wengi mtashangaa kwa nini nimeamua ku express hisia zangu hapa. sababu iliyonifanya ni kutokana na huyu bi dada namuogopa(sijui kwanini ila ninampenda sana ingawa sijawahi kumuona) sana kiasi kwamba nimeogopa kumzamia pm moja kwa moja.
sina maneno mengi ila ndio hivyo tena kaka yenu nimetokea kumpenda sana huyu dada anayeitwa warumi
warumi naomba unionee huruma me nateseka juu yako...najua unaweza kuhoji nakujua au nakufahamu? ki ukweli sikufahamu ila ndio hivyo moyo wangu umedondoka kwako.
please warumi naomba usinijibu vibaya ukaniumbua mwenzako. kama nimekuudhi naomba unisamehe kisha unipotezee. narudia tena dear kama nimekuudhi unisamehe na unipotezee.
Achana nao hao
Hadi wewe binamu, poa nimeku mind