Warombo,Wamachame,Wakibosho si wachagga

Warombo,Wamachame,Wakibosho si wachagga

msisahau warombo wamebobea sana tkt uchumi na uinjinia
mkitaka data fikeni TRA, na makampuni ya ujenzi,UDSM coet,
sheria pia wapo ila sio wengi.
inaaminika warombo wengi asili yao ethiopia wakaoana na wakamba wakahamia chini ya mlima kuanzia rongai,tarakea,useri,mashati,mkuu hadi mengwe pia sehemu za marangu.
hawa watu nawaheshimu kwa kusaka hela na kusaidiana.
 
mtoa mada amesahau kuna kabila lingine la wachaga wako arusha wanaitwa WAMERU. nasikia hawa walikuwa pamoja na WAMASHAMI
(wamachame) wakajitenga wakapanda milimani wamachame wanawaita(WARWA) waliopanda milima na wao wakawaita Wamachame(WAMASHAMI) walioshuka toka mlimani. hawa wanaongea lugha kwa asilimia 70 kama wachaga Wamachame. Hawa ni kina KAAYA, NKO, KISALI, PALANGYO, AYO, URIO, KIMARO, MATURO ........... nakubali wachaga ni kabila moja lilitenganishwa na milima, mito na mabonde na kuwakuta wakitofautiana kwa lahaja.
 
msisahau warombo wamebobea sana tkt uchumi na uinjinia
mkitaka data fikeni TRA, na makampuni ya ujenzi,UDSM coet,
sheria pia wapo ila sio wengi.
inaaminika warombo wengi asili yao ethiopia wakaoana na wakamba wakahamia chini ya mlima kuanzia rongai,tarakea,useri,mashati,mkuu hadi mengwe pia sehemu za marangu.
hawa watu nawaheshimu kwa kusaka hela na kusaidiana.

kuna diversion kubwa sana ya lugha kilimanjaro kimachame,kikibosho,kisiha,kimarangu,kirombo,kipare,kiuru why
 
Rejea somo la lahaja,na imeshazungumzwa ktk comments zilizopita!
kuna diversion kubwa sana ya lugha kilimanjaro kimachame,kikibosho,kisiha,kimarangu,kirombo,kipare,kiuru why
 
Ngamia mzee sasa unataka wanyimwe vitambulisho baadae watapelekwa wapi

warudi kwao somalia wakasaidiane na alshababu kupigana na wakenya, wakateke meli mbona somalia kuna
kazi nyingi tu jamani moshi ni mali ya wamasai na mfano mzuri mwangalieni agustino l mrema ,na huyu rais
wa somalia walivyofanana kwa sura sasa hakuna haja ya ushahidi kwa wasipewe vitambulisho



kikupacho raha na uchungu kitakupa
 
Mtoa hoja yuko sahihi sema utafiti wake haukujikita kwenye origins za makabila haya. Kwa mfano, wamachame kama akina Njau na Kimathi hawa ni wakikuyu tokea Kenya wakati akina Mengi ni wakamba na wapare wengi wametokea Kenya upande wa ziwa jipe huku wengine wakitokea Usambaani na Taveta kwa wataita. Kimsingi, Wachaga ni kabila lililopewa jina hilo na jamii ambayo haina elimu ya ethnolojia. Akina mbowe ni wanyasa waliooa moshi na kulowea kule wakati akina mboro ni mabaki ya wakimbizi waliotokea Ethiopia.
 
Mtoa hoja yuko sahihi sema utafiti wake haukujikita kwenye origins za makabila haya. Kwa mfano, wamachame kama akina Njau na Kimathi hawa ni wakikuyu tokea Kenya wakati akina Mengi ni wakamba na wapare wengi wametokea Kenya upande wa ziwa jipe huku wengine wakitokea Usambaani na Taveta kwa wataita. Kimsingi, Wachaga ni kabila lililopewa jina hilo na jamii ambayo haina elimu ya ethnolojia. Akina mbowe ni wanyasa waliooa moshi na kulowea kule wakati akina mboro ni mabaki ya wakimbizi waliotokea Ethiopia.

Makupa ungeondoa hoja yako manake ikiendelea hizi choko choko tutawafikia hata mabwana wakubwa sana, wanaotuongoza
na kushika dola tutakuwakuta ni warundi ,wanyarwanda ,mapapa wa kongo ,wacommoro ,na wakara kwa hiyo kwa ufupi hakuna mtanganyika wote ni wahamihaji toka nje ya mipaka yetu.

kikupacho raha na uchungu kitakupa
 
Mi akili yangu kuoa knjaro au arusha tu... Sijui why!!

utaweka jini za usomi na uchapaji kazi kwenye familia yenu! Moshi tupo juu, maneno hakuna kazi kwa wingi karibu sana lakini hatutaki mvivu ! ujifunze kufanya kazi kwa bidii kwanza.
 
Naona unaanzisha kampeni humu watu waanze kutiliwa mashaka na origins zao mie nshawai kuambiwa nimuuliz vizuri mama yangu orign yangu!!!
 
Hapa kuna watu wanawawaza sana Wachagga. Kila leo utasikia Wachagga , wachagga. Ehhh Hamana wengine Loh
 
warudi kwao somalia wakasaidiane na alshababu kupigana na wakenya, wakateke meli mbona somalia kuna
kazi nyingi tu jamani moshi ni mali ya wamasai na mfano mzuri mwangalieni agustino l mrema ,na huyu rais
wa somalia walivyofanana kwa sura sasa hakuna haja ya ushahidi kwa wasipewe vitambulisho



kikupacho raha na uchungu kitakupa

Augustino Mrema kwani ni mchaga?
 
sasa naamini kwamba nchi hii watanzania halali ni WAGOGO tu, wengine wote ni wakimbizi.
 
Ok then........if they are not chaggas what should be done then? I told you previously kua huu mjadala wako bro hauna tija kwa karne hii......let me declare my interest that mie ni mchagga wa rombo bt unachokifanya kwa kupost thread of this nature where is ua logic then? Wakishaamini wao c wachagga wafanye nini sasa? Wajitenge? Stop this malicious thing of yours.........
 
Back
Top Bottom