Warumi baby

mutant gene

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
876
Reaction score
326
habari zenu wakuu,

najua wengi mtashangaa kwa nini nimeamua ku express hisia zangu hapa. sababu iliyonifanya ni kutokana na huyu bi dada namuogopa(sijui kwanini ila ninampenda sana ingawa sijawahi kumuona) sana kiasi kwamba nimeogopa kumzamia pm moja kwa moja.

sina maneno mengi ila ndio hivyo tena kaka yenu nimetokea kumpenda sana huyu dada anayeitwa warumi

warumi naomba unionee huruma me nateseka juu yako...najua unaweza kuhoji nakujua au nakufahamu? ki ukweli sikufahamu ila ndio hivyo moyo wangu umedondoka kwako.

please warumi naomba usinijibu vibaya ukaniumbua mwenzako. kama nimekuudhi naomba unisamehe kisha unipotezee. narudia tena dear kama nimekuudhi unisamehe na unipotezee.
 
Last edited by a moderator:
Kama sio mutiple ids....
warumi kuna mtu amekudondokea
 
Last edited by a moderator:

Dinazarde njoo uone uku mambo
 
Last edited by a moderator:
tehe tehe tehe mkome kuzimikia majina haya sasa chooo cha kike..... pole
 
Leo ndo nimepata jibu...nlikuwa najiuliza hivi warumi ni me au ke?
 
Duh!! Hii kali ata nashindwa cha kuongea

sasa utaongea nn wakat unaona kidume kinajielezea kwa hisia? Spat picha hapo ulipo sijui unang'ata kucha au unaandika andika kwenye karatasi na unavyoandika havisomeki. Hapo njia rahisi n pm tu. Ndio mwisho wa kila kitu
 

Kumbe warumi ni mwanamke??
 
Last edited by a moderator:

Kumbe warumi ni mwanamke??
 
Last edited by a moderator:
Leo ndo nimepata jibu...nlikuwa najiuliza hivi warumi ni me au ke?

ohooo! Ww ulikuwa unajiuliza wakat wenzako walishajua tangu zaman kuwa ni ke. Kwasababu ya usumaku flan ambao upo kat ya ke na me... Kama chatu na mbwa vile...........
......... Lakn namm ntakuja mda si mrefu na kilio kwako
 
tigo
express your self......!!
 
sasa utaongea nn wakat unaona kidume kinajielezea kwa hisia? Spat picha hapo ulipo sijui unang'ata kucha au unaandika andika kwenye karatasi na unavyoandika havisomeki. Hapo njia rahisi n pm tu. Ndio mwisho wa kila kitu

Harufu ya ban inanukia apa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…