Warombo,Wamachame,Wakibosho si wachagga

Warombo,Wamachame,Wakibosho si wachagga

ninyi wawili hapo juu ntawatafutia kazi kwa mzee Yusufu na kwa Isha Mashauzi
 
wooote hao ni watoto watukutu wa wapare/////vathu,,,,walikmbilia mstuni,,,,
 
Ndio nilisema hivyo nikiwa kama mrombo nachukia wachagga(vunjo) huwa wanajifanya kuwa ndio wasomi wa mkoa wa kilimanjaro
Kwa hiyo wa-vunjo hawajasoma? Mbona na hili jina "Makupa" ni la ukoo wa wachagga wenye asili ya 'kokirie" ambayo ipo vunjo?
 
Lakini hata BUKOBA kunafahimika kama ni mkoa wa wahaya[Kagera]
ila ndani ya mkoa huo kuna vijikabila kama vinne hivi, Wanyambo[abanyambo],Waziba[abaziba],Wahangaza[abahangaza], Wahyoza[abahyoza].
Lakini In general mkoa wa Kagera ni Wahaya,but ndani yake kuna ndo hvo kuna small tribes(clans). So nadhani ni tatizo la mikoa yote. Na si Moshi-Kilimanjaro
 
karibu......send ua pm then hutajuta kuzaliwa...... I will do ma best na hutajuta......
aah, bibie uko fast! ngoja basi ni-sterilize kwanza vifaa vyangu vya D.R.E., condom i mean gloves na K-Y jelly, for your maximum comfort & pleasure!
 
Kutokana na utafiti wangu niliofanya mkoani kilimanjaro nimegundua ya kwamba mkoa wa kilimanjaro una makabila tofauti si chini ya saba kama ifuatavyo:wapare,wagweno,warombo,wamachame,wakibosho,wasiha,wachagga(vunjo),na wakahe.Kilichonisaidia kwenye tafiti yangu na kugundua kuwa watu wa vunjo ndio wachagga ni kwamba wanaongea lugha moja na tamaduni yao ni tofauti kabisa na hayo makabila mengine,na ikumbukwe ya kwamba jamii inaweza kujitambulisha ya kuwa wao ni kabila moja pale tu ambapo jamii husika wanaongea lugha moja na tamaduni yao ni moja.
Nawasilisha

utafiti uchwara, haulingani kwenye mizani ya utafiti. rudi SHULE KAJIFUNZE namna ya kutafiti
 
aah, bibie uko fast! ngoja basi ni-sterilize kwanza vifaa vyangu vya D.R.E., condom i mean gloves na K-Y jelly, for your maximum comfort & pleasure!
Lolz.......nan bibie??Ndo ulichotegemea? Pole xana......njoo upumuliwe kisogoni.......
 
Back
Top Bottom